Israel huenda ikaifungia Al-jazeera kufanya kazi nchini humo

news za uongo wakati AJ yupo kwenye uwanja wa vita? Au kwa vile vyombo vingine vinawapendelea au vinamilikiwa na wao kwa hivyo hawatoi taarifa kama ilivyo?

Ndiyo hivyo hivyo hata Marekani wanataka kuban tiktok wanaogopa watu huwa wanasema ukweli kule bila ya kificho.
 
Safari hii Israel imevuliwa nguo. Al jazeera imepiga mle mle ambamo Israel ilikuwa inaficha uovu wake. Israel ni Gaidi namba 1 Duniani. Mnaoitetea Israel ni Vipofu na viziwi.

Hivi punde Dunia itaelewa kuwa Hitler alikuwa Sahihi.
 
Anajidanganya Nyetanyau,dunia ya leo iliyoendelea,habari zinapatikana kupitia satellite za kisasa,ambazo hata macho,huwa hawazioni.Kweli huyu atakuwa kilaza.
 
 
Hauna picha za wanajeshi wa IDF waliohitimishwa huko Gaza nikutumie? Hao ni Hamas Iran hajajibu mapigo bado.
Hawa Mods wa JF wanafurahisha sana wapo double standard. Mimi ndiyo wa kwanza kuleta uzi kuwa Neyanyahu kaipiga Ban Al Jazeera huko Israel, huyu aliyeleta huu uzi ambao tupo baada ya wangu kuunganishwa alikuwa wa kwanza kupiga kusema ni uongo, akaja na uzi wake kuwa Al Jazeera ya kufungiwa kwa habari za uongo mods wq JF nao wamekubali kuwa Al Jazeera waongo😂 hivi wale mods wa zamani kina Invisible wapo kweli?
 
Kile chombo kinachosapati ugaidi duniani aljazeera kimefurushwa kutoka nchi teule ya israeli

Ikumbukwe aljazeera imekuwa ikirusha habari za uongo kuhusu israeli na kuigemea magaidi ya hamas

Aljazeera is the Mouthpiece of Hamas terrorists

Wakati vita vya Gaza vinaendelea aljazeera inadanganya dunia kuna mauaji kimbali ili kuchochea chuki duniani

Credits: Reuters

My take
Israeli iliwaachia sana Hawa aljazeera wako biased kwa [emoji817] kuhusu israeli

Magaidi ya Hamas huwa yanabeba maiti feki na kuita aljazeera kurusha huo uongo na aljazeera kuisingizia israeli
 
kila kitu mbele ya shoga benja kinaonekana kama Hamas pole yake kiongozi wa mashoga kakamatika safari hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…