Israel inasubiri mateka wake kwa njia ya mazungumzo. Kwa vita imeshindikana kuwapata

Israel inasubiri mateka wake kwa njia ya mazungumzo. Kwa vita imeshindikana kuwapata

Sijaelewa ndiyo maana nimeuliza,maana wanaoua watoto na wanawake ni IDF,kwa kisingizio Cha Hamas kujificha nyuma yao,walidai Hadi Hamas kujificha hospital,hawajatoa ushahidi wowote,yule bibi na wajukuu zake waliuawa na IDF,alikua kawakinga Hamas?..yule Binti mdogo Hindi aliyedunguliwa kwenye gari baada ya wazazi wake kufa kwa kombora la IDF alikua kawakinga Hamas!?
Kwani kwa mtazamo wako kwenye huu mzozo unazani Hamas wanapigana wakiwa wapi? yaani mazingira yao kwa sababu hapa hatuongelei jeshi lenye military bases tunaongelea watu wanaofanya ambush na kupotea hawana military uniform kuwatofautisha na Raia wa kawaidi kwenye battlefield. Vipi tukisema Hamas ndio hao hao Raia wa kawaidi ambao tunasema hawana hatia?
 
Kwani kwa mtazamo wako kwenye huu mzozo unazani Hamas wanapigana wakiwa wapi? yaani mazingira yao kwa sababu hapa hatuongelei jeshi lenye military bases tunaongelea watu wanaofanya ambush na kupotea hawana military uniform kuwatofautisha na Raia wa kawaidi kwenye battlefield. Vipi tukisema Hamas ndio hao hao Raia wa kawaidi ambao tunasema hawana hatia?
Raia wa kawaida waliojihifafhi hospital!?.. Israel wanashambulia wapalestina wanaofata chakula Cha msaada,wamekosa nini wale!?.. Israel inajua kuwa Hamas Wana mahandaki,na video za mapigano tunaziona,hatuoni bibi vizee na watoto wakirusha yassin propelled grenades Bali wanaume,unaua wanawake na watoto kwa nini!?..
 
Raia wa kawaida waliojihifafhi hospital!?.. Israel wanashambulia wapalestina wanaofata chakula Cha msaada,wamekosa nini wale!?.. Israel inajua kuwa Hamas Wana mahandaki,na video za mapigano tunaziona,hatuoni bibi vizee na watoto wakirusha yassin propelled grenades Bali wanaume,unaua wanawake na watoto kwa nini!?..
Mayahudi ni walaaniwa,hawana utu hata kidogo.
Imeua wagonjwa wangapi mahospitalini ikidai kuna Hamas.Imekata umeme kwenye Hospitali ikijua kuna wagonjwa wako ICU.Mgonjwa aliye icu hata kama angekuwa Hamas basi ni wa kumuacha tu.
 
Raia wa kawaida waliojihifafhi hospital!?.. Israel wanashambulia wapalestina wanaofata chakula Cha msaada,wamekosa nini wale!?.. Israel inajua kuwa Hamas Wana mahandaki,na video za mapigano tunaziona,hatuoni bibi vizee na watoto wakirusha yassin propelled grenades Bali wanaume,unaua wanawake na watoto kwa nini!?..
Israel wana hashtag yao kwenye social media NEVER AGAIN kwamba kwa wakati huu wanapeleka ujumbe kwa Hamas kama mnapenda familia zenu basi uhuni ulio fanyika October 7 ndio itakuwa mwisho

bad thing ni kwenye hii process Israel inazalisha Hamas wengine wengi walio uliwa familia zao na wapendwa wao wa kalibu ambao walikua kinyume na ideology ya kuuwa muisrael popote utakapo muona

usiangalie hii vita kwa mlengo wa kidini utakuwa kama wengine humu hii vita inahusu ardhi though dini Ina play part kubwa kama catalyst (petrol) kuchochea wakiwashe zaidi

je Hamas walicho kifanya 7/10 walikua sahihi? kuua na kuteka raia wasio na hatia hata wa mataifa mengine (RIP vijana wetu) you have the answer

Israel njia wanazo tumia ku retaliate are wrong but Hamas are wrong big times huwezi kushikilia mateka Raia ambao hawahusiki kwenye vita mpaka saizi almost 5 months na watu wenye akili timamu wakakuelewa

why usivamie kj ukapiga na kubeba askari? ambao utatumia kufanya mbadilishano wa wafungwa? unabeba katoto ka kike ka miaka Sita? unaua unabeba maiti ya mwanamke umeivua nguo unaipitisha mtaani na raia hao hao wa Palestine wasio na hatia wakishangiria allahu akubar kwamba hivi ndio vitendo vya Mwenyezi Mungu? This is wrong
Screenshot_20231208-153213.png
 
