beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Mnashabikia watu kuuawa?Sisi wayahudi wa Matosa, Chamwino, Goba na kijichi hatuamini kama kweli umeogopa kulipa kisasi kama ulivyoahidi. Mkwala wote ule tukajua kesho mapema tu F 35 zinakwenda kuisawazisha Iran.
Aaaaaah !! Jamani Yahudi tunavyokujua kuwa hauguswi . Imekuaje sasa.
UNAJUA UKIMYA WAKO UMEMPAISHA SANA MVAA SURUALI FUPI NA KOBASI
Au mlimaanisha mnalipizia kule Lebanon
🤣 Hahahaa"Naenda kusema kwa mama ..."
Alisikika mtoto mmoja baada ya kudundwa na mwenzie
Saana 🤣Huu mwaka kadharilika sana
Sisi wayahudi wa Matosa, Chamwino, Goba na kijichi hatuamini kama kweli umeogopa kulipa kisasi kama ulivyoahidi. Mkwala wote ule tukajua kesho mapema tu F 35 zinakwenda kuisawazisha Iran.
Aaaaaah !! Jamani Yahudi tunavyokujua kuwa hauguswi . Imekuaje sasa.
UNAJUA UKIMYA WAKO UMEMPAISHA SANA MVAA SURUALI FUPI NA KOBASI
Au mlimaanisha mnalipizia kule Lebanon
Vita siyo nzuri, msishabikie. Washirika wa Israeli washapima hasara za kiuchumi, hasara za kuzidi kutengeneza maadui duniani hasa vikundi vya wanamgambo n.k, maana hadi leo haijulikani status ya Hamas imedhoofika au imebaki vile vile, vipi hezbollah. Huku mpinzani wa kiuchumi China anapepea tu. Vita visikie tu.
Ogopa nchi ambayo ilianzishwa kwa vita na maisha yake yote inapigana! Imeishajenga msuli wa kujua mahali pa kumpiga adui akadhulika kuliko kurusha makombola. Iran ilivyomshambulia kwa ballistic missile 300, Israel 🇮🇱 alilipiza kwa akili akamuua Rais wao na wao hawakujua kwa intelligencia ya ndani sana. Kivita na kimaandiko unaweza kumpiga mtu kisigino yeye akijibu anakupiga kichwa. Israel 🇮🇱 vita yake analenga kichwa! Sasa sikilizia Ayatollah hana muda mrefu watamla kichwa. Ayatollah mwenyewe anajua ndo maana na hata juzi wakati anatoa hotuba pembeni alikuwa kasimama na AK47 ya Mrusi! Chezea wewe!Hata kama atalipa , lakinia tayari jamaa kaonyesha weakness kubwa sana. Wengi tuliamini jamaa yupo tayari muda wowote ule anaposhambuliwa kumbe ni hadi ujipange na kutafuta nguvu ya nje
Sema tu Marekani walikataa.Alikuwa anamsubiri Basha wake USA ampe mitambo ya kujilinda.
Alikuwa anataka kudandia hapo kwa usa ili baadae hagai aje kwenye TV kutishia watu kwenye middle east kama alivyofanya kwa huthi siku ileNimemsikiliza mtaalam na mchambuzi wa masuala ya kivita
Amesema Israel haweza kwenda kupiga nuclear reactor ya Iran kwa sababu kwanza amejenga chini kama mita 100 na katikati ya milima
Na la pili hakuna ndege za myahudi zinaruhusiwa kupita juu ya anga la nchi nne kuanzia Jordan, Syria KSA, Iraq
Wote wamepigwa mkwara na Iran
Wao pia wameweka wazi kuwa nchi yoyote hawakubali ipote anga zao kwenda kushambulia nchi nyingine.
