jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Sawa tu mana Mungu wa wayahudi ndio huyo huyo Mungu wa wakristo.Israel yale maeneo wanayachukulia ni matakatifu kwa dini yao ya kiyahudi sio kwa ukristo.
Sijui umeelewa hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tu mana Mungu wa wayahudi ndio huyo huyo Mungu wa wakristo.Israel yale maeneo wanayachukulia ni matakatifu kwa dini yao ya kiyahudi sio kwa ukristo.
Sijui umeelewa hapo!
Acha ujinga na jiwe lenu la kimondo.......mbeya pale hata kurijali hawalijari sasa huko macca sijui mnatafuta nini??Yesu alipaa mbinguni!?
Yesu ni nanil,
Mbnguni ni wapi!?
How can we prove your statement !?
Hao hawana akili kabisa ndugu yangu hata uwaelimishe vipi kuhusu Wayahudi na Ukristo hawaelewi.Wamelogwa hao !!Hivi unajua kama ni illegal kumtaja yesu Israel!?
Hivi unajua kuna baadhi ya makanisa yameanza kuvunjwa kupisha ujenzi wa masinagogi na makazi ya wazayuni!??
Akili zako ziko makalioni au!?
mungu yupi aibariki israel?Acha watukanwe ila magaidi yatangulizwe kuzimu netanyahu piga magaidi yote sababu hayakuwezi god bless Israel 🤣🤣🤣🤣🤣
Shalom,
Kwa kweli kama imqni nyingine zinakwenda Ibada miji mitakatifu yao kuanzia wa budha huko tibet bila shida kabisa
Waislam huko Mecca na Madina
Wahindi na Hindu yao huko Bombay na New dehri
Basi Israel iendelee na safisha safisha mpaka miji ile muhimu ambayo magaidi wanajitapa ipo mikononi mwao, nasi tuelekee zetu fanya ibada muhimu mwisho wa Mwaka Jerusalem, Nazareth, Galilaya, Bethlehemu na mlima Sayuni pia
Shaloom Israel na utukufu kwa Jehova katika Kristo Masihi wetu.
Kama Uzi haukuhusu pita kimya kimya.