Hivi unajua kama ni illegal kumtaja yesu Israel!?Shalom,
Kwa kweli kama imqni nyingine zinakwenda Ibada miji mitakatifu yao kuanzia wa budha huko tibet bila shida kabisa
Waislam huko Mecca na Madina
Wahindi na Hindu yao huko Bombay na New dehri
Basi Israel iendelee na safisha safisha mpaka miji ile muhimu ambayo magaidi wanajitapa ipo mikononi mwao, nasi tuelekee zetu fanya ibada muhimu mwisho wa Mwaka Jerusalem, Nazareth, Galilaya, Bethlehemu na mlima Sayuni pia
Shaloom Israel na utukufu kwa Jehova katika Kristo Masihi wetu.
Kama Uzi haukuhusu pita kimya kimya.
Hiyo haibadilishi kwamba Yesu aliishi na kukaa Israel mpaka anapaa mbinguni. Yesu angekuwa akubaliki Israel maeneo yake ya makumbusho wangeyachoma moto siku nyingi.Hivi unajua kama ni illegal kumtaja yesu Israel!?
Hivi unajua kuna baadhi ya makanisa yameanza kuvunjwa kupisha ujenzi wa masinagogi na makazi ya wazayuni!??
Akili zako ziko makalioni au!?
Israel yale maeneo wanayachukulia ni matakatifu kwa dini yao ya kiyahudi sio kwa ukristo.Hiyo haibadilishi kwamba Yesu aliishi na kukaa Israel mpaka anapaa mbinguni. Yesu angekuwa akubaliki Israel maeneo yake ya makumbusho wangeyachoma moto siku nyingi.
Waislamu akili zenu zimekaririshwa chuki tu kwa wakristo. Unajua kanisa la Nativity mahali ambapo panaaminika alizaliwa kristo Yesu. Kwa nini wayahudi walinde eneo hilo kama hawamuamini Yesu?Israel yale maeneo wanayachukulia ni matakatifu kwa dini yao ya kiyahudi sio kwa ukristo.
Sijui umeelewa hapo!
Yesu alipaa mbinguni!?Hiyo haibadilishi kwamba Yesu aliishi na kukaa Israel mpaka anapaa mbinguni. Yesu angekuwa akubaliki Israel maeneo yake ya makumbusho wangeyachoma moto siku nyingi
Mji mtakatifu!?Shalom,
Kwa kweli kama imqni nyingine zinakwenda Ibada miji mitakatifu yao kuanzia wa budha huko tibet bila shida kabisa
Waislam huko Mecca na Madina
Wahindi na Hindu yao huko Bombay na New dehri
Basi Israel iendelee na safisha safisha mpaka miji ile muhimu ambayo magaidi wanajitapa ipo mikononi mwao, nasi tuelekee zetu fanya ibada muhimu mwisho wa Mwaka Jerusalem, Nazareth, Galilaya, Bethlehemu na mlima Sayuni pia
Shaloom Israel na utukufu kwa Jehova katika Kristo Masihi wetu.
Kama Uzi haukuhusu pita kimya kimya.
Thibitisha kwamba wewe ni weweYesu alipaa mbinguni!?
Yesu ni nanil,
Mbnguni ni wapi!?
How can we prove your statement !?
Kunywa maji upumzike ustaadhi, Israel kuna wakristo na wanamtaja Yesu Kristo vizuri tu na hata waislam wapo na wanamtaja Mudi. Hizo ni story za kujifariji kutoka madrasaHivi unajua kama ni illegal kumtaja yesu Israel!?
Hivi unajua kuna baadhi ya makanisa yameanza kuvunjwa kupisha ujenzi wa masinagogi na makazi ya wazayuni!??
Akili zako ziko makalioni au!?
