Israel ilivyo angamiza uwezo wa Iran kutengeneza makombora

Israel ilivyo angamiza uwezo wa Iran kutengeneza makombora

Labda kama huna akili au exposure ndiyo unaweza fikiri hivyo.
Nipe certificate ya mirembe basi 🤣 Mimi nafurahi kichaa wanao sema 1=3 wakinita sina akili. Wakapime vizuri akili zao 1=3 aje hapo.

Au zile bibilia zenu hazijitambui mara ziseme hakuna mtu kawahi muona Mungu, mara ziseme hakuna mtu wa kawaida kawahi hata kusikia sauti ya Mungu. Mara ziseme Mungu ni mmoja tu, mara ziseme 1=3 hilo gazeti la chakubanga afu mseme mimi sina akili hahaha poleni sana.
 
Shambulio lipi ndiyo au unazungumzia ilo shambulio la kiuoga kusave Netanyahu face kwa Dunia sasa kama shambulio la kulipa kisasi cha makombola 200 na kuhalibiwa ndege zako za kisasa F35 ndiyo lile la kiuoga kuna haja gani ya Iran kuwa na wasiwasi hakuna miundombinu yoyote iliyohaliniwa si viwanda vya mafuta wala nuclear power plants Zaid ya ngonjera ohooo tumelipiza 😀😀sawa je kuna madhara Gani ya wazi ukiacha maneno matupu ya wayahudi
Shambulio la irani la October mosi .kwenye taswira ya dunia lilipeleka ujumbe huu
1. Isreaeli defence force ni ya kawaida sana kwa nchi zenye miliatary za kisasa tofauti na mbwembwe za magharibi na misifa kedekede kuhusu isreli na wao wakavimba kichwa
2.Mifumo ya isreli sio ya kuminika tena na hivyo soko lake litadorora has kwa waarabu
3.waarabu wajitafarik kwenye kutoa mabillion ya hela kununua hiyo mifumo kuwa ndo kinga pekee ya ulizni wao
4.waaribu hawanaulinzi kama blinken alovyo waambiwa eti usa itawalinda tena kwa nchi ziliyoko kilometa 150 karibu na iran kama wameweza kulenga shabaha mbali wa kilometa 1500 na 2000
5.ulinzi wa isreli sio wa kuaminika na hivyo mabillioni ya uwekezJi hayawezi kuplekwa isreli kufunga viwanda vyenye high tech maan ni riski hamana billioneor atakayekubali kupeleka uwekezaji wa mana kwenye hali kama hii iliyopo isreli
6.Soko la Iran la slaa limepaa na heshima yao imekuwa kubwa dunia japo cnn na fox hawawezi kulisema hili
 
Nani kakwambia Mimi ni muisilamu na umeona wapi nimeweka udini yangu hapo Mimi Sio mfia dini hizo za kizombi za western na Arabian Mimi nimependa facts ila wewe kwasababu ni popoma na upo unga kichwani unaleta dini ili kuuwa hoja zangu makini NB: MIMI SIO MFIA DINI leta hoja

Pili shambulio la Iran lilikua Sio kuuwa raia wasio na hatia kama afanyavyo Israel. jiulize kama alipiga Base zenye ulinzi angeshindwa kuyaelekeza makombola 200 kwenye maghorofa yeye alialibu Israel military assert Note: msikalili vita Sio kuuwa raia kama mlivyozoeshwa na Bibi Bali ni kulenga military za mpinzani kumlemaza kimedani kuuwa raia wasio na hatia ni uoga na Sio sifa sawa

Na hii ndiyo maana nikasema wewe upo unga kichwani
Shambulio la irani la October mosi .kwenye taswira ya dunia lilipeleka ujumbe huu
1. Isreaeli defence force ni ya kawaida sana kwa nchi zenye miliatary za kisasa tofauti na mbwembwe za magharibi na misifa kedekede kuhusu isreli na wao wakavimba kichwa
2.Mifumo ya isreli sio ya kuminika tena na hivyo soko lake litadorora has kwa waarabu
3.waarabu wajitafarik kwenye kutoa mabillion ya hela kununua hiyo mifumo kuwa ndo kinga pekee ya ulizni wao
4.waaribu hawanaulinzi kama blinken alovyo waambiwa eti usa itawalinda tena kwa nchi ziliyoko kilometa 150 karibu na iran kama wameweza kulenga shabaha mbali wa kilometa 1500 na 2000
5.ulinzi wa isreli sio wa kuaminika na hivyo mabillioni ya uwekezJi hayawezi kuplekwa isreli kufunga viwanda vyenye high tech maan ni riski hamana billioneor atakayekubali kupeleka uwekezaji wa mana kwenye hali kama hii iliyopo isreli
6.Soko la Iran la slaa limepaa na heshima yao imekuwa kubwa dunia japo cnn na fox hawawezi kulisema hili
 
