Israel (IDF) ni Nchi (jeshi) ambao wako Very Overhyped. Hawana Uwezo Wowote

Facts nimeweka hapo. Kuwa

1. Israel kashindwa kuokoa mateka
2. Isreael wameshindwa kuimaliza Hamas
3. Israel wametumia dollar billion 67
4. Isreael walichofanikiwa kufanya Gaza ni kuua watoto na wanawake.
Wakati ukisema hichi ulichoandika

Ni lini Israel alikutangazia kuwa atawamaliza Hamas?

Alokwambia vita vya Israel na Hamasi agenda ya Israel ilikuwa ni kurudisha mateka, nani kasema?

Kuuwa watoto? Tangu lini bomu linachagua wa kumuuwa?

Kwa nini umeshindwa kuleta risti ya viongozi wakuu wa mahamasi waliouliwa na Jeshi la IDF?

Nikisema huo ni ushabiki wa kiitikadi nitakuwa nimekukosea adabu mkuu?

Mwisho, unadhani kile kimefanywa na Israel kule Gaza, kwa maoni yako, ungependa kiendelee?

Kama siyo roboti, nadhani utazungumza kibinadamu
 
Hebu tuambie basi lengo la IDF kushambulia Gaza ilikuwa ni nini kama sio kuokoa mateka na kuimaliza Hamas.

Mimi sijasema nataka kiendelee au kisiendelee hapa nasema kuwa Israel ameudhihirishia ulimwengu kuwa ni mwepesi sana
 
Hebu tuambie basi lengo la IDF kushambulia Gaza ilikuwa ni nini kama sio kuokoa mateka na kuimaliza Hamas.

Mimi sijasema nataka kiendelee au kisiendelee hapa nasema kuwa Israel ameudhihirishia ulimwengu kuwa ni mwepesi sana
Nilidhani unamajibu ya hayo, kumbe huna, basi!
 
Let me guess,you are a muslim right?
 
Nasrallah ni mtoto na Haniyeh ni mmama eti?
Okay sawa!
Hapa ongea facts. Gharama alizotumia Israel, muda aliotumia, msaada aliotumia na outocome ya mauaji ya Gaza vinaendana?

Je lengo la IDF kushambulia Gaza ilikuwa kwenda kuua watoto na wamama? Maana ndicho pekee walichoweza.
 
Unatia aibu ukiwa msikiti gani?
 
Kaufyata bwana wenu Iran kimyaaaa
 
Wakati ukisema hichi ulichoandika

Ni lini Israel alikutangazia kuwa atawamaliza Hamas?
Netanyahu kwa mdomo wake alisema vita havimalizi hadi Hamas waishe

Ushahidi

Leo wako wapi? Kaufyata.

Alokwambia vita vya Israel na Hamasi agenda ya Israel ilikuwa ni kurudisha mateka, nani kasema?
Netanyahu kwa mdomo wake alisema wanaenda Gaza kuokoa mateka na watarudi Israel nao

Ushahidi

Leo yako wapi? Kasanda.
So unaongea usichojua.
 
Wairan ingieni vitani wenyewe msitumie chambo.. Israel haichoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…