Israel Imesema Imetumia Sehemu Ndogo ya Uwezo Wake Kuishambulia Iran, Uwezo Kamili Itautumia Iran Ikijibu

Israel Imesema Imetumia Sehemu Ndogo ya Uwezo Wake Kuishambulia Iran, Uwezo Kamili Itautumia Iran Ikijibu

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Jeshi la Israel limesema kuwa katika shambulio lake la Jumamosi dhidi ya vituo vya kijeshi vya Iran, ilitumia sehemu ndogo ya uwezo wake wa kijeshi, kuionya Iran, lakini uwezo wake kamili itautumia kama endapo Iran itajibu shambulio hilo:

"Israel’s chief of the general staff, Herzi Halevi, warned on Sunday that any threat against his country would be dealt with militarily. He added that Israel had “used only a portion” of its military capabilities during Saturday’s strikes on Iran."

Israel imesema kuwa ilipiga sehemu kubwa ya atargets zote alizodhamiria, na kuleta madhara kwa adui yaliyotarajiwa.

Jeshi limezuia kwa kiasi fulani wanajeshi wake na wananchi kusambaza picha za uharibifu uliofanywa na shambulio hilo ili kuipa Iran nafasi ya kuwahadaa wananchi wake kuwa hakukuwa na madhara, ili kusiwe na msukumo wa wananchi kuitaka Serikali ya Iran ijibu mashambulizi.

"Israel had a relatively muted public posture immediately after the strikes, which was intentional, according to a source familiar with the government’s thinking, aimed at giving Iran the opportunity to downplay the strikes and avoid further escalation.

Iran’s government seemed to seize that opportunity initially, claiming the strikes caused only limited damage at military sites, even as it acknowledged that one civilian and four Iranian soldiers were killed.

Baadhi ya ndege za kijeshi za Israel ziliweza kuingia kwenye anga la Iran, huku nyingine zikishambulia kutokea nje ya anga la Iran. Iran imepeleka malalamiko yake Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa kufuatia shambulio hili:

"As part of Israel’s airstrikes on Iran early Saturday, some Israeli warplanes breached Iranian airspace, representing a significant Israeli military capability against Iran.
About 100 Israeli aircraft took part in the mission, though not all of them entered Iranian airspace."

Iran imesema haitaki vita na Israel lakini ina wajibu wa kulinda raia wake:

" The Iranian president warned tensions would escalate if Israel continues its aggression and crimes. We do not seek war, but we will defend the rights of the people and the nation. IRNA also quoted Iranian Foreign Minister Abbas Araghchi as saying Iran was not seeking war, but adding that it would respond to any aggression by Israel at an “appropriate time.”

HATUA ILIZOCHUKUA IRAN BAADA YA SHAMBULIO
Iran imepeleka malalamiko yake kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

MADHARA YA SHAMBULIO
Kwa kunukuu taarifa toka kwa maafisa watatu wa Iran, na maafisa watatu wa Israel: kwanza kwa kutumia ndege za kivita, Israel ilishambulia mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran iliyopo Syria na Iraq ili kuzuia marafiki marafiki wa Iran kushambulia ndege zikiwa safarini kuelekea kuishambulia Iran.

"Citing three Israeli and three Iranian officials, the first phase of the attack, Israeli jets targeted air defence systems in Syria and Iraq, preventing Tehran’s allies from intercepting the aircraft en route."

Ndani ya Iran pia, mifumo ya ulinzi wa anga ilishambuliwa ili kuzuia uwezo wa Iran kuishambulia Israel kwa siku za mbeleni. Mitambo 3 ya kutoka Urusi ya S-300 iliyokuwepo mjini Tehran, Parchin na Parand, nayo ilipigwa. Picha za video pia zilionesha kiwanda cha kutengeneza mitambo inayotumia mafuta na gas kilichopigwa.

"In Iran, air defence systems were also attacked, with the aim of limiting Iran’s ability to fend off future attacks. Some of the targeted systems are supposed to protect important sites, including the Abadan oil refinery, the Bandar Imam Khomeini petrochemical complex, the gasfield Tange Bijar, and Bandar port in the south of the country, the paper said."

