Israel (IDF) ni Nchi (jeshi) ambao wako Very Overhyped. Hawana Uwezo Wowote

Israel (IDF) ni Nchi (jeshi) ambao wako Very Overhyped. Hawana Uwezo Wowote

Israel asee wanapewaga hype sana. Yani kupigana na magenge ya wahuni kama Kuluna (Hamas na Hezbollah) inawachukua karibu mwaka na nusu bila kufanikisha lengo lake la kuwakomboa mateka na kuifutilia mbali Hamas?

Pamoja na kusaidiwa kwa silaha, manuari, fedha na kaka zao NATO lakini wapi wameishia kuaibika na kidhihirisha kuwa hawana uwezo wowote zaidi ya propaganda za mainstream media na kelele za mazombie ya "taifa teule".


Leo hii Hamas wako Gaza wanashangilia juu ya pickups na mitutu juu.View attachment 3206235

Kwanza Gaza ni sehemu finyu sana na hao wahuni panya road wa Hamas wameweza kushikilia mateka mwaka na nusu huku Israel ikitumia mabilioni ya dollar kuua watoto na akina mama na kuharibu makazi na miundombinu bila kufanikiwa kukomboa mateka hata mmoja mpaka waje kusaidiwa na Qatar awabembeleze Hamas wawaachie mateka?

Mpaka tarehe 11 January Israel ilishatumia gharama ya zaidi ya Shekel billion 250 sawa na USD 67 billion sawa na Shillingi 169,504,037,000,000.00 za Kitanzania (Trillioni mia moja sitini na tisa na nusu +) bila kufanikiwa kwa chochote hapo Gaza.

Hamas wamechukua ushindi mkubwa sana hapo Gaza. Israel alichofanikiwa ni kuua wanawake na watoto tu hawana kingine chakujivunia.

Sasa tunamtaka 'Mentalnyau' ICC apigwe mvua zakutosha.

Nakala uipate myahudi wa Buza Maghayo Ghayo TheMongo Barbarian

Ritz
Uchambuzi makini kutoka kwa mmatumbi wa machamba wima Bomu Bomu kijiwe samli apo Usha kula harua na sharubati unajamba moshi ulio changanyika na kuberi na kanzu Yako ndani hata boksa hujavaa
Taqbiiiiiiiiir shekhe
 
Kaufyata bwana wenu Iran kimyaaaa
nyie makafiri wa Makambako mnadhani huu ni mgogoro wa kidini, huu si mgogoro wa kidini, huko Palestina kuna makanisa ya tokea enzi ya Yesu na yanaheshimiwa , pia kuna wapalestina wakristo wanaabudu kwa uhuru kabisa na hawabughudhiwi na Hamas , lakini mtu uko simanjiro huko unashabikia wayahudi mtaolewa nyie mayahudi washenzi sana
 
nyie makafiri wa Makambako mnadhani huu ni mgogoro wa kidini, huu si mgogoro wa kidini, huko Palestina kuna makanisa ya tokea enzi ya Yesu na yanaheshimiwa , pia kuna wapalestina wakristo wanaabudu kwa uhuru kabisa na hawabughudhiwi na Hamas , lakini mtu uko simanjiro huko unashabikia wayahudi mtaolewa nyie mayahudi washenzi sana
Wewe unachomeka dini alafu unajitoa na maujinga yako. Kwa hiyo sababu Kuna wakristi ulitaka waisraeli wavamiwe vile wakae kimya siyo?.
 
Israel asee wanapewaga hype sana. Yani kupigana na magenge ya wahuni kama Kuluna (Hamas na Hezbollah) inawachukua karibu mwaka na nusu bila kufanikisha lengo lake la kuwakomboa mateka na kuifutilia mbali Hamas?

Pamoja na kusaidiwa kwa silaha, manuari, fedha na kaka zao NATO lakini wapi wameishia kuaibika na kidhihirisha kuwa hawana uwezo wowote zaidi ya propaganda za mainstream media na kelele za mazombie ya "taifa teule".


Leo hii Hamas wako Gaza wanashangilia juu ya pickups na mitutu juu.View attachment 3206235

Kwanza Gaza ni sehemu finyu sana na hao wahuni panya road wa Hamas wameweza kushikilia mateka mwaka na nusu huku Israel ikitumia mabilioni ya dollar kuua watoto na akina mama na kuharibu makazi na miundombinu bila kufanikiwa kukomboa mateka hata mmoja mpaka waje kusaidiwa na Qatar awabembeleze Hamas wawaachie mateka?