Mayahudi ni walaaniwa,hawana utu hata kidogo.
Imeua wagonjwa wangapi mahospitalini ikidai kuna Hamas.Imekata umeme kwenye Hospitali ikijua kuna wagonjwa wako ICU.Mgonjwa aliye icu hata kama angekuwa Hamas basi ni wa kumuacha tu.
SIO MAYAHUDI HATA MAARABU NI MALAANIWA PIA.........KWANI MAARABU WAKATI WANALIANZISHA OCTOBER 07 WALITEGEMEA WAKIVUA SARE ZA KIJESHI NA KUJIFICHA HOSPTALIN WATASALIMIKA 🤣🤣🤣
 
Mayahudi ni walaaniwa,hawana utu hata kidogo.
Imeua wagonjwa wangapi mahospitalini ikidai kuna Hamas.Imekata umeme kwenye Hospitali ikijua kuna wagonjwa wako ICU.Mgonjwa aliye icu hata kama angekuwa Hamas basi ni wa kumuacha tu.
Kwahiyo Mungu wa waarabu allah kawalaani wayahudi????
Wakati Mungu wa wakristo na wayahudi yehova kawabariki?????
Nb: Ukiona mtu anawataja wayahudi kua MAYAHUDI na waarabu hawataji MAARABU......bas unajua akili yake ilipoishia 🤣🤣🤣😋😋
 
Mayahudi ni walaaniwa,hawana utu hata kidogo.
Imeua wagonjwa wangapi mahospitalini ikidai kuna Hamas.Imekata umeme kwenye Hospitali ikijua kuna wagonjwa wako ICU.Mgonjwa aliye icu hata kama angekuwa Hamas basi ni wa kumuacha tu.
Hamas wana utu?
 
Israel wana hashtag yao kwenye social media NEVER AGAIN kwamba kwa wakati huu wanapeleka ujumbe kwa Hamas kama mnapenda familia zenu basi uhuni ulio fanyika October 7 ndio itakuwa mwisho

bad thing ni kwenye hii process Israel inazalisha Hamas wengine wengi walio uliwa familia zao na wapendwa wao wa kalibu ambao walikua kinyume na ideology ya kuuwa muisrael popote utakapo muona

usiangalie hii vita kwa mlengo wa kidini utakuwa kama wengine humu hii vita inahusu ardhi though dini Ina play part kubwa kama catalyst (petrol) kuchochea wakiwashe zaidi

je Hamas walicho kifanya 7/10 walikua sahihi? kuua na kuteka raia wasio na hatia hata wa mataifa mengine (RIP vijana wetu) you have the answer

Israel njia wanazo tumia ku retaliate are wrong but Hamas are wrong big times huwezi kushikilia mateka Raia ambao hawahusiki kwenye vita mpaka saizi almost 5 months na watu wenye akili timamu wakakuelewa

why usivamie kj ukapiga na kubeba askari? ambao utatumia kufanya mbadilishano wa wafungwa? unabeba katoto ka kike ka miaka Sita? unaua unabeba maiti ya mwanamke umevua nguo unaipitisha mtaani na raia hao wa Palestine wasio na hatia wakishangiria allahu akubar kwamba hivi ndio vitendo vya Mwenyezi Mungu? This is wrongView attachment 2918676
Duuuuh walitembeza maiti uchi.......bas ndio maana wayahudi wanawachapa
 
Kwa hiyo watoto na akina mama wa Gaza ni Hamas!?..hicho kichwa au boga lisilo na MBEGU!?..na unadhani wakati sheria za vita zinawekwa hawakujua kwamba waanzisha Vita ni wengine na si wanawake na watoto!?.. Israel kazikubali hizo sheria,anatakiwa kuzifuata,siyo unawakosa Hamas unamdungua bibi na wajukuu zake wanaokimbia makombora yako!!
Mkuu.....ww uniulie watoto wangu na wanawake wangu na mbaya zaidi utembeze maiti za wanawake uchi huku mkishangilia.....afu leo unajiliza mm nikiua watu wako......!!!Si walikua wanashangilia October 07 sasa wanalialia nn???
Kama ulijua hilo kwanini uliua bibi na wajukuu wangu waliokua wanakimbia risasi zako na ukabaka na kutembeza maiti za wanawake zikiwa uchi adharani????
Kama ww umepinda na mm nimepinda zaidi yako..!!!
50/50
 
Hujajibu swali embu jikite kwenye kujibu swali nimekuuliza hamas walipoivamia israel october 7 walichagua wakuwaua ? Mbona wameua raia na wameteka raia hizi sheria zenu mnazomkosoa israel huwa haiwahusu hamas?
Wewe unazungumzia Oktoba 7 pekee? Israel imekuwa ikifanya mauaji ya watoto na wanawake tangu 1948 hadi sasa.
 