Three Russian-made S-300 air defence systems around Tehran were also reportedly hit, as well as the Parchin and Parand military bases, it added. Social media videos appeared to show damage to a factory near the capital that builds oil and gas industry machinery"

Picha za satellite zimeonesha majengo yaliyovunjwa kabisa, mojawapo ni lile linaloaminika ni kiwanda cha kutengeneza makombora.

"Satellite imagery analysed by the Associated Press and Reuters showed one totally destroyed structure and several damaged ones at Parchin, near Tehran, a site the International Atomic Energy Agency says is linked to the Iranian nuclear programme. Two buildings appeared to have suffered damage at the nearby Khojir military base, which western analysts believe is a production site for long-range ballistic missiles"

Pia sehemu 3 za uzalishaji makombora katika jimbo la Tehran, zilipigwa.

"Three missile manufacturing sites in Tehran province operated by the guards were attacked: Falagh, Shaid Ghadiri and Abdol Fath."

Jeshi la Iran halijatoa taarifa ya maeneo haya yaliyopigwa, bali limetamka tu kuwa kuna madhara kiasi yametokea, na kwamba kiasi kikubwa cha makombora kilitunguliwa na mifumo ya ulinzi wa anga.

"The Iranian army has not commented on the reported destruction at the Parchin, Khojir and Parand military bases. It said “limited damage” was caused to air defence systems in Khuzestan, Ilam and Tehran but that the country had intercepted most of the Israeli projectiles."

Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah, amesema kuwa shambulio hili lisipunguzwe makali yake wala kukuzwa, na suala la kujibu shambulio hilo, linaweza lisiwepo."

" Iran’s supreme leader, Ayatollah Ali Khamenei, said on Sunday the event “should neither be minimised nor exaggerated”, and that military officials would discuss Iran’s next steps, suggesting retaliation may not be imminent."

NOTE: Tuombe viongozi wa Iran wapatwe na hekima ili kulinda uhai wa binadamu. Uamuzi wa Israel kuwajulisha Iran juu ya maeneo watakayoshambulia, na Iran kuwaondosha binadamu maeneo hayo, imesaidia sana kupunguza idadi ya vifo. Tatizo la vifo vingi vya raia bado ni kubwa huko Gaza na Lebanon. Ni vema Dunia ichukue hatua madhubuti zitakazozuia wapiganaji kujificha kwenye makundi ya raia huko Gaza na Lebanon ili kuokoa maisha ya raia.
 
Propaganda tu ambazo hata Iran wanaweza kuzitengeneza ili kujifisia kwamba nao hawajapata madhara makubwa na kwamba hata wao walitumia uwezo wao kidogo sana waliposhambulia Israel.
Cha kujiuliza kwanini Israel itumie nguvu kubwa Gaza ilihali ikijua Hamas hawana uwezo mkubwa wa kukabiliana nao lakini watumie nguvu ndogo Iran ambao wana uwezo mkubwa wa kukabiliana nao na kuleta upinzani dhidi yao! Israel iache maneno ya khanga na blah blah.
 
Kazi yetu wambogo ni kushabikia propaganda za kupuuzi, mtu anatafuta habari haina msaada wowote zaidi ya propaganda analeta hapa sie tuna matatizo makubwa.
 
Hakuna justification ya ujinga wa Israeli, aache kuua watu Palestina na kuchukua maeneo yao.
Atafute solution ya kudumu itakayoridhiwa na pande zote ili watu wapalestina wapate haki zao.

Ugomvi wa Israeli na Iran chanzo chake ni uonevu wa Israeli juu ya watu wa Palestina, Kosa la Iran ni kusimama upande wa Palestina na kutaka Palestina apewe haki yake.
Israeli aache kufanya mauaji ya kijeuri kule Palestina na kuua hovyohovyo watoto na akina mama Kwa kigezo cha Hamasi ilihali hamasi ipo kwasababu ya udhalimu wa Israeli.

Haya mengine ni ushabiki tu, wote kwa pamoja tumkemee Israeli kwa ujinga anaofanya, maana tuliwakemea Makaburu walivyoua ndugu zetu SA mpaka wakaacha, Ulaya yote na USA inamkemea Russia anavyowapiga waukraine mpaka kumpa misaada lakini Kwa suala la Palestina wote wako kimya baadala yake wanasimama nyuma ya Israeli, basi tusimame nyuma ya Urusi pia akiua watu pale Ukraine.
Hittler analaumiwa Kwa mauaji ya wayahudi lakini hakuna anayeilaumu Israeli kwa mauaji ya wapalestina.

