Israel ilivyo angamiza uwezo wa Iran kutengeneza makombora

Labda kama huna akili au exposure ndiyo unaweza fikiri hivyo.
Nipe certificate ya mirembe basi ๐Ÿคฃ Mimi nafurahi kichaa wanao sema 1=3 wakinita sina akili. Wakapime vizuri akili zao 1=3 aje hapo.

Au zile bibilia zenu hazijitambui mara ziseme hakuna mtu kawahi muona Mungu, mara ziseme hakuna mtu wa kawaida kawahi hata kusikia sauti ya Mungu. Mara ziseme Mungu ni mmoja tu, mara ziseme 1=3 hilo gazeti la chakubanga afu mseme mimi sina akili hahaha poleni sana.
 
Msikiti wa shehe tumbo tumefadhaishwa na kitendo cha Iran kuogopa kujibu mapigo. Hii ni aibu kubwa sana kwa Allah.
Iran atajibu tuu hatuna shaka na hilo
 
Shambulio la irani la October mosi .kwenye taswira ya dunia lilipeleka ujumbe huu
1. Isreaeli defence force ni ya kawaida sana kwa nchi zenye miliatary za kisasa tofauti na mbwembwe za magharibi na misifa kedekede kuhusu isreli na wao wakavimba kichwa
2.Mifumo ya isreli sio ya kuminika tena na hivyo soko lake litadorora has kwa waarabu
3.waarabu wajitafarik kwenye kutoa mabillion ya hela kununua hiyo mifumo kuwa ndo kinga pekee ya ulizni wao
4.waaribu hawanaulinzi kama blinken alovyo waambiwa eti usa itawalinda tena kwa nchi ziliyoko kilometa 150 karibu na iran kama wameweza kulenga shabaha mbali wa kilometa 1500 na 2000
5.ulinzi wa isreli sio wa kuaminika na hivyo mabillioni ya uwekezJi hayawezi kuplekwa isreli kufunga viwanda vyenye high tech maan ni riski hamana billioneor atakayekubali kupeleka uwekezaji wa mana kwenye hali kama hii iliyopo isreli
6.Soko la Iran la slaa limepaa na heshima yao imekuwa kubwa dunia japo cnn na fox hawawezi kulisema hili
 
Shambulio la irani la October mosi .kwenye taswira ya dunia lilipeleka ujumbe huu
1. Isreaeli defence force ni ya kawaida sana kwa nchi zenye miliatary za kisasa tofauti na mbwembwe za magharibi na misifa kedekede kuhusu isreli na wao wakavimba kichwa
2.Mifumo ya isreli sio ya kuminika tena na hivyo soko lake litadorora has kwa waarabu
3.waarabu wajitafarik kwenye kutoa mabillion ya hela kununua hiyo mifumo kuwa ndo kinga pekee ya ulizni wao
4.waaribu hawanaulinzi kama blinken alovyo waambiwa eti usa itawalinda tena kwa nchi ziliyoko kilometa 150 karibu na iran kama wameweza kulenga shabaha mbali wa kilometa 1500 na 2000
5.ulinzi wa isreli sio wa kuaminika na hivyo mabillioni ya uwekezJi hayawezi kuplekwa isreli kufunga viwanda vyenye high tech maan ni riski hamana billioneor atakayekubali kupeleka uwekezaji wa mana kwenye hali kama hii iliyopo isreli
6.Soko la Iran la slaa limepaa na heshima yao imekuwa kubwa dunia japo cnn na fox hawawezi kulisema hili
 

View: https://youtu.be/ipJ80yH2BfI?feature=shared
 
Mbona hizbulah hawrushi tena makombora huko Israel ili kuwasaidia Hama's. Nasrallah kishaliwa kichwa
Ha ha ha ha ha walisema wameharibu makombora yote ya Hezbollah cha ajabu Hezbollah wakaendelea kuwachapa na makombora hayo hayo mpaka wayahudi wakaomba pooo mchana kweupe



Ukweli mchungu ni kwamba Israeli level zake ni hamas tu
Hi
 
Ha ha ha ha ha walisema wameharibu makombora yote ya Hezbollah cha ajabu Hezbollah wakaendelea kuwachapa na makombora hayo hayo mpaka wayahudi wakaomba pooo mchana kweupe



Ukweli mchungu ni kwamba Israeli level zake ni hamas tu
Hezbollah mara ya mwisho kurusha makombora kwenda Israel ilikua lini?