La tatu kupiga hizo sehemu inataka bomb kubwa sana ambalo ni 🇺🇸 tu ndio analo na Israel hana ndege ya kubeba hilo bomb isipokuwa ndege za us tu
Na hawezi kumpa kwa sababu thamani yake ni kubwa sana
La 3 Iran ana Ballistics missile na pia nuclear capability anazo
Israel kama atapeleka ndege 100 zitarudi chache sana maana zitashushwa tena kama atatumia njia ndefu ya kuzunguka kupitia Turkey
Kama Turkey atakubali pia
Kwa hiyo mkuu usiwaze tu kuwa ooh kwanini Israel hajaipiga Iran siku ya pili tu think again
Acha panic wewe. Detective gani muogaoga hivyo. Vita vipo Duniani ili kurekebisha mifumo na hata ustaarabu huu uliopo Duniani ni matokeo ya vita na pale inaposhindikana kabisa ndipo Muumba anaingilia kati( ref Sodoma & gomorrah).Maneno yao, usinihusishe kwenye kundi hilo. Nazungumzia nyie wabongo ambao mnashabikia vita as if ni mpira, regardless upande wowote
Vita si simba na yanga, maisha ya watu yapo at risk,
Wewe unaeshabikia ukipelekea huko utashabikia hivyo?
Leo wanamzika kamanda mmoja kule Iran!!Sisi wayahudi wa Matosa, Chamwino, Goba na kijichi hatuamini kama kweli umeogopa kulipa kisasi kama ulivyoahidi. Mkwala wote ule tukajua kesho mapema tu F 35 zinakwenda kuisawazisha Iran.
Aaaaaah !! Jamani Yahudi tunavyokujua kuwa hauguswi . Imekuaje sasa.
UNAJUA UKIMYA WAKO UMEMPAISHA SANA MVAA SURUALI FUPI NA KOBASI
Au mlimaanisha mnalipizia kule Lebanon
nani kapanic? Unapo mjibu mtu kwanza usimjumishe kwenye kikundi fulani, si kila alie against mawazo yako ametoka hukoAcha panic wewe. Detective gani muogaoga hivyo. Vita vipo Duniani ili kurekebisha mifumo na hata ustaarabu huu uliopo Duniani ni matokeo ya vita na pale inaposhindikana kabisa ndipo Muumba anaingilia kati( ref Sodoma & gomorrah).
Ulitakaje we bogaz!? Vita yoyote lazima iwe na washirika. Au ulitaka US ashirikiane na Magaidi?Tukisema Israel si lolote bila USA mnabisha
Anajitutumua tu unafikiri zikipigwa hata baki myahudi hapoAlikuwa anataka kudandia hapo kwa usa ili baadae hagai aje kwenye TV kutishia watu kwenye middle east kama alivyofanya kwa huthi siku ile
Ni nyie viongozi wa IDF na MOSAD mliopo humu. Kwani nyie si ndio mnaoletaga taarifa nyeti za vikao vya huko Israel. Humu mpo makarani na makatibu wa vikao nyeti ndani ya system za Uyahudini. Ni kama kule kwenye jukwaa la Ukraine yupo katibu mkuu kiongozi wa Kiev anaitwa KP Kipanya
Ndio mpunguze kelele kuwa Israel ni self sufficient wakati inategemea uwepo wa USA.Ulitakaje we bogaz!? Vita yoyote lazima iwe na washirika. Au ulitaka US ashirikiane na Magaidi?
Israel ilianzishwa kwa vikao vya mataifa yenye nguvu sio kwa vita.Ogopa nchi ambayo ilianzishwa kwa vita na maisha yake yote inapigana! Imeishajenga msuli wa kujua mahali pa kumpiga adui akadhulika kuliko kurusha makombola. Iran ilivyomshambulia kwa ballistic missile 300, Israel 🇮🇱 alilipiza kwa akili akamuua Rais wao na wao hawakujua kwa intelligencia ya ndani sana. Kivita na kimaandiko unaweza kumpiga mtu kisigino yeye akijibu anakupiga kichwa. Israel 🇮🇱 vita yake analenga kichwa! Sasa sikilizia Ayatollah hana muda mrefu watamla kichwa. Ayatollah mwenyewe anajua ndo maana na hata juzi wakati anatoa hotuba pembeni alikuwa kasimama na AK47 ya Mrusi! Chezea wewe!
Acha KUROPOKA kama umelishwa usembe.Leo wanamzika kamanda mmoja kule Iran!!
Na 25% ya Lebanon ipo mikononi mwa Taifa teule la Mungu wa kweli