Israel imetuangusha sana. Ule mkwara tukajua kisasi kitalipwa kesho yake tu

Israel imetuangusha sana. Ule mkwara tukajua kisasi kitalipwa kesho yake tu

We nawe inadhani vita ni kama kombolela ety
It takes a lot of time, money, energy kila kitu sio kukurupuka tu anauwezo qa kumpiga muda wowote
Mbona haya maneno hamkuyaongea mwanzo. Nyie mlisema mtu arushe tu hata jiwe aone majibu yake ndani ya dakika. Mkasema hazipiti siku mbili.

Leo ndio mnaleta scenarios za maandalizi
 
Kwa torati yao asipo lipa kwake itakuwa kama dhambi! (Jino kwa jino principle). Kumbuka Nasrallah katafutwa kwa miaka 32, kaja kuuawa kama mbwa.
Pia mkubwa analipwa kikubwa mkuu
Nasrallah hajatafutwa, bali walikuwa bado hawajapanga kumuondoa, na walipoamua ndipo wakafanya. Nasrallah alitafutwa vipi wakati alikuwa anaonekana hadi mitaani na kwenye mikutano live
 
Sisi wayahudi wa Matosa, Chamwino, Goba na kijichi hatuamini kama kweli umeogopa kulipa kisasi kama ulivyoahidi. Mkwala wote ule tukajua kesho mapema tu F 35 zinakwenda kuisawazisha Iran.

Aaaaaah !! Jamani Yahudi tunavyokujua kuwa hauguswi . Imekuaje sasa.
UNAJUA UKIMYA WAKO UMEMPAISHA SANA MVAA SURUALI FUPI NA KOBASI

Au mlimaanisha mnalipizia kule Lebanon
Nimeamia Israel rasmi, na hii ni baada ya kujiridhisha kuwa wanaopigwa kule Lebanoni 75% - 80% ni Makafiri.
 
Jeuli hiyo hana yahudi,, ingekuwa labda Syria au Iraq sawa ungeona mbwembe zake kama ilivyokuwa gaza, yani ndani ya masaa 24 tu midege na msururu wa vifaru kwenda kulipa kisasi,, lkn kwa Iran maji ya shingo karudisha mpira kwa kipa,, kwa sasa kinachosubiliwa tukio lolote lile la maafa ili liunganishwe na revenge, yani kwa mfano ikitokea labda kama kimbunga kile kilichotekea USA wayahudi wa mbezi kibanda cha mkaa watasema mungu wa Israel na yakobo anafanya kazi yake. Au kama labda itatokea ajali yoyote labda ya basi au treni pia wayahudi hao hao wa mbezi kibanda cha mkaa tena sasa hivi kwa kushirikiana na wenzao wa mwembe madole goba, watasema mossad hao wapo kazini, shenzi kabisa!
 
Sisi wayahudi wa Matosa, Chamwino, Goba na kijichi hatuamini kama kweli umeogopa kulipa kisasi kama ulivyoahidi. Mkwala wote ule tukajua kesho mapema tu F 35 zinakwenda kuisawazisha Iran.

Aaaaaah !! Jamani Yahudi tunavyokujua kuwa hauguswi . Imekuaje sasa.
UNAJUA UKIMYA WAKO UMEMPAISHA SANA MVAA SURUALI FUPI NA KOBASI

Au mlimaanisha mnalipizia kule Lebanon
 
Atashambulia,ndege ya nane imeingia leo israel toka USA kwenda kufunga mitambo ya kujilinda na makombora
 
Sisi wayahudi wa Matosa, Chamwino, Goba na kijichi hatuamini kama kweli umeogopa kulipa kisasi kama ulivyoahidi. Mkwala wote ule tukajua kesho mapema tu F 35 zinakwenda kuisawazisha Iran.

Aaaaaah !! Jamani Yahudi tunavyokujua kuwa hauguswi . Imekuaje sasa.
UNAJUA UKIMYA WAKO UMEMPAISHA SANA MVAA SURUALI FUPI NA KOBASI

Au mlimaanisha mnalipizia kule Lebanon
Hana lolote huyo, Bado anamuangukia Biden akubali kumlinda kupigo kikimrudia
 
Sisi wayahudi wa Matosa, Chamwino, Goba na kijichi hatuamini kama kweli umeogopa kulipa kisasi kama ulivyoahidi. Mkwala wote ule tukajua kesho mapema tu F 35 zinakwenda kuisawazisha Iran.

Aaaaaah !! Jamani Yahudi tunavyokujua kuwa hauguswi . Imekuaje sasa.
UNAJUA UKIMYA WAKO UMEMPAISHA SANA MVAA SURUALI FUPI NA KOBASI

Au mlimaanisha mnalipizia kule Lebanon
 
Jeuli hiyo hana yahudi,, ingekuwa labda Syria au Iraq sawa ungeona mbwembe zake kama ilivyokuwa gaza, yani ndani ya masaa 24 tu midege na msururu wa vifaru kwenda kulipa kisasi,, lkn kwa Iran maji ya shingo karudisha mpira kwa kipa,, kwa sasa kinachosubiliwa tukio lolote lile la maafa ili liunganishwe na revenge, yani kwa mfano ikitokea labda kama kimbunga kile kilichotekea USA wayahudi wa mbezi kibanda cha mkaa watasema mungu wa Israel na yakobo anafanya kazi yake. Au kama labda itatokea ajali yoyote labda ya basi au treni pia wayahudi hao hao wa mbezi kibanda cha mkaa tena sasa hivi kwa kushirikiana na wenzao wa mwembe madole goba, watasema mossad hao wapo kazini, shenzi kabisa!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 da nimecheka sana na hii comment
 
Sisi wayahudi wa Matosa, Chamwino, Goba na kijichi hatuamini kama kweli umeogopa kulipa kisasi kama ulivyoahidi. Mkwala wote ule tukajua kesho mapema tu F 35 zinakwenda kuisawazisha Iran.

Aaaaaah !! Jamani Yahudi tunavyokujua kuwa hauguswi . Imekuaje sasa.
UNAJUA UKIMYA WAKO UMEMPAISHA SANA MVAA SURUALI FUPI NA KOBASI

Au mlimaanisha mnalipizia kule Lebanon
Tatizo lenu waafrica wengi haswa east africa mnashangilia vita as if ni mpira wa miguu au movie. Mwajijengea fantasy kichwani jinsi kisas kitakavyo kuwa

Vita yoyote ni careful planned, so whem israel watajibu ita depend na mipango yao. Mnataka watu waparamie tu, vita haiko hivyo
 
Back
Top Bottom