Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 667
- 1,582
Shalom,
Kwa kweli kama imqni nyingine zinakwenda Ibada miji mitakatifu yao kuanzia wa budha huko tibet bila shida kabisa
Waislam huko Mecca na Madina
Wahindi na Hindu yao huko Bombay na New dehri
Basi Israel iendelee na safisha safisha mpaka miji ile muhimu ambayo magaidi wanajitapa ipo mikononi mwao, nasi tuelekee zetu fanya ibada muhimu mwisho wa Mwaka Jerusalem, Nazareth, Galilaya, Bethlehemu na mlima Sayuni pia
Shaloom Israel na utukufu kwa Jehova katika Kristo Masihi wetu.
Kama Uzi haukuhusu pita kimya kimya.
Kwa kweli kama imqni nyingine zinakwenda Ibada miji mitakatifu yao kuanzia wa budha huko tibet bila shida kabisa
Waislam huko Mecca na Madina
Wahindi na Hindu yao huko Bombay na New dehri
Basi Israel iendelee na safisha safisha mpaka miji ile muhimu ambayo magaidi wanajitapa ipo mikononi mwao, nasi tuelekee zetu fanya ibada muhimu mwisho wa Mwaka Jerusalem, Nazareth, Galilaya, Bethlehemu na mlima Sayuni pia
Shaloom Israel na utukufu kwa Jehova katika Kristo Masihi wetu.
Kama Uzi haukuhusu pita kimya kimya.