Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
- #21
Wewe yako imejaa funza kama wachezaji wa asenyetoAkili Yako imejaa mavi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe yako imejaa funza kama wachezaji wa asenyetoAkili Yako imejaa mavi
Wakati ukisema hichi ulichoandikaFacts nimeweka hapo. Kuwa
1. Israel kashindwa kuokoa mateka
2. Isreael wameshindwa kuimaliza Hamas
3. Israel wametumia dollar billion 67
4. Isreael walichofanikiwa kufanya Gaza ni kuua watoto na wanawake.
Vipi, ile revenge ya !!! Kutoka Iran imefanyika au bafo Ayatollah anajipanga tuHakuna kitu hapo. Hayo ya Iran ni propaganda tu za wayahudi. Hawana uwezo
Hebu tuambie basi lengo la IDF kushambulia Gaza ilikuwa ni nini kama sio kuokoa mateka na kuimaliza Hamas.Wakati ukisema hichi ulichoandika
Ni lini Israel alikutangazia kuwa atawamaliza Hamas?
Alokwambia vita vya Israel na Hamasi agenda ya Israel ilikuwa ni kurudisha mateka, nani kasema?
Kuuwa watoto? Tangu lini bomu linachagua wa kumuuwa?
Kwa nini umeshindwa kuleta risti ya viongozi wakuu wa mahamasi waliouliwa na Jeshi la IDF?
Nikisema huo ni ushabiki wa kiitikadi nitakuwa nimekukosea adabu mkuu?
Mwisho, unadhani kile kimefanywa na Israel kule Gaza, kwa maoni yako, ungependa kiendelee?
Kama siyo roboti, nadhani utazungumza kibinadamu
Nilidhani unamajibu ya hayo, kumbe huna, basi!Hebu tuambie basi lengo la IDF kushambulia Gaza ilikuwa ni nini kama sio kuokoa mateka na kuimaliza Hamas.
Mimi sijasema nataka kiendelee au kisiendelee hapa nasema kuwa Israel ameudhihirishia ulimwengu kuwa ni mwepesi sana
Let me guess,you are a muslim right?Israel asee wanapewaga hype sana. Yani kupigana na magenge ya wahuni kama Kuluna (Hamas na Hezbollah) inawachukua karibu mwaka na nusu bila kufanikisha lengo lake la kuwakomboa mateka na kuifutilia mbali Hamas?
Pamoja na kusaidiwa kwa silaha, manuari, fedha na kaka zao NATO lakini wapi wameishia kuaibika na kidhihirisha kuwa hawana uwezo wowote zaidi ya propaganda za mainstream media na kelele za mazombie ya "taifa teule".
Leo hii Hamas wako Gaza wanashangilia juu ya pickups na mitutu juu.View attachment 3206235
Kwanza Gaza ni sehemu finyu sana na hao wahuni panya road wa Hamas wameweza kushikilia mateka mwaka na nusu huku Israel ikitumia mabilioni ya dollar kuua watoto na akina mama na kuharibu makazi na miundombinu bila kufanikiwa kukomboa mateka hata mmoja mpaka waje kusaidiwa na Qatar awabembeleze Hamas wawaachie mateka?
Mpaka tarehe 11 January Israel ilishatumia gharama ya zaidi ya Shekel billion 250 sawa na USD 67 billion sawa na Shillingi 169,504,037,000,000.00 za Kitanzania (Trillioni mia moja sitini na tisa na nusu +) bila kufanikiwa kwa chochote hapo Gaza.
Hamas wamechukua ushindi mkubwa sana hapo Gaza. Israel alichofanikiwa ni kuua wanawake na watoto tu hawana kingine chakujivunia.
Sasa tunamtaka 'Mentalnyau' ICC apigwe mvua zakutosha.
Nakala uipate myahudi wa Buza Maghayo Ghayo TheMongo Barbarian
Ritz
Hapa ongea facts. Gharama alizotumia Israel, muda aliotumia, msaada aliotumia na outocome ya mauaji ya Gaza vinaendana?
Je lengo la IDF kushambulia Gaza ilikuwa kwenda kuua watoto na wamama? Maana ndicho pekee walichoweza.
uko sahihi wale wanamgambo wa Hamas wako very disciplined and very organized and highly motivated to fight ZIONIST brutal occupation, halafu hawapati msaada wowote rasmi kutoka nje wa silaha wala FEDHA wanatumia uzoefu tu , Mfano mabomu yale yale ambayo ISRAEL anayatupa Gaza ndo yale yale Hamas wanayaokota na kuipiga ISRAEL, Itoshe kusema ISRAEL ni jeshi la mashoga na mabwabwa tu sema linaungwa mkono na Mabepari, bila mabepari lisingekuepo
I am a human beingLet me guess,you are a muslim right?
Israel amefanikiwa kushinda vita ya kuua watoto na wamama GazaNasrallah ni mtoto na Haniyeh ni mmama eti?
Okay sawa!
...na kidhihirisha kuwa hawana uwezo wowote ...
Ndio hivyo tena miyahudi mmefeliSawa. Ngoja tukuamini wewe.
Sawa boss. Wayahudi wamefeli.Ndio hivyo tena miyahudi mmefeli
niko nyumbani kwako na mkeoUnatia aibu ukiwa msikiti gani?
Kaufyata bwana wenu Iran kimyaaaauko sahihi wale wanamgambo wa Hamas wako very disciplined and very organized and highly motivated to fight ZIONIST brutal occupation, halafu hawapati msaada wowote rasmi kutoka nje wa silaha wala FEDHA wanatumia uzoefu tu , Mfano mabomu yale yale ambayo ISRAEL anayatupa Gaza ndo yale yale Hamas wanayaokota na kuipiga ISRAEL, Itoshe kusema ISRAEL ni jeshi la mashoga na mabwabwa tu sema linaungwa mkono na Mabepari, bila mabepari lisingekuepo
Netanyahu kwa mdomo wake alisema vita havimalizi hadi Hamas waisheWakati ukisema hichi ulichoandika
Ni lini Israel alikutangazia kuwa atawamaliza Hamas?
www.voanews.com
Netanyahu kwa mdomo wake alisema wanaenda Gaza kuokoa mateka na watarudi Israel naoAlokwambia vita vya Israel na Hamasi agenda ya Israel ilikuwa ni kurudisha mateka, nani kasema?
So unaongea usichojua.Kuuwa watoto? Tangu lini bomu linachagua wa kumuuwa?
Kwa nini umeshindwa kuleta risti ya viongozi wakuu wa mahamasi waliouliwa na Jeshi la IDF?
Nikisema huo ni ushabiki wa kiitikadi nitakuwa nimekukosea adabu mkuu?
Mwisho, unadhani kile kimefanywa na Israel kule Gaza, kwa maoni yako, ungependa kiendelee?
Kama siyo roboti, nadhani utazungumza kibinadamu
Wote hao ni mademu by kobaziiiiiiNasrallah ni mtoto na Haniyeh ni mmama eti?
Okay sawa!
wamuelekeze au umuelekeze?Umenunua wapi mbaya? Ungesema wakuelekeze sehemu inapouzwa nzuri.
Lengo lilikuwa kupunguza kizazi cha palestineHebu tuambie basi lengo la IDF kushambulia Gaza ilikuwa ni nini kama sio kuokoa mateka na kuimaliza Hamas.