Wapalestina wapewe haki yao nao waishi kama binadamu wengine wanavyoishi duniani hapa.
 
Hakuna justification ya ujinga wa Israeli, aache kuua watu Palestina na kuchukua maeneo yao.
Atafute solution ya kudumu itakayoridhiwa na pande zote ili watu wapalestina wapate haki zao.

Ugomvi wa Israeli na Iran chanzo chake ni uonevu wa Israeli juu ya watu wa Palestina, Kosa la Iran ni kusimama upande wa Palestina na kutaka Palestina apewe haki yake.
Israeli aache kufanya mauaji ya kijeuri kule Palestina na kuua hovyohovyo watoto na akina mama Kwa kigezo cha Hamasi ilihali hamasi ipo kwasababu ya udhalimu wa Israeli.

Haya mengine ni ushabiki tu, wote kwa pamoja tumkemee Israeli kwa ujinga anaofanya, maana tuliwakemea Makaburu walivyoua ndugu zetu SA mpaka wakaacha, Ulaya yote na USA inamkemea Russia anavyowapiga waukraine mpaka kumpa misaada lakini Kwa suala la Palestina wote wako kimya baadala yake wanasimama nyuma ya Israeli, basi tusimame nyuma ya Urusi pia akiua watu pale Ukraine.
Hittler analaumiwa Kwa mauaji ya wayahudi lakini hakuna anayeilaumu Israeli kwa mauaji ya wapalestina.

Wapalestina wapewe haki yao nao waishi kama binadamu wengine wanavyoishi duniani hapa.
Mauaji ya mtu yeyote asiye na athari kwa uhai wa watu wengine, ni tendo la kishetani. Siyo kila uhalifu, hasa uhalifu usiohatarisha maisha ya mwanadamu, suluhisho huwa ni kumwua. Kulikuwa na utulivu mkubwa baada ya kuundwa kwa mamalaka ya ndani ya Palestine. Mambo yalianza kuharibika pale hamas walipoanza kuwaua wayahudi kwa kujilipua, na wayahudi kuanza kujenga makazi eneo lililokubaliwa kuwa ni la wapalestina.. Toka hapo ndipo Israrael ilichukua hatua kali dhidi yawapalestina kama njia ya kujihami, na hamas wakazidisha mashambulizi dhidi ya walowezi. Ni wakati huo ndio wayahudi wakajenga na uzio.

Ukishajenga mazingira ya kutiliwa mashaka, ujue watadhurika hata wasiohusika.

Mgogoro wa Mashariki ya Kati siyo rahisi kama wengi wanavyofikiria. Mgogoro huu umekuwa laana kwa sababu suluhu ya tatizo kutoka mwanzo lilielekezwa kwenye vita.

Wayahudi wengi walipoenda Palestine kuungana na wayahudi wachache walioishi kwenye eneo la Palestine miaka yote, huku wao wakiwa wachache, wenzao waarabu wakiwa wengi, walipotaka kupata taifa, hawakutumia vita kupata Taifa la Israel, na wakafanikiwa. Israel ilitaka eneo lote liwe nchi moja, waarabu bila ya kutumia vita, walifanikiwa kulizuia hilo kufanyika. Ikabidi Umoja wa Mataifa ukubali kuundwa kwa mataifa mawili, la Israel na Palestine. Waarabu wa Palestine, kwa kudanganywa na baadhi ya mataifa ya kiarabu, hasa Misri, wakagomea uamuzi wa UN, wakaanzisha vita (hilo ni kosa kubwa la kwanza). Hawakufanikiwa.

Mwaka 1967, hata baada ya kushuhudia jitihada za kutumia vita mwaka 1948 ziliwafanya wapoteze zaidi, wakarudia tena kosa lile lile, wakaanzisha vita. Matokeo yake wakapoteza hata kidogo kilichosalia. Misri baada ya kugundua kosa lake katika mikakati yake, akaingia kwenye meza ya mazungumzo na Israel, ikaweza kulikombia eneo lake la Sinai.

Bahati mbaya zaidi, Hamas pamoja na kushuhudia kupoteza zaidi wakati wote wanapotumia njia ya mapigano katika kutafuta wanachokifaka, mwakajana wamerudia makosa hayo hayo. Wameingia Israel, na kuwaua Wayahud, tena wakiwemo watoto, wanawake, wazee na wanajeshi wachache. Kwa sababu wamekosa akili, maarifa na hekima, watapoteza zaidi.

