Israel Imesema Imetumia Sehemu Ndogo ya Uwezo Wake Kuishambulia Iran, Uwezo Kamili Itautumia Iran Ikijibu

Israel Imesema Imetumia Sehemu Ndogo ya Uwezo Wake Kuishambulia Iran, Uwezo Kamili Itautumia Iran Ikijibu

Ndugu umenena japo mimi mkristo na sipendi kabisa Hamas wanavyotumia njia ya majibizano kupigania haki yao lakini ukweli ni kuwa Israeli inasafisha kizazi cha wapalestina Gaza, yaani ni uhalifu ambao hauelezeki katika historia ya binadamu jamaa wamenyimwa chakula , maji, mafuta, madawa, umeme karibu miezi 12 leo watu wanalisha watotot mende aisee , wanaaambiwa hama huku nenda kule kisha wanapigwa mabomu kabla hawajafika, maelfu ya watu wamefukiwa kwenye vifusi wakiwa hai , kama ni kutafuta mateka wangetafuta njia nyingine salama zaidi kwa raia
Acha wapelekwe moto..kama wanao a hasara kwanini wasirudishe mateka vita viishe wakae kwa Aman..tatizo kobasi vichwa vigumu moyo wakigaidi
 
Kwahiyo kila anachosema Israel basi kiaminiwe!??
Vitu vingine tumia common sense tu.
Ndege 100 kiuhalisia sio sehemu ndogo ya nguvu ya jeshi.
Mimi nimeripoti walichokisema. Hiyo haikuwa analysis yangu. Aliyefanya shambulio amesema hivyo. Ni sawa na Iran ilivyosema kuwa shambulio limeleta limited damage.

Anayesema kuwa ametumia sehemu ndogo ya uwezo wake, anajua yeye uwezo wake ni upi, na alichokitumia kina count nini katika uwezo wake. Anayesema kuna limited damage, ana reference yake, kwake yeye huge damage inahusisha nini na nini. Kama una nyumba 5, ikivunjwa 1, ni huge damage, ni big loss. Kama una nyumba 1,000 halafu ikavunjwa 1, ni limited damage.

Kama nina lorry lenye uwezo wa kubeba tani 100 mara moja, halafu nikabeba tani 30, nimetumia sehemu ndogo ya uwezo wa lorry, ingawa tani 30 siyo mzigo mdogo. Lakini nikiwa na lorry lenye uwezo wa kubeba tani 30 halafu nikabeba tani 30, nimetumia uwezo wote wa lorry. Uzito ni ule ule, lakini kwa mwingine ni sehemu ndogo ya uwezo wa lorry lake, wakati kwa mwingine ndiyo uwezo wa wa mwisho wa lorry lake. Uwezo mdogo au damage ndogo ni relative words, hivyo huwezi kusema ni kweli au uwongo mpaka uwe na reference. Na hiyo reference, wewe huna, na mimi sina. Tunawasikiliza wao wanaozijua reference zao.
 
Israel ni kama anavitaka vita na Iran, ndio maana kaanza kuwadhohofisha washirika wake, yaani Hamas na Ezbulaah ili wakiaanza kuzichapa kusiwe na vikwanzo kutoka kwa hawa washirika yaani yeye adeal na Irani tu. Ni vigumu sana Israel kuzichapa na Irani ikiwa Hamas na Ezbulaah wako active.
 
Tunasubiri Iran wako ajibu ili tuone atakavyochapwa.

Gaza inatumika nguvu ndogo mno kwanza wale magaidi wanajificha kwa raia na kuwatumia raia kama shield na kuwazuia wasiondoke pale Israel anapowaambia raia waondoke eneo fulani ili magaidi wa hamas wachapwe.

Africa nzima yenye nchi zaidi ya 54 hakuna nchi yenye jeshi kinaloifikia israe.

MUNGU WA ISRAEL ANETUKUZWA NA ATAENDELEA KUTUKUZWAl
Endelea kumtukuza tu uamuzi ni wako.
 
hizi propaganda wala haziwezi kuwarudisha watu nyuma...israeli na iron dome is weak baada ya THAAD wanaona kama wana nguvu ya kushindana na Iran,ngoja tuone majibu...sehemu waliyotumia ndogo kuishambulia Iran hii ni kutaka viazi muone kama israeli mwamba kumbe bure kabisa,jiulize kwanini akipigwa yeye anazuia picha za satelite zisionyeshe alivyobondwa
Wewe kumbe ni mtupu sana!! Israel inazuia picha za satellite!! Inazuia kwa namna gani? Au hujui satellite zinavyofanya kazi?
 
Ndio ujue akili zingine huwa zinashangaza sana😂😂😂😂😂ndege 100 mtu anakwambia shambulio dogo la nguvu ndogo😂😂😂😂🙌🙌🙌.
Na makombora yaliyotumika ni very selective ya ni gharama kubwa sana ndo wakapati hayo matokeo
 
Ndege 100 sio uwezo mdogo.
Bro nenda kapigie mahesabu gharama ya kila ndege na mafuta yalotumika.
Hivi unajua ndege 100 zina uwezo wa kumaliza full out war!?
Tuacheni utani kaka.
Nchi zenye ndege 100 za Kiza cha 5 ni cha he sana
 
Back
Top Bottom