Israel inasubiri mateka wake kwa njia ya mazungumzo. Kwa vita imeshindikana kuwapata

Hujajibu swali embu jikite kwenye kujibu swali nimekuuliza hamas walipoivamia israel october 7 walichagua wakuwaua ? Mbona wameua raia na wameteka raia hizi sheria zenu mnazomkosoa israel huwa haiwahusu hamas?
 
Hujajibu swali embu jikite kwenye kujibu swali nimekuuliza hamas walipoivamia israel october 7 walichagua wakuwaua ? Mbona wameua raia na wameteka raia hizi sheria zenu mnazomkosoa israel huwa haiwahusu hamas?
Na unaona sijajibu swali!!..we ni bogus..haya sema kwa nini sheria za vita ziliwekwa!?..maana hata adui akijisalimisha hutakiwi kumuua Wala kumtesa(pow),adui yule yule aliyeanzisha Vita na kuua wenzenu
 
Kama hamas wanavaa kiraia kipindi cha vita na wanatangaza vifo vya magaidi wao kama vifo vya raia sisi tutajuaje huyu ni raia au ni hamas wajitofautishe wenyewe na raia
Ukiona pahala umeshindwa akili basi kubali tu kuwa akili yako sio mwisho wa kila kitu.
Ufaransa iliposhindwa akili kule Niger waliamua kuondoka zao.
Ukaidi na kiburi cha mayahudi mwisho ni maangamizi kwa wote na aibu.
 
Si uhamie kabisa huko Gaza kwa ndugu zako
 
Kuna wapuuzi wanaona sifa kushabikia hii vita kupitia dini zao ni upumbavu mtupu na ujinga,wale wakazi wa gaza wanapitia wakati mgumu sana kwa sasa mahitaji muhimu kama chakula ,madawa , maji safi na mengineyo hawapati kutokana na hii vita imewaathiri sana kwa kosa lililofanywa na hamas.
Hamas pia hawakutegemea huu mpango kazi wao ungefeli na kuleta madhara makubwa kwa wapelestina.
 
Na wewe umekuwa kipofu! Umekuwa mpumbavu, wala huoni, hao mateka na idadi wa wapalestina waliokufa na kujeruhiwa ni sawa !
 

Ingelikua hamjifichi nyuma ya watoto mngefyekwa kitambo, magaidi wengine wa Kiislamu hupambana wao kama wao, ila hawa Hamas ni waoga wa kufa mtu.
 
Huko Rafah ndo mwisho wa kila kitu bahati Ramadhani hiyo hapo
 
Hakuna mateka aliye hai
Tusubiri siku Israel imetia saini kusubiri mateka halafu hakuna kitu.Itakuwaje kule Telaviv
Na iwapo wataambiwa wakawapokee mtaa wa Zeitun kule Gaza city sijui nani atawaamini tena Israel katika kupigana na Hamas
 
Sheria ya kimataifa inakataza kuua, kumfanya ngao,au kumfanya mateka Raia wa kawaidi ambae hausiki na jeshi Lakini hivi vyote Hamas wamevifanya

Mpaka February hii watoto wadogo kina mama na wazee waliuwawa na wengine kufanywa mateka mpaka muda huu una ongelea vipi hili?
 
Na unaona sijajibu swali!!..we ni bogus..haya sema kwa nini sheria za vita ziliwekwa!?..maana hata adui akijisalimisha hutakiwi kumuua Wala kumtesa(pow),adui yule yule aliyeanzisha Vita na kuua wenzenu
Kwa nini hamas hawakuheshimu sheria za vita 07 Oktoba?
 
Mbona unajichanganya!?..soma tena ulichoandika
 
Jibu hivyo hivyo swali lilivyo ulizwa na jinsi ulivyo elewa
Sijaelewa ndiyo maana nimeuliza,maana wanaoua watoto na wanawake ni IDF,kwa kisingizio Cha Hamas kujificha nyuma yao,walidai Hadi Hamas kujificha hospital,hawajatoa ushahidi wowote,yule bibi na wajukuu zake waliuawa na IDF,alikua kawakinga Hamas?..yule Binti mdogo Hindi aliyedunguliwa kwenye gari baada ya wazazi wake kufa kwa kombora la IDF alikua kawakinga Hamas!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…