Mpaka tarehe 11 January Israel ilishatumia gharama ya zaidi ya Shekel billion 250 sawa na USD 67 billion sawa na Shillingi 169,504,037,000,000.00 za Kitanzania (Trillioni mia moja sitini na tisa na nusu +) bila kufanikiwa kwa chochote hapo Gaza.

Hamas wamechukua ushindi mkubwa sana hapo Gaza. Israel alichofanikiwa ni kuua wanawake na watoto tu hawana kingine chakujivunia.

Sasa tunamtaka 'Mentalnyau' ICC apigwe mvua zakutosha.

Nakala uipate myahudi wa Buza Maghayo Ghayo TheMongo Barbarian

Ritz
Nimeshangaa sana kweli walio uliwa wengi ni raia, Hamas bado wapo wa kutosha
 
Netanyahu kwa mdomo wake alisema vita havimalizi hadi Hamas waishe

Ushahidi

Leo wako wapi? Kaufyata.


Netanyahu kwa mdomo wake alisema wanaenda Gaza kuokoa mateka na watarudi Israel nao

Ushahidi

Leo yako wapi? Kasanda.

So unaongea usichojua.
Kiongozi wa hamasi leo ni nani vile baba-mwajuma
 
Kiongozi wa hamasi leo ni nani vile baba-mwajuma
Umetoa hoja za uongo umejibiwa unaanza kugeuza maneno, kuwa muungwana kiri ujinga wako kwanza.

Na Wanachopigania Hamas sio will of their leader bali wana will of their people, Hamas hawapiganii matakwa ya mtu kiasi kwamba akifa basi wanaathirika, bali ni matakwa ya Wapalestina, Hamas itapotea pale tu Watakapokufa Wapalestina wote.
 
Israel asee wanapewaga hype sana. Yani kupigana na magenge ya wahuni kama Kuluna (Hamas na Hezbollah) inawachukua karibu mwaka na nusu bila kufanikisha lengo lake la kuwakomboa mateka na kuifutilia mbali Hamas?

Pamoja na kusaidiwa kwa silaha, manuari, fedha na kaka zao NATO lakini wapi wameishia kuaibika na kidhihirisha kuwa hawana uwezo wowote zaidi ya propaganda za mainstream media na kelele za mazombie ya "taifa teule".


Leo hii Hamas wako Gaza wanashangilia juu ya pickups na mitutu juu.View attachment 3206235

Kwanza Gaza ni sehemu finyu sana na hao wahuni panya road wa Hamas wameweza kushikilia mateka mwaka na nusu huku Israel ikitumia mabilioni ya dollar kuua watoto na akina mama na kuharibu makazi na miundombinu bila kufanikiwa kukomboa mateka hata mmoja mpaka waje kusaidiwa na Qatar awabembeleze Hamas wawaachie mateka?

Mpaka tarehe 11 January Israel ilishatumia gharama ya zaidi ya Shekel billion 250 sawa na USD 67 billion sawa na Shillingi 169,504,037,000,000.00 za Kitanzania (Trillioni mia moja sitini na tisa na nusu +) bila kufanikiwa kwa chochote hapo Gaza.

Hamas wamechukua ushindi mkubwa sana hapo Gaza. Israel alichofanikiwa ni kuua wanawake na watoto tu hawana kingine chakujivunia.

Sasa tunamtaka 'Mentalnyau' ICC apigwe mvua zakutosha.

Nakala uipate myahudi wa Buza Maghayo Ghayo TheMongo Barbarian

Ritz
Kawaulize Iran kuhusu Promise III iliishia wapi?
 
Umetoa hoja za uongo umejibiwa unaanza kugeuza maneno, kuwa muungwana kiri ujinga wako kwanza.

Na Wanachopigania Hamas sio will of their leader bali wana will of their people, Hamas hawapiganii matakwa ya mtu kiasi kwamba akifa basi wanaathirika, bali ni matakwa ya Wapalestina, Hamas itapotea pale tu Watakapokufa Wapalestina wote.
Hawa hawataki kukubaliana na ukweli kuwa hao IDF wako overrated tu ila field ni wepesi kabisa.
 
Uchambuzi makini kutoka kwa mmatumbi wa machamba wima Bomu Bomu kijiwe samli apo Usha kula harua na sharubati unajamba moshi ulio changanyika na kuberi na kanzu Yako ndani hata boksa hujavaa
Taqbiiiiiiiiir shekhe
Kama huna hoja na facts lala huko sio lazima ulete boga lako hapa kuandika ujinga.
 
Back
Top Bottom