Hata Serikali ya mamlaka ya ndani ya PLO hawakuipata kwa njia ya mapigano, bali mazungumzo. Sasa kama una akili, hiyo njia inayokupatia angalao mafanikio fulani, si ndiyo ilikuwa ya kuikazania ili ikupe mafanikio zaidi?

Maafa wanayoyapata Hamas, Hezbollah na wenzao wengine, ni ya kujitakia, kwa maana hakuna nchi ambayo utaenda uue watu wake halafu wakakuacha. Siku zote kila kifo cha muisrael mmoja, kilijibiwa na vifo zaidi ya 10 vya waarabu. Safari hii, tayari kifo cha myahudi mmoja kimelipwa kwa vifo vya wapalestina zaidi ya 40.

Wapalestina kama hawatagundua njia sahihi ya kuitafuta haki yao, kila siku watazidi kupoteza zaidi badala ya kukomboa.. Na haya mapambano yanayoendelea sasa ni mabaya kuliko yote yaliyowahi kutokea huku nyuma.
 
Tujikite kwenye kudai KATIBA MPYA BORA !
Hii habari ya ISRAEL NA IRAN HAINA FAIDA NA SISI HUKU TANZANIA 🇹🇿 !
 
Hakuna justification ya ujinga wa Israeli, aache kuua watu Palestina na kuchukua maeneo yao.
Atafute solution ya kudumu itakayoridhiwa na pande zote ili watu wapalestina wapate haki zao.

Ugomvi wa Israeli na Iran chanzo chake ni uonevu wa Israeli juu ya watu wa Palestina, Kosa la Iran ni kusimama upande wa Palestina na kutaka Palestina apewe haki yake.
Israeli aache kufanya mauaji ya kijeuri kule Palestina na kuua hovyohovyo watoto na akina mama Kwa kigezo cha Hamasi ilihali hamasi ipo kwasababu ya udhalimu wa Israeli.

Haya mengine ni ushabiki tu, wote kwa pamoja tumkemee Israeli kwa ujinga anaofanya, maana tuliwakemea Makaburu walivyoua ndugu zetu SA mpaka wakaacha, Ulaya yote na USA inamkemea Russia anavyowapiga waukraine mpaka kumpa misaada lakini Kwa suala la Palestina wote wako kimya baadala yake wanasimama nyuma ya Israeli, basi tusimame nyuma ya Urusi pia akiua watu pale Ukraine.
Hittler analaumiwa Kwa mauaji ya wayahudi lakini hakuna anayeilaumu Israeli kwa mauaji ya wapalestina.

Wapalestina wapewe haki yao nao waishi kama binadamu wengine wanavyoishi duniani hapa.
Ndugu umenena japo mimi mkristo na sipendi kabisa Hamas wanavyotumia njia ya majibizano kupigania haki yao lakini ukweli ni kuwa Israeli inasafisha kizazi cha wapalestina Gaza, yaani ni uhalifu ambao hauelezeki katika historia ya binadamu jamaa wamenyimwa chakula , maji, mafuta, madawa, umeme karibu miezi 12 leo watu wanalisha watotot mende aisee , wanaaambiwa hama huku nenda kule kisha wanapigwa mabomu kabla hawajafika, maelfu ya watu wamefukiwa kwenye vifusi wakiwa hai , kama ni kutafuta mateka wangetafuta njia nyingine salama zaidi kwa raia
 
Propaganda tu ambazo hata Iran wanaweza kuzitengeneza ili kujifisia kwamba nao hawajapata madhara makubwa na kwamba hata wao walitumia uwezo wao kidogo sana waliposhambulia Israel.
Cha kujiuliza kwanini Israel itumie nguvu kubwa Gaza ilihali ikijua Hamas hawana uwezo mkubwa wa kukabiliana nao lakini watumie nguvu ndogo Iran ambao wana uwezo mkubwa wa kukabiliana nao na kuleta upinzani dhidi yao! Israel iache maneno ya khanga na blah blah.
Tunasubiri Iran wako ajibu ili tuone atakavyochapwa.

