Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hili swali langu.Hajabu ni nini hapo Kwaiyo hao watoto wa kike walizibeba hizo ndege kwenye mapaja yao mbona hata Iran kuna wanawake kwenye mifumo ya Air defense na jeshi la kawaida na la anga na kuhusu ilo shambulio mbona inatumika nguvu kubwa sana huku ikiwa hakuna hata video moja clear kama kule Israel iliposhindwa kuzuia mvua ya makombola mpaka USA akapeleka another Air defense THAAD baada ya iron dome David string na allow 3 kulala usingizi
Shambulio lipi ndiyo au unazungumzia ilo shambulio la kiuoga kusave Netanyahu face kwa Dunia sasa kama shambulio la kulipa kisasi cha makombola 200 na kuhalibiwa ndege zako za kisasa F35 ndiyo lile la kiuoga kuna haja gani ya Iran kuwa na wasiwasi hakuna miundombinu yoyote iliyohaliniwa si viwanda vya mafuta wala nuclear power plants Zaid ya ngonjera ohooo tumelipiza 😀😀sawa je kuna madhara Gani ya wazi ukiacha maneno matupu ya wayahudiJibu hili swali langu.
IRAN aliahidi kuichakaza Israel Kama italipa shambulizi, isreal kalipa shambulizi,mbona IRAN kakaa kimya Kama chura ndani ya mtungi???
Hivi Kuna uhusiano gani kuwa MUISLAMU na upumbavu,,wewe ni moja ya wapumbavu,, shambulizi la IRAN halikuuwa hata mtu mmoja,huku shambulizi la Israel liliua mwanajeshi mmoja wa IRAN na ku prove kuwa mifumo yao ya ulinzi Haina nguvu,, hauwezi kufikilia au haujui haya???Shambulio lipi ndiyo au unazungumzia ilo shambulio la kiuoga kusave Netanyahu face kwa Dunia sasa kama shambulio la kulipa kisasi cha makombola 200 na kuhalibiwa ndege zako za kisasa F35 ndiyo lile la kiuoga kuna haja gani ya Iran kuwa na wasiwasi hakuna miundombinu yoyote iliyohaliniwa si viwanda vya mafuta wala nuclear power plants Zaid ya ngonjera ohooo tumelipiza 😀😀sawa je kuna madhara Gani ya wazi ukiacha maneno matupu ya wayahudi
So far hakuna kapicha hata ka video ka kuthibitisha? Hii ndo vita pekee inayopiganwa kwenye ulimwengu wa Camera, video, lakini hakuna hata kinusu Kikombora kilichodakwa kwenye video.Mkuu wa majeshi ya Uingereza amesema katika shambulio lake la Oktoba 26 dhidi ya Iran, Israel ilizima karibu mfumo wote wa ulinzi wa anga wa Iran na ndege za kijeshi za kizazi cha tano mia moja na kuharibu uwezo wa Iran wa kutengeneza makombora ya masafa marefu kwa mwaka mmoja.
Ndege za kijeshi za kizazi cha tano pekee za Israel, zenye uwezo wa ndege hizo kulingana na Admiral Tony Redkin, ni ndege za kivita za F35.
Hii ni mara ya kwanza kwa afisa wa ngazi ya juu wa jeshi kuzungumzia hadharani kuhusu aina ya ndege zilizotumika katika shambulio la Israel dhidi ya Iran na matokeo ya shambulio hilo.
ENDELEA KUSOMA HAPA CHINI 👇👇
Je, Israel ilifanikiwa kuzuia uwezo wa Iran kuzalisha makombora ya masafa marefu? Je, Israel ilifanikiwa kuzuia uwezo wa Iran kuzalisha makombora ya masafa marefu?
We hujui kama Waisrael hawafi? Ukiskia Israel katangaza Askari wake kafa ujue ana cheo kikubwa.Hivi Kuna uhusiano gani kuwa MUISLAMU na upumbavu,,wewe ni moja ya wapumbavu,, shambulizi la IRAN halikuuwa hata mtu mmoja,huku shambulizi la Israel liliua mwanajeshi mmoja wa IRAN na ku prove kuwa mifumo yao ya ulinzi Haina nguvu,, hauwezi kufikilia au haujui haya???
Sidhani kama ukimya wa Iran unamaanisha udhaifu, ila naamini kupoa kwao kunatokana na miongozo ya rais wao.Huwenda uko sahihi, ila cha kujiuliza mimi na wewe, Je tambo za Iran kulipa kisasi cha pap kwa papo kama ilivyodai baada ya jaribio lake kuishambulia Israel, kwamba, endapo Israel atajaribu kulipiza, atapigwa achakae, bado unamsikia akisema tena baada ya hiki unachpinga?
We hujui kama Waisrael hawafi? Ukiskia Israel katangaza Askari wake kafa ujue ana cheo kikubwa.
