Israel iendelee na safishasafisha tukafanye ibada mji mtakatifu Yerusalem, December hii

Israel iendelee na safishasafisha tukafanye ibada mji mtakatifu Yerusalem, December hii

Kuna video na ushahidi kibao Israel ikivunja makanisa na kufanya vurugu kwa wakristo ndani ya Israel.
Naongea kitu kipo real na kikiwa na Ushahidi.
Siropoki kama wewe.
Kuvunja misikiti au makanisa ipo kila sehemu, kwani hapo Central Africa hawavunji!? Serikali ya Israel inatambua uwepo wa Ukristo na Wakristo na inawalinda kama raia wengine ao hizo propaganda za kishenzi sambazeni kwa wajinga. Israel kuna Wayahudi, Waislam na Wakristo na wote wana haki sawa, ndomana maeneo matakatifu ya Wakristo yamehifadhiwa na kulindwa kama yahifadhiwavyo maeneo ya Wayahudi na Waislam
 
Kuvunja misikiti au makanisa ipo kila sehemu, kwani hapo Central Africa hawavunji!? Serikali ya Israel inatambua uwepo wa Ukristo na Wakristo na inawalinda kama raia wengine ao hizo propaganda za kishenzi sambazeni kwa wajinga. Israel kuna Wayahudi, Waislam na Wakristo na wote wana haki sawa, ndomana maeneo matakatifu ya Wakristo yamehifadhiwa na kulindwa kama yahifadhiwavyo maeneo ya Wayahudi na Waislam
Imaam Hussein ibn ali A.S FOREVER
 
Kwa mujibu wa imani ya kiyahudi
Ni ruhusa myahudi kuingia msikitini kufanya ibada ila ni marufuku kuingia kanisani wanasema ni nyumba ya waabudu sanamu

Pia wanasema wanaabudu MUNGU mmoja na waislam na sio MUNGU wa wakristo
Kwenye masuala ya chakula wanaweza kula chakula cha waislam ila cha wakristo never wanasema ni uchafu

Huwa nashangaa sana baadhi ya wakristo wa hapa jukwaani wanavyojipendekeza kwa yahudi kama vile wanaabudu MUNGU mmoja na mila moja ila ni tofauti kabisa

Yahudi kiburi na kufanya ufisadi katika Ardhi ni kawaida yake na dawa yake ni waislam muda ukifika atapata anachostahili. IN SHA ALLAH
 
Kuvunja misikiti au makanisa ipo kila sehemu, kwani hapo Central Africa hawavunji!? Serikali ya Israel inatambua uwepo wa Ukristo na Wakristo na inawalinda kama raia wengine ao hizo propaganda za kishenzi sambazeni kwa wajinga. Israel kuna Wayahudi, Waislam na Wakristo na wote wana haki sawa, ndomana maeneo matakatifu ya Wakristo yamehifadhiwa na kulindwa kama yahifadhiwavyo maeneo ya Wayahudi na Waislam
Hivi wewe jamaa ni fala, punguani ama mwendawazimu!??
Au naongea na zumbukuku asiyejielewa!??
INAMAANA TIMES OF ISRAEL NI CHOMBO CHA HABARI CHA KINA NANI!??
EMBU ACHA UFALA.
SOMA CHINI KWA MAKINI HILO NI GAZETI LA ISRAEL LA WAISRAEL WENYEWE WANAKWAMBIA VURUGU ZA KIDINI BAINA YA UYAHUDI NA UKRISTO ZIMEPAMBA MOTO NA KUONGEZEKA ISRAEL.
WEWE MBWA KOKO WA BONYOKWA UNABISHA KAMA NANI!??
WEWE NA TIMES OF ISRAEL NANI YUPO SAHIHI!??
Soma ripoti tena hiyo hapo chini.
Huko unapopataja makanisa kuvunjwa yanavunjwa kwasababu gani!?
Unafananisha na Israel makanisa yakivunjwa kwa chuki!?
Hapo Jenin kuna misikiti na makanisa jiulize kwanini mahakama ya Tel Aviv imechagua makanisa kuvunjwa na misikiti kuachwa!??
Screenshot_2024-09-29-10-37-53-05_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-29-10-38-07-57_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-29-10-38-31-58_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Dini ya Mayahudi ni Judaism sio ukiristo, Yesu wanamtemea mate na kumtukana na kumwita mtoto wa zinaa, sasa wewe ni mkiristo usiyejielewa, na wakiristo wenzako tele washauliwa na kuhamishwa huko Yerusalem unakotaka kwenda. Unashabikia mazayuni huelewi chochote, ulimwengu mzima na hadi waizrail wenyewe wanaandamana kupinga unyama wa Netanyahu wewe huko gongolamboto unafurahia.
Sasa mbona unalialia
 
Hivi unajua kama ni illegal kumtaja yesu Israel!?
Hivi unajua kuna baadhi ya makanisa yameanza kuvunjwa kupisha ujenzi wa masinagogi na makazi ya wazayuni!??
Akili zako ziko makalioni au!?
wewe ni mpumbafu kwelikweli. Sasa kanisa linajengwa Israel ili iweje wakati wao wana dini yao waliyoachiwa na Mussa! Mussa aliwaachia dini ya Kiyahudi ambayo kwa mara ya Kwanza Mfalme wao seleman alijenga hekalu au Synagogeu pale Jerusalem.