Gaza inatumika nguvu ndogo mno kwanza wale magaidi wanajificha kwa raia na kuwatumia raia kama shield na kuwazuia wasiondoke pale Israel anapowaambia raia waondoke eneo fulani ili magaidi wa hamas wachapwe.

Africa nzima yenye nchi zaidi ya 54 hakuna nchi yenye jeshi kinaloifikia israe.

MUNGU WA ISRAEL ANETUKUZWA NA ATAENDELEA KUTUKUZWAl
 
Jeshi la Israel limesema kuwa katika shambulio lake la Jumamosi dhidi ya vituo vya kijeshi vya Iran, ilitumia sehemu ndogo ya uwezo wake wa kijeshi, kuionya Iran, lakini uwezo wake kamili itautumia kama endapo Iran itajibu shambulio hilo:

"Israel’s chief of the general staff, Herzi Halevi, warned on Sunday that any threat against his country would be dealt with militarily. He added that Israel had “used only a portion” of its military capabilities during Saturday’s strikes on Iran."

Israel imesema kuwa ilipiga sehemu kubwa ya atargets zote alizodhamiria, na kuleta madhara kwa adui yaliyotarajiwa. Jeshi limezuia kwa kiasi fulani wanajeshi wake na wananchi kusambaza picha za uharibifu uliofanywa na shambulio hilo ili kuipa Iran nafasi ya kuwahadaa wananchi wake kuwa hakukuwa na madhara, ili kusiwe na msukumo wa wananchi kuitaka Serikali ya Iran ijibu mashambulizi.

"Israel had a relatively muted public posture immediately after the strikes, which was intentional, according to a source familiar with the government’s thinking, aimed at giving Iran the opportunity to downplay the strikes and avoid further escalation.
Iran’s government seemed to seize that opportunity initially, claiming the strikes caused only limited damage at military sites, even as it acknowledged that one civilian and four Iranian soldiers were killed.

Baadhi ya ndege za kijeshi za Israel ziliweza kuingia kwenye anga la Iran, huku nyingine zikishambulia kutokea nje ya anga la Iran. Iran imepeleka malalamiko yake Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa kufuatia shambulio hili:

"As part of Israel’s airstrikes on Iran early Saturday, some Israeli warplanes breached Iranian airspace, representing a significant Israeli military capability against Iran.
About 100 Israeli aircraft took part in the mission, though not all of them entered Iranian airspace."

Iran imesema haitaki vita na Israel lakini ina wajibu wa kulinda raia wake:

" The Iranian president warned tensions would escalate if Israel continues its aggression and crimes. We do not seek war, but we will defend the rights of the people and the nation. IRNA also quoted Iranian Foreign Minister Abbas Araghchi as saying Iran was not seeking war, but adding that it would respond to any aggression by Israel at an “appropriate time.”

HATUA ILIZOCHUKUA IRAN BAADA YA SHAMBULIO
Iran imepeleka malalamiko yake kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

MADHARA YA SHAMBULIO
Kwa kunukuu taarifa toka kwa maafisa watatu wa Iran, na maafisa watatu wa Israel: kwanza kwa kutumia ndege za kivita, Israel ilishambulia mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran iliyopo Syria na Iraq ili kuzuia marafiki marafiki wa Iran kushambulia ndege zikiwa safarini kuelekea kuishambulia Iran.

"Citing three Israeli and three Iranian officials, the first phase of the attack, Israeli jets targeted air defence systems in Syria and Iraq, preventing Tehran’s allies from intercepting the aircraft en route."

Ndani ya Iran pia, mifumo ya ulinzi wa anga ilishambuliwa ili kuzuia uwezo wa Iran kuishambulia Israel kwa siku za mbeleni. Mitambo 3 ya kutoka Urusi ya S-300 iliyokuwepo mjini Tehran, Parchin na Parand, nayo ilipigwa. Picha za video pia zilionesha kiwanda cha kutengeneza mitambo inayotumia mafuta na gas kilichopigwa.