Kuna video na ushahidi kibao Israel ikivunja makanisa na kufanya vurugu kwa wakristo ndani ya Israel.Kunywa maji upumzike ustaadhi, Israel kuna wakristo na wanamtaja Yesu Kristo vizuri tu na hata waislam wapo na wanamtaja Mudi. Hizo ni story za kujifariji kutoka madrasa
Mi naona unalopoka tu, ungepita kimya kimya Oustadhi. Halafu Oustadhi unawaza makalio muda woteKuna video na ushahidi kibao Israel ikivunja makanisa na kufanya vurugu kwa wakristo ndani ya Israel.
Naongea kitu kipo real na kikiwa na Ushahidi.
Siropoki kama wewe.
Kaa kimya kama hauna cha kuongea.Mi naona unalopoka tu, ungepita kimya kimya Oustadhi. Halafu Oustadhi unawaza makalio muda wote
Dini ya Mayahudi ni Judaism sio ukiristo, Yesu wanamtemea mate na kumtukana na kumwita mtoto wa zinaa, sasa wewe ni mkiristo usiyejielewa, na wakiristo wenzako tele washauliwa na kuhamishwa huko Yerusalem unakotaka kwenda. Unashabikia mazayuni huelewi chochote, ulimwengu mzima na hadi waizrail wenyewe wanaandamana kupinga unyama wa Netanyahu wewe huko gongolamboto unafurahia.Shalom,
Kwa kweli kama imqni nyingine zinakwenda Ibada miji mitakatifu yao kuanzia wa budha huko tibet bila shida kabisa
Waislam huko Mecca na Madina
Wahindi na Hindu yao huko Bombay na New dehri
Basi Israel iendelee na safisha safisha mpaka miji ile muhimu ambayo magaidi wanajitapa ipo mikononi mwao, nasi tuelekee zetu fanya ibada muhimu mwisho wa Mwaka Jerusalem, Nazareth, Galilaya, Bethlehemu na mlima Sayuni pia
Shaloom Israel na utukufu kwa Jehova katika Kristo Masihi wetu.
Kama Uzi haukuhusu pita kimya kimya.
Wayahudi hawapalindi kisa Yesu hapo pimbi wewe.Waislamu akili zenu zimekaririshwa chuki tu kwa wakristo. Unajua kanisa la Nativity mahali ambapo panaaminika alizaliwa kristo Yesu. Kwa nini wayahudi walinde eneo hilo kama hawamuamini Yesu?
HAIJALISHI NARUDIA TENA MARA KWA MARA BORA KUDHARAULIWA, KUTENGWA, KUBAGULIWA, KUTEMEWA MATE NA KUULIWA NA WAYAHUDI KWANI NI BARAKA KULIKO KUPENDWA NA KUKUBALIKA NA MIARABU KWANI NI LAANA.Hivi unajua kama ni illegal kumtaja yesu Israel!?
Hivi unajua kuna baadhi ya makanisa yameanza kuvunjwa kupisha ujenzi wa masinagogi na makazi ya wazayuni!??
Akili zako ziko makalioni au!?
Tushakujua we ni mwana uliyeasi wa MONGOL GENGIS KHAN.HAIJALISHI NARUDIA TENA MARA KWA MARA BORA KUDHARAULIWA, KUTENGWA, KUBAGULIWA, KUTEMEWA MATE NA KUULIWA NA WAYAHUDI KWANI NI BARAKA KULIKO KUPENDWA NA KUKUBALIKA NA MIARABU KWANI NI LAANA.
JESUS FIRST JESUS FOREVER
KATIKA YESU LAZIMA TUAMINI NA KUABUDU
JESUS IS GOD
HUNIAMBII KITU KUHUSU ISRAEL NA YESU
Niletee ushahidi wa USA wakristo wakishambuliwa kwa sababu za kidini!?Oustadhi Makalio, ushawahi kusikia wamechinjwa huko?
Halafu Oustadhi Makalio Kuna west na East Jerusalem, huko East wanakaa watu gani wengi ambapo ndio West bank
Halafu Oustadhi Makalio kwani kuna maeneo gani duniani wakristo hawashambuliwi, Marekani yenyewe kila siku wanashambuliwa na wanachama wenzako wa LGBTQ