USICHELEWE
Senior Member
- Jul 17, 2023
- 103
- 181
Kwani bbc na cnn ni wakweli?Mbona vyombo vyote vya habari hawajasema kuwa aljazeera ilihusika na uvamizi wa October 7 sio Israel penyewe sio Qatar wala aljazeera... huyo jamaa kwenye tweet ndio mtumwa wa allah mdanganyifu... aljazeera imefungiwa kwa news za uongo na waongo kama hao na wewe unayeeneza... kwani ukireport news bila uongo unakosa nini?
Leo, tunashuhudia uharibifu kamili wa ISraeli wa hospitali muhimu zaidi ya vitanda 700 huko Gaza, Al Shifa Medical Complex. Ilianzishwa miaka 78 iliyopita wakati wa Mamlaka ya Uingereza, jina Shifa likimaanisha 'Nyumba ya Uponyaji'; sasa imegeuzwa kuwa 'Nyumba ya Kifo' na Israel na Marekani, iliyochomwa, kuharibiwa kabisa na kuwa kifusi na kugeuzwa kuwa makaburi ya wagonjwa, wahudumu wa afya, jamaa na wakimbizi. Ishara kubwa ya siasa zisizo na moyo, za kihuni za Israel za kukaliwa kwa mabavu na wakoloni kwa lengo la kuwaangamiza watu wa Palestina, taasisi zao za kijamii na maisha yao. Serikali za Marekani, Umoja wa Ulaya na Uingereza zimeaibishwa, zikishiriki katika kuunga mkono uhalifu wa kivita wa Israel na ukatili dhidi ya binadamu wote. Tazama kwa makini maeneo ya mauaji ya Shifa, usisahau kamwe mauaji ya halaiki ya Gaza, wahalifu, na mamlaka yaliyohusika! Dk MadsHahahah kachanganyikiwa huyo jamaa Hamas inamtoa kamasi
Angalia wanafiki wenu hawa bila Al Jazeera dunia isingejua yote haya Shifaa Hospital imebakia vifusi lakini Marekani wanakataa kuwa hamna mauwaji hapo watawasiliana na Israel kujua zaidi🤣.Mbona vyombo vyote vya habari hawajasema kuwa aljazeera ilihusika na uvamizi wa October 7 sio Israel penyewe sio Qatar wala aljazeera... huyo jamaa kwenye tweet ndio mtumwa wa allah mdanganyifu... aljazeera imefungiwa kwa news za uongo na waongo kama hao na wewe unayeeneza... kwani ukireport news bila uongo unakosa nini?
Hizi habari huwezi kuziona CNN au BBC au Fox News.Kwani bbc na cnn ni wakweli?
Al Jazeera wana kipindi kipya kinaitwa witness kinaeleza ugaidi wote Waisrael dunia inaona unyama wa Israel wamewashindwa Hamas wanauwa watu hovyo,Sidhani kama ni suluhisho! AJ wana sources nyingi za kupata habari.
Ngiri ashapasuliwa?Israeli parliament passes law paving the way for Al Jazeera closure
View attachment 2951090
Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to use the law to shutter local operations of Al Jazeera.
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has promised to “act immediately to stop” Al Jazeera’s operations in the country after the Israeli parliament approved a law that grants senior ministers powers to shut down foreign news networks deemed a security risk.
“Al Jazeera will no longer be broadcast from Israel,” Netanyahu wrote in a post on X after the law was approved in its final readings on Monday. “I intend to act immediately in accordance with the new law to stop the channel’s activity.”
Netanyahu has long sought to shutter broadcasts from the Qatari-based media outlet, alleging anti-Israel bias.
The law, which passed in a 70-10 vote in the Knesset, gives the prime minister and the communications minister the authority to order the closure of foreign networks operating in Israel and confiscate their equipment if it is believed they pose “harm to the state’s security”.
he Knesset approved on Monday evening the so-called Al Jazeera law, giving the government temporary powers to prevent foreign news networks from operating in Israel if they are deemed by the security services to be harming national security.
Law allowing government to temporarily shut down Al Jazeera in Israel passed by Knesset
Legislation passed 71 to 10 gives PM and communications minister temporary powers to shut down foreign news networks deemed threatening to national security for 45-day periods
The law passed 71 to 10 in its second and third readings in the Knesset plenum.
Communications Minister Shlomo Karhi, who spearheaded the effort to pass the law, vowed immediately after the final vote that the Qatari-funded Al Jazeera news channel would be closed down “in the coming days,” saying “there won’t be freedom of expression for Hamas mouthpieces in Israel.”
Huu ndiyo ushahidi wa Al Jazeera wanahusika na Oct 7?
Hahahaha wewe punguani kweli wewe si ulikuwa unapinga kwenye uzi wangu baada kusoma nilichoandika umekuja kufungua uzi🤣🤣🤣Israeli parliament passes law paving the way for Al Jazeera closure
View attachment 2951090
Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to use the law to shutter local operations of Al Jazeera.
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has promised to “act immediately to stop” Al Jazeera’s operations in the country after the Israeli parliament approved a law that grants senior ministers powers to shut down foreign news networks deemed a security risk.
“Al Jazeera will no longer be broadcast from Israel,” Netanyahu wrote in a post on X after the law was approved in its final readings on Monday. “I intend to act immediately in accordance with the new law to stop the channel’s activity.”
Netanyahu has long sought to shutter broadcasts from the Qatari-based media outlet, alleging anti-Israel bias.
The law, which passed in a 70-10 vote in the Knesset, gives the prime minister and the communications minister the authority to order the closure of foreign networks operating in Israel and confiscate their equipment if it is believed they pose “harm to the state’s security”.
he Knesset approved on Monday evening the so-called Al Jazeera law, giving the government temporary powers to prevent foreign news networks from operating in Israel if they are deemed by the security services to be harming national security.
Law allowing government to temporarily shut down Al Jazeera in Israel passed by Knesset
Legislation passed 71 to 10 gives PM and communications minister temporary powers to shut down foreign news networks deemed threatening to national security for 45-day periods
The law passed 71 to 10 in its second and third readings in the Knesset plenum.
Communications Minister Shlomo Karhi, who spearheaded the effort to pass the law, vowed immediately after the final vote that the Qatari-funded Al Jazeera news channel would be closed down “in the coming days,” saying “there won’t be freedom of expression for Hamas mouthpieces in Israel.”
Habari zenye mlengo wa kusupport UgaidiTafsiri yake hawataki watu wapate habari za kweli kutoka Al Jazeera
God yupi Yesu si juzi Pasaka hawa Waisrael walimtandika Yesu au?God Bless Israel
God Bless IsraelGod yupi Yesu si juzi Pasaka hawa Waisrael walimtandika Yesu au?
God yupi Yesu si juzi Pasaka hawa Waisrael walimtandika Yesu au?God Bless Israel
Mungu Ibariki IsraelGod yupi Yesu si juzi Pasaka hawa Waisrael walimtandika Yesu au?
Mungu yupi sasa Yesu? Kama Yesu juzi tu walimtundika msalabani wakampiga kweli.Mungu Ibariki Israel