"In Iran, air defence systems were also attacked, with the aim of limiting Iran’s ability to fend off future attacks. Some of the targeted systems are supposed to protect important sites, including the Abadan oil refinery, the Bandar Imam Khomeini petrochemical complex, the gasfield Tange Bijar, and Bandar port in the south of the country, the paper said."
Three Russian-made S-300 air defence systems around Tehran were also reportedly hit, as well as the Parchin and Parand military bases, it added. Social media videos appeared to show damage to a factory near the capital that builds oil and gas industry machinery"


Picha za satellite zimeonesha majengo yaliyovunjwa kabisa, mojawapo ni lile linaloaminika ni kiwanda cha kutengeneza makombora.
"Satellite imagery analysed by the Associated Press and Reuters showed one totally destroyed structure and several damaged ones at Parchin, near Tehran, a site the International Atomic Energy Agency says is linked to the Iranian nuclear programme. Two buildings appeared to have suffered damage at the nearby Khojir military base, which western analysts believe is a production site for long-range ballistic missiles"

Pia sehemu 3 za uzalishaji makombora katika jimbo la Tehran, zilipigwa.

"Three missile manufacturing sites in Tehran province operated by the guards were attacked: Falagh, Shaid Ghadiri and Abdol Fath."

Jeshi la Iran halijatoa taarifa ya maeneo haya yaliyopigwa, bali limetamka tu kuwa kuna madhara kiasi yametokea, na kwamba kiasi kikubwa cha makombora kilitunguliwa na mifumo ya ulinzi wa anga.

"The Iranian army has not commented on the reported destruction at the Parchin, Khojir and Parand military bases. It said “limited damage” was caused to air defence systems in Khuzestan, Ilam and Tehran but that the country had intercepted most of the Israeli projectiles."

Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah, amesema kuwa shambulio hili lisipunguzwe makali yake wala kukuzwa, na suala la kujibu shambulio hilo, linaweza lisiwepo."

" Iran’s supreme leader, Ayatollah Ali Khamenei, said on Sunday the event “should neither be minimised nor exaggerated”, and that military officials would discuss Iran’s next steps, suggesting retaliation may not be imminent."

NOTE: Tuombe viongozi wa Iran wapatwe na hekima ili kulinda uhai wa binadamu. Uamuzi wa Israel kuwajulisha Iran juu ya maeneo watakayoshambulia, na Iran kuwaondosha binadamu maeneo hayo, imesaidia sana kupunguza idadi ya vifo. Tatizo la vifo vingi vya raia bado ni kubwa huko Gaza na Lebanon. Ni vema Dunia ichukue hatua madhubuti zitakazozuia wapiganaji kujificha kwenye makundi ya raia huko Gaza na Lebanon ili kuokoa maisha ya raia.
🥲😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aiseee kaka hata kama wewe zuzu ila sio kwa uzuzu huu.
NDEGE 100 NI UWEZO MDOGO!?
Bro unajua mafuta yaliyotumika kupaisha hizo ndege 100 zifanye mahsambulizi ni gharama kiasi gani jumlisha makombora yalotumika!??
Aiseee😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yale yale ya Gaza kupambana na wanamgambo elfu 30 amepeleka jeshi la watu LAKI SITA.
Hapo anakwambia kikosi kidogo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ifike hatua mpanue akili zenu ninyi jamaa msiwe mazumbukuku kiasi hicho.
Ndege 100 zinatosha kupigana FULL OUT WAR na zikaleta ushindi.
 
Si tulikubaliana Iran kachapika saaaana, rada zote na viwanda vya missile vimeharibiwa, na hawataweza kutengeneza tena missile mpaka miaka ipite? iweje tena nyie nyie mnatuambia wamepigiwa kidogo tu, na wakijibu watapigwa sana? Na viwanda vya drone na missile na rada vimekufa watajibu vipi?
 
Mauaji ya mtu yeyote asiye na athari kwa uhai wa watu wengine, ni tendo la kishetani. Siyo kila uhalifu, hasa uhalifu usiohatarisha maisha ya mwanadamu, suluhisho huwa ni kumwua. Kulikuwa na utulivu mkubwa baada ya kuundwa kwa mamalaka ya ndani ya Palestine. Mambo yalianza kuharibika pale hamas walipoanza kuwaua wayahudi kwa kujilipua, na wayahudi kuanza kujenga makazi eneo lililokubaliwa kuwa ni la wapalestina.. Toka hapo ndipo Israrael ilichukua hatua kali dhidi yawapalestina kama njia ya kujihami, na hamas wakazidisha mashambulizi dhidi ya walowezi. Ni wakati huo ndio wayahudi wakajenga na uzio.

