Israel (IDF) ni Nchi (jeshi) ambao wako Very Overhyped. Hawana Uwezo Wowote

Israel (IDF) ni Nchi (jeshi) ambao wako Very Overhyped. Hawana Uwezo Wowote

Chaliifrancisco

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
26,021
Reaction score
79,710
Israel asee wanapewaga hype sana. Yani kupigana na magenge ya wahuni kama Kuluna (Hamas na Hezbollah) inawachukua karibu mwaka na nusu bila kufanikisha lengo lake la kuwakomboa mateka na kuifutilia mbali Hamas?

Pamoja na kusaidiwa kwa silaha, manuari, fedha na kaka zao NATO lakini wapi wameishia kuaibika na kidhihirisha kuwa hawana uwezo wowote zaidi ya propaganda za mainstream media na kelele za mazombie ya "taifa teule".


Leo hii Hamas wako Gaza wanashangilia juu ya pickups na mitutu juu.
1000005115.jpg


Kwanza Gaza ni sehemu finyu sana na hao wahuni panya road wa Hamas wameweza kushikilia mateka mwaka na nusu huku Israel ikitumia mabilioni ya dollar kuua watoto na akina mama na kuharibu makazi na miundombinu bila kufanikiwa kukomboa mateka hata mmoja mpaka waje kusaidiwa na Qatar awabembeleze Hamas wawaachie mateka?

Mpaka tarehe 11 January Israel ilishatumia gharama ya zaidi ya Shekel billion 250 sawa na USD 67 billion sawa na Shillingi 169,504,037,000,000.00 za Kitanzania (Trillioni mia moja sitini na tisa na nusu +) bila kufanikiwa kwa chochote hapo Gaza.

Hamas wamechukua ushindi mkubwa sana hapo Gaza. Israel alichofanikiwa ni kuua wanawake na watoto tu hawana kingine chakujivunia.

Sasa tunamtaka 'Mentalnyau' ICC apigwe mvua zakutosha.

Nakala uipate myahudi wa Buza Maghayo Ghayo TheMongo Barbarian

Ritz
 
Itikadi kali mna vituko sanaa🤣🤣

Mna akili za mavi mavi kama ilivyo imani yenu

Ebu kawachukue basi wanywa gahawa wenzake hata 100 mwende mkawapige hao IDF ambao ni overrrarted

🤣🤣Pussy ass nigga
Hapa ongea facts. Gharama alizotumia Israel, muda aliotumia, msaada aliotumia na outocome ya mauaji ya Gaza vinaendana?

Je lengo la IDF kushambulia Gaza ilikuwa kwenda kuua watoto na wamama? Maana ndicho pekee walichoweza.
 
Israel asee wanapewaga hype sana. Yani kupigana na magenge ya wahuni kama Kuluna (Hamas na Hezbollah) inawachukua karibu mwaka na nusu bila kufanikisha lengo lake la kuwakomboa mateka na kuifutilia mbali Hamas?

Pamoja na kusaidiwa kwa silaha, manuari, fedha na kaka zao NATO lakini wapi wameishia kuaibika na kidhihirisha kuwa hawana uwezo wowote zaidi ya propaganda za mainstream media na kelele za mazombie ya "taifa teule".


Leo hii Hamas wako Gaza wanashangilia juu ya pickups na mitutu juu.View attachment 3206235

Kwanza Gaza ni sehemu finyu sana na hao wahuni panya road wa Hamas wameweza kushikilia mateka mwaka na nusu huku Israel ikitumia mabilioni ya dollar kuua watoto na akina mama na kuharibu makazi na miundombinu bila kufanikiwa kukomboa mateka hata mmoja mpaka waje kusaidiwa na Qatar awabembeleze Hamas wawaachie mateka?

Mpaka tarehe 11 January Israel ilishatumia gharama ya zaidi ya Shekel billion 250 sawa na USD 67 billion sawa na Shillingi 169,504,037,000,000.00 za Kitanzania (Trillioni mia moja sitini na tisa na nusu +) bila kufanikiwa kwa chochote hapo Gaza.

Hamas wamechukua ushindi mkubwa sana hapo Gaza. Israel alichofanikiwa ni kuua wanawake na watoto tu hawana kingine chakujivunia.

Sasa tunamtaka 'Mentalnyau' ICC apigwe mvua zakutosha.

Nakala uipate myahudi wa Buza Maghayo Ghayo TheMongo Barbarian

Ritz
uko sahihi wale wanamgambo wa Hamas wako very disciplined and very organized and highly motivated to fight ZIONIST brutal occupation, halafu hawapati msaada wowote rasmi kutoka nje wa silaha wala FEDHA wanatumia uzoefu tu , Mfano mabomu yale yale ambayo ISRAEL anayatupa Gaza ndo yale yale Hamas wanayaokota na kuipiga ISRAEL, Itoshe kusema ISRAEL ni jeshi la mashoga na mabwabwa tu sema linaungwa mkono na Mabepari, bila mabepari lisingekuepo
 
uko sahihi wale wanamgambo wa Hamas wako very disciplined and very organized and highly motivated to fight ZIONIST brutal occupation, halafu hawapati msaada wowote rasmi kutoka nje wa silaha wala FEDHA wanatumia uzoefu tu , Mfano mabomu yale yale ambayo ISRAEL anayatupa Gaza ndo yale yale Hamas wanayaokota na kuipiga ISRAEL, Itoshe kusema ISRAEL ni jeshi la mashoga na mabwabwa tu sema linaungwa mkono na Mabepari, bila mabepari lisingekuepo
Hiyo mijamaa haina kitu zaidi ya porojo nyingi tu.

Zamani watu wengi hasa kizazi chetu hiki tulikuwa tunabishana tu kwa story za vijiweni.

Lakini waliosema muda utazungumza hawakukosea. Leo hii kwa macho yetu tunashuhudia jeshi linalosemekana ndio bora duniani likisaidiana na mabeberu wote duniani (westerners) likishindwa kupigana na panya road Hamas na kushindwa kukomboa mateka kwenye kijiji kidogo cha Gaza mpaka pale wasamaria wema kama Qatar na wenzake wawaombe Hamas wasitishe mapigano na kuwaachia mateka.

Hii imenishangaza sana
 
Hawa Israel wahuni sana. Kwanza wana habari za uongo sana. Usikute Netanyahu alifumuliwa na lile shambulio nyumbani kwake anafanyiwa maupasuaji wanasingizia tezi dume
Toa ushahidi, haya mabo ya... inawezekana, ndio huo ujinga wa kiitikadi
 
Facts nimeweka hapo. Kuwa

1. Israel kashindwa kuokoa mateka
2. Isreael wameshindwa kuimaliza Hamas
3. Israel wametumia dollar billion 67
4. Isreael walichofanikiwa kufanya Gaza ni kuua watoto na wanawake.
Akili Yako imejaa mavi
 
Back
Top Bottom