GOD BLESS NETANYAHU
GOD BLESS ISRAEL
 
Irani alianza kupiga , Israel akalipa,mbona huyo iran amekaa kimya???,kwa ubabe zaidi Israel amechukua maeneo ya Syria ambao ni washirika wa IRAN,na Bado anaendelea kupiga pale Palestina,Ina maanisha IRAN haoni??,kwa Nini kakaa kimya??
Kwani yeye haogopi?
 
Vita ni calculation....IRAN anajua NIA ya Israel+ US ..8ddle east ichafuke..
Hakuna inchi iliyozungukwa na uadui na foregn intelligence of organization, ndani na nje ya mipaka... RUSSIA + Korea cha mtoto.
Nahisi balaa kubwa ndani ya administration ya TRUMP ( sio much smart) manake NETANYAU lazima atamuingiza ktk agenda...
 
Aliyemalizwa uwezo Kaunda ndege yake

โšก๏ธ๐๐ซ๐ž๐š๐ค๐ข๐ง๐  ๐๐ž๐ฐ๐ฌ โšก๏ธ

๐—œ๐—ฟ๐—ฎ๐—ป ๐—ง๐—ผ ๐—จ๐—ป๐˜ƒ๐—ฒ๐—ถ๐—น ๐—œ๐˜๐˜€ ๐Ÿฑ๐˜๐—ต-๐—š๐—ฒ๐—ป ๐—™๐—ถ๐—ด๐—ต๐˜๐—ฒ๐—ฟ ๐—๐—ฒ๐˜: ๐— ๐—ฒ๐—ฒ๐˜ ๐˜๐—ต๐—ฒ ๐—ค๐—ฎ๐—ต๐—ฒ๐—ฟ ๐—™-๐Ÿฏ๐Ÿญ๐Ÿฏโ€ฆ

๐“๐ก๐ž ๐๐š๐ก๐ž๐ซ ๐…-๐Ÿ‘๐Ÿ๐Ÿ‘ โ€” in development since 2013, has finally been completed.

It is set to be a fully ๐˜‚๐—ป๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ป๐—ฒ๐—ฑ ๐—ท๐—ฒ๐˜.

๐ˆ๐ซ๐š๐งโ€™๐ฌ ๐€๐ข๐ซ๐Ÿ๐จ๐ซ๐œ๐ž ๐ก๐š๐ฌ ๐Ÿ๐ข๐ง๐š๐ฅ๐ฅ๐ฒ ๐Ÿ๐จ๐ฎ๐ง๐ ๐š ๐ฌ๐จ๐ฅ๐ฎ๐ญ๐ข๐จ๐ง
 


Unawasikiliza mashoga ??





Maj Gen Alastair Bruce was married to Stephen Knott in the shadow of Edinburgh Castle last month
 
Iran ilipigwa kuliko hata ilivyotangazwa. Israel walisema hawatashambulia vituo vya nyuklia, lakini walikishambulia kituo kikubwa, kilichokuwa kwenye maficho, kwa kukiangamiza kabisa. Zile picha za satellite ilikuwa ni kama hakukuwahi hata kuwa na jengo. Iran imebakia kusomba maelfu ya tani za vifusi.

Iran imejua hali iliyo nayo, ndiyo maana imeamua kukaa kimya kabisa. Radar na mifumo yake ya ulinzi iliyopo nchini mwake imeteketezwa. Radar na mifumo ya ulinzi wa anga, iliyoiweka nchin Syria, nayo imeangamizwa. Kwa hiyo nchi imebakia gizani kiusalama. Wanaombea siku ziende, labda huko mbele wajijenge upya.

Hii ndiyo Israel iliyosema kuwa itaipiga Iran, kiasi kwamba hata Iran yenyewe itashindwa kuelewa imepigwa kwa namna gani.
 
Hakika mkuu tumeingopewa miaka mingi sana juu ya uwezo wa Israel kuizidi ety mpaka USA, NATO, Russia kwamba hao wote ni takataka mbele ya ilo taifa la wateule Israel what level of stupidity yaan umzidi mtu anayekuweka mjini(USA) kwa hali hii ninamashaka na ukweli juu Six day war
 
Iran aache kutunishiana ubavu na Israel!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