Ukishajenga mazingira ya kutiliwa mashaka, ujue watadhurika hata wasiohusika.

Mgogoro wa Mashariki ya Kati siyo rahisi kama wengi wanavyofikiria. Mgogoro huu umekuwa laana kwa sababu suluhu ya tatizo kutoka mwanzo lilielekezwa kwenye vita.

Wayahudi wengi walipoenda Palestine kuungana na wayahudi wachache walioishi kwenye eneo la Palestine miaka yote, huku wao wakiwa wachache, wenzao waarabu wakiwa wengi, walipotaka kupata taifa, hawakutumia vita kupata Taifa la Israel, na wakafanikiwa. Israel ilitaka eneo lote liwe nchi moja, waarabu bila ya kutumia vita, walifanikiwa kulizuia hilo kufanyika. Ikabidi Umoja wa Mataifa ukubali kuundwa kwa mataifa mawili, la Israel na Palestine. Waarabu wa Palestine, kwa kudanganywa na baadhi ya mataifa ya kiarabu, hasa Misri, wakagomea uamuzi wa UN, wakaanzisha vita (hilo ni kosa kubwa la kwanza). Hawakufanikiwa.

Mwaka 1967, hata baada ya kushuhudia jitihada za kutumia vita mwaka 1948 ziliwafanya wapoteze zaidi, wakarudia tena kosa lile lile, wakaanzisha vita. Matokeo yake wakapoteza hata kidogo kilichosalia. Misri baada ya kugundua kosa lake katika mikakati yake, akaingia kwenye meza ya mazungumzo na Israel, ikaweza kulikombia eneo lake la Sinai.

Bahati mbaya zaidi, Hamas pamoja na kushuhudia kupoteza zaidi wakati wote wanapotumia njia ya mapigano katika kutafuta wanachokifaka, mwakajana wamerudia makosa hayo hayo. Wameingia Israel, na kuwaua Wayahud, tena wakiwemo watoto, wanawake, wazee na wanajeshi wachache. Kwa sababu wamekosa akili, maarifa na hekima, watapoteza zaidi.

Hata Serikali ya mamlaka ya ndani ya PLO hawakuipata kwa njia ya mapigano, bali mazungumzo. Sasa kama una akili, hiyo njia inayokupatia angalao mafanikio fulani, si ndiyo ilikuwa ya kuikazania ili ikupe mafanikio zaidi?

Maafa wanayoyapata Hamas, Hezbollah na wenzao wengine, ni ya kujitakia, kwa maana hakuna nchi ambayo utaenda uue watu wake halafu wakakuacha. Siku zote kila kifo cha muisrael mmoja, kilijibiwa na vifo zaidi ya 10 vya waarabu. Safari hii, tayari kifo cha myahudi mmoja kimelipwa kwa vifo vya wapalestina zaidi ya 40.

Wapalestina kama hawatagundua njia sahihi ya kuitafuta haki yao, kila siku watazidi kupoteza zaidi badala ya kukomboa.. Na haya mapambano yanayoendelea sasa ni mabaya kuliko yote yaliyowahi kutokea huku nyuma.
We jamaa huwa unaongeaga uongo sana aisee halafu sijui huwa unautolea wapi.
Kisa cha haya yote ni ubabe wa Israel.
Tangu 1948 Israel ilikataa kuitambua Palestina na ilianza expansion ya eneo lake.
Yasser Arafat alipambana sana kidemokrasia mwisho myahudi wako akamuua hadi mpatanishi.
Vita zote unazoziona 1967,1973,1958 chanzo ni Israel.
Hata hao Hamas kama sio Israel kuwanyanyasa mabedui Khani Younis basi wasingeshika silaha.
Israel kila mwaka judiciary yake inapitisha muswada wa kupanua makazi kinguvu.
Unadhani nani atakubali huo uonevu!?
Kila mwaka Israel inaripotiwa kupulizia sumu kwenye mazao ya Khani Younis.
Je huo sio ukorofi!??
Israel iache ubabe wa kipuuzi.
 
Si tulikubaliana Iran kachapika saaaana, rada zote na viwanda vya missile vimeharibiwa, na hawataweza kutengeneza tena missile mpaka miaka ipite? iweje tena nyie nyie mnatuambia wamepigiwa kidogo tu, na wakijibu watapigwa sana? Na viwanda vya drone na missile na rada vimekufa watajibu vipi?
Ndio ujue akili zingine huwa zinashangaza sana😂😂😂😂😂ndege 100 mtu anakwambia shambulio dogo la nguvu ndogo😂😂😂😂🙌🙌🙌.
 