Shambulio la irani la October mosi .kwenye taswira ya dunia lilipeleka ujumbe huu
1. Isreaeli defence force ni ya kawaida sana kwa nchi zenye miliatary za kisasa tofauti na mbwembwe za magharibi na misifa kedekede kuhusu isreli na wao wakavimba kichwa
2.Mifumo ya isreli sio ya kuminika tena na hivyo soko lake litadorora has kwa waarabu
3.waarabu wajitafarik kwenye kutoa mabillion ya hela kununua hiyo mifumo kuwa ndo kinga pekee ya ulizni wao
4.waaribu hawanaulinzi kama blinken alovyo waambiwa eti usa itawalinda tena kwa nchi ziliyoko kilometa 150 karibu na iran kama wameweza kulenga shabaha mbali wa kilometa 1500 na 2000
5.ulinzi wa isreli sio wa kuaminika na hivyo mabillioni ya uwekezJi hayawezi kuplekwa isreli kufunga viwanda vyenye high tech maan ni riski hamana billioneor atakayekubali kupeleka uwekezaji wa mana kwenye hali kama hii iliyopo isreli
6.Soko la Iran la slaa limepaa na heshima yao imekuwa kubwa dunia japo cnn na fox hawawezi kulisema hili

View: https://youtu.be/ipJ80yH2BfI?feature=shared
 
Mbona hizbulah hawrushi tena makombora huko Israel ili kuwasaidia Hama's. Nasrallah kishaliwa kichwa
Ha ha ha ha ha walisema wameharibu makombora yote ya Hezbollah cha ajabu Hezbollah wakaendelea kuwachapa na makombora hayo hayo mpaka wayahudi wakaomba pooo mchana kweupe



Ukweli mchungu ni kwamba Israeli level zake ni hamas tu
Hi
 
Ha ha ha ha ha walisema wameharibu makombora yote ya Hezbollah cha ajabu Hezbollah wakaendelea kuwachapa na makombora hayo hayo mpaka wayahudi wakaomba pooo mchana kweupe



Ukweli mchungu ni kwamba Israeli level zake ni hamas tu
Hezbollah mara ya mwisho kurusha makombora kwenda Israel ilikua lini?

GOD BLESS NETANYAHU
GOD BLESS ISRAEL
 
Irani alianza kupiga , Israel akalipa,mbona huyo iran amekaa kimya???,kwa ubabe zaidi Israel amechukua maeneo ya Syria ambao ni washirika wa IRAN,na Bado anaendelea kupiga pale Palestina,Ina maanisha IRAN haoni??,kwa Nini kakaa kimya??
Kwani yeye haogopi?
 
Vita ni calculation....IRAN anajua NIA ya Israel+ US ..8ddle east ichafuke..
Hakuna inchi iliyozungukwa na uadui na foregn intelligence of organization, ndani na nje ya mipaka... RUSSIA + Korea cha mtoto.
Nahisi balaa kubwa ndani ya administration ya TRUMP ( sio much smart) manake NETANYAU lazima atamuingiza ktk agenda...
 
Aliyemalizwa uwezo Kaunda ndege yake

⚡️𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬 ⚡️

𝗜𝗿𝗮𝗻 𝗧𝗼 𝗨𝗻𝘃𝗲𝗶𝗹 𝗜𝘁𝘀 𝟱𝘁𝗵-𝗚𝗲𝗻 𝗙𝗶𝗴𝗵𝘁𝗲𝗿 𝗝𝗲𝘁: 𝗠𝗲𝗲𝘁 𝘁𝗵𝗲 𝗤𝗮𝗵𝗲𝗿 𝗙-𝟯𝟭𝟯…

𝐓𝐡𝐞 𝐐𝐚𝐡𝐞𝐫 𝐅-𝟑𝟏𝟑 — in development since 2013, has finally been completed.

It is set to be a fully 𝘂𝗻𝗺𝗮𝗻𝗻𝗲𝗱 𝗷𝗲𝘁.

