Israel huenda ikaifungia Al-jazeera kufanya kazi nchini humo

Israel huenda ikaifungia Al-jazeera kufanya kazi nchini humo

Mbona vyombo vyote vya habari hawajasema kuwa aljazeera ilihusika na uvamizi wa October 7 sio Israel penyewe sio Qatar wala aljazeera... huyo jamaa kwenye tweet ndio mtumwa wa allah mdanganyifu... aljazeera imefungiwa kwa news za uongo na waongo kama hao na wewe unayeeneza... kwani ukireport news bila uongo unakosa nini?
news za uongo wakati AJ yupo kwenye uwanja wa vita? Au kwa vile vyombo vingine vinawapendelea au vinamilikiwa na wao kwa hivyo hawatoi taarifa kama ilivyo?

Ndiyo hivyo hivyo hata Marekani wanataka kuban tiktok wanaogopa watu huwa wanasema ukweli kule bila ya kificho.
 
Wanaukumbi

Netanyahu kachanganyikiwa baada ya kushindwa kupambana na Hamas, kila kitu anaona ni Hamas, Al Jazeera, ndiyo TV peke ambao inaonyesha Ugaid wa Israel bila kuogopa sasa hivi wana mfululizo wa makala zinazoenyesha Ugaidi wao na unyama wanaofanya dhidi ya watoto na wanawake na raia wasiokuwa na hatia Netanyahu anasema.

Al Jazeera haitatangaza tena kutoka Israel. Ninakusudia kuchukua hatua mara moja kwa mujibu wa sheria mpya ili kusimamisha shughuli za kituo.


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1774831284868583457?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Safari hii Israel imevuliwa nguo. Al jazeera imepiga mle mle ambamo Israel ilikuwa inaficha uovu wake. Israel ni Gaidi namba 1 Duniani. Mnaoitetea Israel ni Vipofu na viziwi.

Hivi punde Dunia itaelewa kuwa Hitler alikuwa Sahihi.
 

Israeli parliament passes law paving the way for Al Jazeera closure​


View attachment 2951090
Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to use the law to shutter local operations of Al Jazeera.

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has promised to “act immediately to stop” Al Jazeera’s operations in the country after the Israeli parliament approved a law that grants senior ministers powers to shut down foreign news networks deemed a security risk.

“Al Jazeera will no longer be broadcast from Israel,” Netanyahu wrote in a post on X after the law was approved in its final readings on Monday. “I intend to act immediately in accordance with the new law to stop the channel’s activity.”

Netanyahu has long sought to shutter broadcasts from the Qatari-based media outlet, alleging anti-Israel bias.

The law, which passed in a 70-10 vote in the Knesset, gives the prime minister and the communications minister the authority to order the closure of foreign networks operating in Israel and confiscate their equipment if it is believed they pose “harm to the state’s security”.

he Knesset approved on Monday evening the so-called Al Jazeera law, giving the government temporary powers to prevent foreign news networks from operating in Israel if they are deemed by the security services to be harming national security.


Law allowing government to temporarily shut down Al Jazeera in Israel passed by Knesset​

Legislation passed 71 to 10 gives PM and communications minister temporary powers to shut down foreign news networks deemed threatening to national security for 45-day periods​

The law passed 71 to 10 in its second and third readings in the Knesset plenum.

Communications Minister Shlomo Karhi, who spearheaded the effort to pass the law, vowed immediately after the final vote that the Qatari-funded Al Jazeera news channel would be closed down “in the coming days,” saying “there won’t be freedom of expression for Hamas mouthpieces in Israel.”
Anajidanganya Nyetanyau,dunia ya leo iliyoendelea,habari zinapatikana kupitia satellite za kisasa,ambazo hata macho,huwa hawazioni.Kweli huyu atakuwa kilaza.
 

Israeli parliament passes law paving the way for Al Jazeera closure​


View attachment 2951090
Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to use the law to shutter local operations of Al Jazeera.

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has promised to “act immediately to stop” Al Jazeera’s operations in the country after the Israeli parliament approved a law that grants senior ministers powers to shut down foreign news networks deemed a security risk.

“Al Jazeera will no longer be broadcast from Israel,” Netanyahu wrote in a post on X after the law was approved in its final readings on Monday. “I intend to act immediately in accordance with the new law to stop the channel’s activity.”