Mauaji ya mtu yeyote asiye na athari kwa uhai wa watu wengine, ni tendo la kishetani. Siyo kila uhalifu, hasa uhalifu usiohatarisha maisha ya mwanadamu, suluhisho huwa ni kumwua. Kulikuwa na utulivu mkubwa baada ya kuundwa kwa mamalaka ya ndani ya Palestine. Mambo yalianza kuharibika pale hamas walipoanza kuwaua wayahudi kwa kujilipua, na wayahudi kuanza kujenga makazi eneo lililokubaliwa kuwa ni la wapalestina.. Toka hapo ndipo Israrael ilichukua hatua kali dhidi yawapalestina kama njia ya kujihami, na hamas wakazidisha mashambulizi dhidi ya walowezi. Ni wakati huo ndio wayahudi wakajenga na uzio.

Ukishajenga mazingira ya kutiliwa mashaka, ujue watadhurika hata wasiohusika.

Mgogoro wa Mashariki ya Kati siyo rahisi kama wengi wanavyofikiria. Mgogoro huu umekuwa laana kwa sababu suluhu ya tatizo kutoka mwanzo lilielekezwa kwenye vita.

Wayahudi wengi walipoenda Palestine kuungana na wayahudi wachache walioishi kwenye eneo la Palestine miaka yote, huku wao wakiwa wachache, wenzao waarabu wakiwa wengi, walipotaka kupata taifa, hawakutumia vita kupata Taifa la Israel, na wakafanikiwa. Israel ilitaka eneo lote liwe nchi moja, waarabu bila ya kutumia vita, walifanikiwa kulizuia hilo kufanyika. Ikabidi Umoja wa Mataifa ukubali kuundwa kwa mataifa mawili, la Israel na Palestine. Waarabu wa Palestine, kwa kudanganywa na baadhi ya mataifa ya kiarabu, hasa Misri, wakagomea uamuzi wa UN, wakaanzisha vita (hilo ni kosa kubwa la kwanza). Hawakufanikiwa.

Mwaka 1967, hata baada ya kushuhudia jitihada za kutumia vita mwaka 1948 ziliwafanya wapoteze zaidi, wakarudia tena kosa lile lile, wakaanzisha vita. Matokeo yake wakapoteza hata kidogo kilichosalia. Misri baada ya kugundua kosa lake katika mikakati yake, akaingia kwenye meza ya mazungumzo na Israel, ikaweza kulikombia eneo lake la Sinai.

Bahati mbaya zaidi, Hamas pamoja na kushuhudia kupoteza zaidi wakati wote wanapotumia njia ya mapigano katika kutafuta wanachokifaka, mwakajana wamerudia makosa hayo hayo. Wameingia Israel, na kuwaua Wayahud, tena wakiwemo watoto, wanawake, wazee na wanajeshi wachache. Kwa sababu wamekosa akili, maarifa na hekima, watapoteza zaidi.

Hata Serikali ya mamlaka ya ndani ya PLO hawakuipata kwa njia ya mapigano, bali mazungumzo. Sasa kama una akili, hiyo njia inayokupatia angalao mafanikio fulani, si ndiyo ilikuwa ya kuikazania ili ikupe mafanikio zaidi?

Maafa wanayoyapata Hamas, Hezbollah na wenzao wengine, ni ya kujitakia, kwa maana hakuna nchi ambayo utaenda uue watu wake halafu wakakuacha. Siku zote kila kifo cha muisrael mmoja, kilijibiwa na vifo zaidi ya 10 vya waarabu. Safari hii, tayari kifo cha myahudi mmoja kimelipwa kwa vifo vya wapalestina zaidi ya 40.

Wapalestina kama hawatagundua njia sahihi ya kuitafuta haki yao, kila siku watazidi kupoteza zaidi badala ya kukomboa.. Na haya mapambano yanayoendelea sasa ni mabaya kuliko yote yaliyowahi kutokea huku nyuma.
Acha uzindiki,shida sio hamas tatizo ni USA na UK walienda kuanzisha nchi kwenye ardhi ya watu.
 
Back
Top Bottom