Wayahudi wanadini yao ya Kiyahudi. Wewe mpuuzi tambua kuwa hakuna kitu kinaitwa dini ya kikristo sisi sio wajinga kwamba kumfuata Yesu ni dini. Yesu hakuja duniani kuanzisha dini
 
Waislamu akili zenu zimekaririshwa chuki tu kwa wakristo. Unajua kanisa la Nativity mahali ambapo panaaminika alizaliwa kristo Yesu. Kwa nini wayahudi walinde eneo hilo kama hawamuamini Yesu?
Na wewe hata vitu vidogo kama hivi hujui, wayahudi ma yesu wapi na wapi?
Wayahudi wanaamini mungu ni mmoja tu ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa
Na kitabu chao ni torah, na wanakula kosher foods kama halal food kwa waislam na hawali nguruwe kama wewe
 
Tushakujua we ni mwana uliyeasi wa MONGOL GENGIS KHAN.
Nishakuzoea wewe hata uongee nin
Niletee ushahidi wa USA wakristo wakishambuliwa kwa sababu za kidini!?
Israel wakristo wanashambuliwa kwasababu za kidini.
Yani kiufupi wakristo hawapendwi.
Sasa NATAKA UNILETEE USHAHIDI WA USA WAKRISTO WAKISHAMBULIWA KWA SABABU YA KIDINI!?
Nahisi najadili na mlevi hapa ama kijana wa darasa la nne.
Wakristo popote pale walipo wanashambuliwa na wayahudi.
Kwanini husikii waislam wakishambuliwa kama waislam kwa sababu za kidini!?
Popote pale ndani ya Israel wakristo wanashambuliwa na wayahudi.
Wakristo wa bongo mna mavi kichwani.
Nikiripoti kutoka Bonyokwa ni mimi Oustadhi Kasugi,?
 
wewe ni mpumbafu kwelikweli. Sasa kanisa linajengwa Israel ili iweje wakati wao wana dini yao waliyoachiwa na Mussa! Mussa aliwaachia dini ya Kiyahudi ambayo kwa mara ya Kwanza Mfalme wao seleman alijenga hekalu au Synagogeu pale Jerusalem.

Wayahudi wanadini yao ya Kiyahudi. Wewe mpuuzi tambua kuwa hakuna kitu kinaitwa dini ya kikristo sisi sio wajinga kwamba kumfuata Yesu ni dini. Yesu hakuja duniani kuanzisha dini
We msenge unaropoka nini!?
Kwahiyo wenzako wanaosema dini ya ukristo aliyeileta Yesu wao ni wajinga!?
Yesu mnamuitaje kama sio Yesu kristo!??
Kwanza unajua mada imeanzia wapi na inaelekea wapi!??
Soma mada upya nguruwe pori wewe.
 
We msenge unaropoka nini!?
Kwahiyo wenzako wanaosema dini ya ukristo aliyeileta Yesu wao ni wajinga!?
Yesu mnamuitaje kama sio Yesu kristo!??
Kwanza unajua mada imeanzia wapi na inaelekea wapi!??
Soma mada upya nguruwe pori wewe.
kulialia na kutukanakutukana haisadii chochote, huko magaidi moto wanapelekewa tu…..taka lazima Zisafishwe Mji mtakatifu……desemba tuende ibada
 
Hakuna ibada itakayoendelea Israel kama hajatoka gaza nyie salini makwenu tu. Hii mbungi bado tunayo
 
Hivi unajua kama ni illegal kumtaja yesu Israel!?
Hivi unajua kuna baadhi ya makanisa yameanza kuvunjwa kupisha ujenzi wa masinagogi na makazi ya wazayuni!??
Akili zako ziko makalioni au!?
Bora MYAUDI kuliko muaraba anafadhir ugaidi afrika
 
Hivi unajua kama ni illegal kumtaja yesu Israel!?
Hivi unajua kuna baadhi ya makanisa yameanza kuvunjwa kupisha ujenzi wa masinagogi na makazi ya wazayuni!??
Akili zako ziko makalioni au!?
Acha kudanganya watu hapa
Netanyahu mwenyewe kwenye hotuba zake angeacha kumtaja basi
 
Back
Top Bottom