Israel iendelee na safishasafisha tukafanye ibada mji mtakatifu Yerusalem, December hii

Israel yale maeneo wanayachukulia ni matakatifu kwa dini yao ya kiyahudi sio kwa ukristo.
Sijui umeelewa hapo!
Sawa tu mana Mungu wa wayahudi ndio huyo huyo Mungu wa wakristo.
 
Yesu alipaa mbinguni!?

Yesu ni nanil,
Mbnguni ni wapi!?

How can we prove your statement !?
Acha ujinga na jiwe lenu la kimondo.......mbeya pale hata kurijali hawalijari sasa huko macca sijui mnatafuta nini??
 
Hivi unajua kama ni illegal kumtaja yesu Israel!?
Hivi unajua kuna baadhi ya makanisa yameanza kuvunjwa kupisha ujenzi wa masinagogi na makazi ya wazayuni!??
Akili zako ziko makalioni au!?
Hao hawana akili kabisa ndugu yangu hata uwaelimishe vipi kuhusu Wayahudi na Ukristo hawaelewi.Wamelogwa hao !!
 
Acha watukanwe ila magaidi yatangulizwe kuzimu netanyahu piga magaidi yote sababu hayakuwezi god bless Israel 🤣🤣🤣🤣🤣
mungu yupi aibariki israel?
 
Your browser is not able to display this video.
 
Safisha safisha imeendelea na SASA MLIMA HERMON UPO CHINI YA TAIFA TEULE.

Ikipendeza iendelee mpaka huko IRAN iwe mkoa wa ISRAEL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…