𝐈𝐫𝐚𝐧’𝐬 𝐀𝐢𝐫𝐟𝐨𝐫𝐜𝐞 𝐡𝐚𝐬 𝐟𝐢𝐧𝐚𝐥𝐥𝐲 𝐟𝐨𝐮𝐧𝐝 𝐚 𝐬𝐨𝐥𝐮𝐭𝐢𝐨𝐧
 
Mkuu wa majeshi ya Uingereza amesema katika shambulio lake la Oktoba 26 dhidi ya Iran, Israel ilizima karibu mfumo wote wa ulinzi wa anga wa Iran na ndege za kijeshi za kizazi cha tano mia moja na kuharibu uwezo wa Iran wa kutengeneza makombora ya masafa marefu kwa mwaka mmoja.

Ndege za kijeshi za kizazi cha tano pekee za Israel, zenye uwezo wa ndege hizo kulingana na Admiral Tony Redkin, ni ndege za kivita za F35.

Hii ni mara ya kwanza kwa afisa wa ngazi ya juu wa jeshi kuzungumzia hadharani kuhusu aina ya ndege zilizotumika katika shambulio la Israel dhidi ya Iran na matokeo ya shambulio hilo.
ENDELEA KUSOMA HAPA CHINI 👇👇

Je, Israel ilifanikiwa kuzuia uwezo wa Iran kuzalisha makombora ya masafa marefu? Je, Israel ilifanikiwa kuzuia uwezo wa Iran kuzalisha makombora ya masafa marefu?


Unawasikiliza mashoga ??


General shoga UK.jpeg



Maj Gen Alastair Bruce was married to Stephen Knott in the shadow of Edinburgh Castle last month
 
Sisi wenye akili tulisema hili. Tuliona namna Iran ilivyonyong'onyea na kujitutumua kidogo.... Tunajua kile kipigo cha mayahudi kilituathiri sana mpaka hii leo. Na wale makafiri wanakupiga halafu wananyamaza wewe au wenzio ndo waseme. Mbwa kabisa wale. Iran ipo hoi kwa sasa.

Ritz Webabu na Adiosamigo inabidi tuangalie tunafanyaje katika hilo.
Iran ilipigwa kuliko hata ilivyotangazwa. Israel walisema hawatashambulia vituo vya nyuklia, lakini walikishambulia kituo kikubwa, kilichokuwa kwenye maficho, kwa kukiangamiza kabisa. Zile picha za satellite ilikuwa ni kama hakukuwahi hata kuwa na jengo. Iran imebakia kusomba maelfu ya tani za vifusi.

Iran imejua hali iliyo nayo, ndiyo maana imeamua kukaa kimya kabisa. Radar na mifumo yake ya ulinzi iliyopo nchini mwake imeteketezwa. Radar na mifumo ya ulinzi wa anga, iliyoiweka nchin Syria, nayo imeangamizwa. Kwa hiyo nchi imebakia gizani kiusalama. Wanaombea siku ziende, labda huko mbele wajijenge upya.

Hii ndiyo Israel iliyosema kuwa itaipiga Iran, kiasi kwamba hata Iran yenyewe itashindwa kuelewa imepigwa kwa namna gani.
 
Shambulio la irani la October mosi .kwenye taswira ya dunia lilipeleka ujumbe huu
1. Isreaeli defence force ni ya kawaida sana kwa nchi zenye miliatary za kisasa tofauti na mbwembwe za magharibi na misifa kedekede kuhusu isreli na wao wakavimba kichwa
2.Mifumo ya isreli sio ya kuminika tena na hivyo soko lake litadorora has kwa waarabu
3.waarabu wajitafarik kwenye kutoa mabillion ya hela kununua hiyo mifumo kuwa ndo kinga pekee ya ulizni wao
4.waaribu hawanaulinzi kama blinken alovyo waambiwa eti usa itawalinda tena kwa nchi ziliyoko kilometa 150 karibu na iran kama wameweza kulenga shabaha mbali wa kilometa 1500 na 2000
5.ulinzi wa isreli sio wa kuaminika na hivyo mabillioni ya uwekezJi hayawezi kuplekwa isreli kufunga viwanda vyenye high tech maan ni riski hamana billioneor atakayekubali kupeleka uwekezaji wa mana kwenye hali kama hii iliyopo isreli
6.Soko la Iran la slaa limepaa na heshima yao imekuwa kubwa dunia japo cnn na fox hawawezi kulisema hili
Hakika mkuu tumeingopewa miaka mingi sana juu ya uwezo wa Israel kuizidi ety mpaka USA, NATO, Russia kwamba hao wote ni takataka mbele ya ilo taifa la wateule Israel what level of stupidity yaan umzidi mtu anayekuweka mjini(USA) kwa hali hii ninamashaka na ukweli juu Six day war
 
Back
Top Bottom