Netanyahu has long sought to shutter broadcasts from the Qatari-based media outlet, alleging anti-Israel bias.

The law, which passed in a 70-10 vote in the Knesset, gives the prime minister and the communications minister the authority to order the closure of foreign networks operating in Israel and confiscate their equipment if it is believed they pose “harm to the state’s security”.

he Knesset approved on Monday evening the so-called Al Jazeera law, giving the government temporary powers to prevent foreign news networks from operating in Israel if they are deemed by the security services to be harming national security.


Law allowing government to temporarily shut down Al Jazeera in Israel passed by Knesset​

Legislation passed 71 to 10 gives PM and communications minister temporary powers to shut down foreign news networks deemed threatening to national security for 45-day periods​

The law passed 71 to 10 in its second and third readings in the Knesset plenum.

Communications Minister Shlomo Karhi, who spearheaded the effort to pass the law, vowed immediately after the final vote that the Qatari-funded Al Jazeera news channel would be closed down “in the coming days,” saying “there won’t be freedom of expression for Hamas mouthpieces in Israel.”
Screenshot_20240402-073444_Chrome.jpg
 
Hauna picha za wanajeshi wa IDF waliohitimishwa huko Gaza nikutumie? Hao ni Hamas Iran hajajibu mapigo bado.
Hawa Mods wa JF wanafurahisha sana wapo double standard. Mimi ndiyo wa kwanza kuleta uzi kuwa Neyanyahu kaipiga Ban Al Jazeera huko Israel, huyu aliyeleta huu uzi ambao tupo baada ya wangu kuunganishwa alikuwa wa kwanza kupiga kusema ni uongo, akaja na uzi wake kuwa Al Jazeera ya kufungiwa kwa habari za uongo mods wq JF nao wamekubali kuwa Al Jazeera waongo😂 hivi wale mods wa zamani kina Invisible wapo kweli?
 
Kile chombo kinachosapati ugaidi duniani aljazeera kimefurushwa kutoka nchi teule ya israeli

Ikumbukwe aljazeera imekuwa ikirusha habari za uongo kuhusu israeli na kuigemea magaidi ya hamas

Aljazeera is the Mouthpiece of Hamas terrorists

Wakati vita vya Gaza vinaendelea aljazeera inadanganya dunia kuna mauaji kimbali ili kuchochea chuki duniani

Credits: Reuters

My take
Israeli iliwaachia sana Hawa aljazeera wako biased kwa [emoji817] kuhusu israeli

Magaidi ya Hamas huwa yanabeba maiti feki na kuita aljazeera kurusha huo uongo na aljazeera kuisingizia israeli
 

Israeli parliament passes law paving the way for Al Jazeera closure​


View attachment 2951090
Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to use the law to shutter local operations of Al Jazeera.

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has promised to “act immediately to stop” Al Jazeera’s operations in the country after the Israeli parliament approved a law that grants senior ministers powers to shut down foreign news networks deemed a security risk.

“Al Jazeera will no longer be broadcast from Israel,” Netanyahu wrote in a post on X after the law was approved in its final readings on Monday. “I intend to act immediately in accordance with the new law to stop the channel’s activity.”

Netanyahu has long sought to shutter broadcasts from the Qatari-based media outlet, alleging anti-Israel bias.

The law, which passed in a 70-10 vote in the Knesset, gives the prime minister and the communications minister the authority to order the closure of foreign networks operating in Israel and confiscate their equipment if it is believed they pose “harm to the state’s security”.

he Knesset approved on Monday evening the so-called Al Jazeera law, giving the government temporary powers to prevent foreign news networks from operating in Israel if they are deemed by the security services to be harming national security.


Law allowing government to temporarily shut down Al Jazeera in Israel passed by Knesset​

Legislation passed 71 to 10 gives PM and communications minister temporary powers to shut down foreign news networks deemed threatening to national security for 45-day periods​

The law passed 71 to 10 in its second and third readings in the Knesset plenum.

Communications Minister Shlomo Karhi, who spearheaded the effort to pass the law, vowed immediately after the final vote that the Qatari-funded Al Jazeera news channel would be closed down “in the coming days,” saying “there won’t be freedom of expression for Hamas mouthpieces in Israel.”
kila kitu mbele ya shoga benja kinaonekana kama Hamas pole yake kiongozi wa mashoga kakamatika safari hii
 
Back
Top Bottom