Nikukumbushe tu video za yale Makombora
View: https://x.com/astraiaintel/status/1841169199651303914
Asa maneno mnayosema IRAN ni Bora kuliko isreal mnatumia misingi ipi??,alilipizwa akakaa kimya mazima,Kama yeye ni shujaa kwa Nini asilipize Tena Kama alivyosema?Sidhani kama ukimya wa Iran unamaanisha udhaifu, ila naamini kupoa kwao kunatokana na miongozo ya rais wao.
Sheikh wangu. Al Jazeera huwaamini? Matokeo ya vita vyao si yanaonekana?assad yu wapi? Nini wanachofanya Zayuni kwa sasa huko Gaza? Hizbu wapo wapi?hamas? Syria?iran? Haya mbona yanaonekana bila hata kuvaa miwani sheikh wangu?Sawa nijuze lakini Kwa evidence Sasa wewe unaandika TU Kama hivyo na source inayotoka upande mmoja jeshi la Iran linasema tofauti na unachokizungumza kwahio Mimi nikusukilize wewe?zayuni anajulikana Kwa kutoa habari za uongo hapo Mimi hunipati kitu chochote kutoka Kwa mazayuni mpaka nijionee mwenyewe ndio ntasadiki
Wapi nimesema Iran ni bora kuliko Israel? Hizi ni statement za kitoto tu.Asa maneno mnayosema IRAN ni Bora kuliko isreal mnatumia misingi ipi??,alilipizwa akakaa kimya mazima,Kama yeye ni shujaa kwa Nini asilipize Tena Kama alivyosema?
Nani kakwambia Mimi ni muisilamu na umeona wapi nimeweka udini yangu hapo Mimi Sio mfia dini hizo za kizombi za western na Arabian Mimi nimependa facts ila wewe kwasababu ni popoma na upo unga kichwani unaleta dini ili kuuwa hoja zangu makini NB: MIMI SIO MFIA DINI leta hojaHivi Kuna uhusiano gani kuwa MUISLAMU na upumbavu,,wewe ni moja ya wapumbavu,, shambulizi la IRAN halikuuwa hata mtu mmoja,huku shambulizi la Israel liliua mwanajeshi mmoja wa IRAN na ku prove kuwa mifumo yao ya ulinzi Haina nguvu,, hauwezi kufikilia au haujui haya???
Mimi nipo unga,wewe ni kichwa waziNani kakwambia Mimi ni muisilamu na umeona wapi nimeweka udini yangu hapo Mimi Sio mfia dini hizo za kizombi za western na Arabian Mimi nimependa facts ila wewe kwasababu ni popoma na upo unga kichwani unaleta dini ili kuuwa hoja zangu makini NB: MIMI SIO MFIA DINI leta hoja
Pili shambulio la Iran lilikua Sio kuuwa raia wasio na hatia kama afanyavyo Israel. jiulize kama alipiga Base zenye ulinzi angeshindwa kuyaelekeza makombola 200 kwenye maghorofa yeye alialibu Israel military assert Note: msikalili vita Sio kuuwa raia kama mlivyozoeshwa na Bibi Bali ni kulenga military za mpinzani kumlemaza kimedani kuuwa raia wasio na hatia ni uoga na Sio sifa sawa
Na hii ndiyo maana nikasema wewe upo unga kichwani
Tunatumia msingi wa Israel pekee na Iran pekee bila washirika.mpaka sasa hujatambua tu kwamba vita ya Israel ni ya Marekani!?Asa maneno mnayosema IRAN ni Borai kuliko isreal mnatumia misingi ipi??,alilipizwa akakaa kimya mazima,Kama yeye ni shujaa kwa Nini asilipize Tena Kama alivyosema?
Sawa MKUU umesha lipa kisasi sasa Jikite kwenye hoja zanguMimi nipo unga,wewe ni kichwa wazi
Eehheee Sasa nioneshe matokeo ya shambulio lililo haribu uwezo wote wa Iran wa makomboraSheikh wangu. Al Jazeera huwaamini? Matokeo ya vita vyao si yanaonekana?assad yu wapi? Nini wanachofanya Zayuni kwa sasa huko Gaza? Hizbu wapo wapi?hamas? Syria?iran? Haya mbona yanaonekana bila hata kuvaa miwani sheikh wangu?
Labda kama huna akili au exposure ndiyo unaweza fikiri hivyo.Iran ni level ingine wewe. Iran huwa hapigi majumba ukiona mtu anapiga majumba ujuwe ni dhaifu.
Msikiti wa shehe tumbo tumefadhaishwa na kitendo cha Iran kuogopa kujibu mapigo. Hii ni aibu kubwa sana kwa Allah.Eehheee Sasa nioneshe matokeo ya shambulio lililo haribu uwezo wote wa Iran wa makombora