Israel wana hashtag yao kwenye social media NEVER AGAIN kwamba kwa wakati huu wanapeleka ujumbe kwa Hamas kama mnapenda familia zenu basi uhuni ulio fanyika October 7 ndio itakuwa mwisho

bad thing ni kwenye hii process Israel inazalisha Hamas wengine wengi walio uliwa familia zao na wapendwa wao wa kalibu ambao walikua kinyume na ideology ya kuuwa muisrael popote utakapo muona

usiangalie hii vita kwa mlengo wa kidini utakuwa kama wengine humu hii vita inahusu ardhi though dini Ina play part kubwa kama catalyst (petrol) kuchochea wakiwashe zaidi

je Hamas walicho kifanya 7/10 walikua sahihi? kuua na kuteka raia wasio na hatia hata wa mataifa mengine (RIP vijana wetu) you have the answer

Israel njia wanazo tumia ku retaliate are wrong but Hamas are wrong big times huwezi kushikilia mateka Raia ambao hawahusiki kwenye vita mpaka saizi almost 5 months na watu wenye akili timamu wakakuelewa

why usivamie kj ukapiga na kubeba askari? ambao utatumia kufanya mbadilishano wa wafungwa? unabeba katoto ka kike ka miaka Sita? unaua unabeba maiti ya mwanamke umeivua nguo unaipitisha mtaani na raia hao hao wa Palestine wasio na hatia wakishangiria allahu akubar kwamba hivi ndio vitendo vya Mwenyezi Mungu? This is wrongView attachment 2918676
 
Sheria ya kimataifa inakataza kuua, kumfanya ngao,au kumfanya mateka Raia wa kawaidi ambae hausiki na jeshi Lakini hivi vyote Hamas wamevifanya

Mpaka February hii watoto wadogo kina mama na wazee waliuwawa na wengine kufanywa mateka mpaka muda huu una ongelea vipi hili?
Kwamba wewe na wataalamu wa masuala ya vita na wanasheria nguli duniani hawajaviona isipokuwa wewe tu?

Kesi ya ICJ kwenye utetezi wa Israel yeye anachokomaa ni kusema tu anajilinda wala hajasema unayoyasema wewe. Tunafuatilia kesi live.
 
Mkuu.....ww uniulie watoto wangu na wanawake wangu na mbaya zaidi utembeze maiti za wanawake uchi huku mkishangilia.....afu leo unajiliza mm nikiua watu wako......!!!Si walikua wanashangilia October 07 sasa wanalialia nn???
Kama ulijua hilo kwanini uliua bibi na wajukuu wangu waliokua wanakimbia risasi zako na ukabaka na kutembeza maiti za wanawake zikiwa uchi adharani????
Kama ww umepinda na mm nimepinda zaidi yako..!!!
50/50


Yaani myahudi haumii zaidi ya wewe uliyenyeshwa maandiko ya kuchakachuliwa ??
 
Mkipigwa mnalia lia na kwenda ICJ, Israel ikisitisha basi itafutwe namna nyingine mnajipiga kifua na kuchekelea.
Ifahamike Israel wamekua wanatafuta kila namna ya kuepuka kuua watoto ambao mumejificha nyuma yao, maana dunia itapiga makelele sana.
Nafuu yenu sio Urusi au China, maana wale hupiga carpet bombing bila kujali kiumbe gani au nini. Uwezo ambao Israel wanao pia, tena wana uwezo wa kufagia hiyo Gaza kwa masaa ibaki shamba, ila wanapiga huku wakiwapa chakula cha misaada na mengine....wako makini sana, sema magaidi ya hiyo dini hawana huruma au akili, wanajificha hyuma ya waoto.
Kwamba Israel anauwezo wa vita? Wapi vita ya ya kubomoa makzi ya watu na kuua wanawake na watoto ndo umfananishe na Russia na China. KABLA ya vita nilikuwa naamini Israel ni dubwana kubwa kumbe jeuri yote ni kutoka Marekani, haha Sasa una bigana na wanamgambo wajiji miezi mitano. Hana ujuzi wa vita ya kisasa. AACHE KUU WATOTO NA KINA MAMA
 
Mkuu.....ww uniulie watoto wangu na wanawake wangu na mbaya zaidi utembeze maiti za wanawake uchi huku mkishangilia.....afu leo unajiliza mm nikiua watu wako......!!!Si walikua wanashangilia October 07 sasa wanalialia nn???
Kama ulijua hilo kwanini uliua bibi na wajukuu wangu waliokua wanakimbia risasi zako na ukabaka na kutembeza maiti za wanawake zikiwa uchi adharani????
Kama ww umepinda na mm nimepinda zaidi yako..!!!
50/50

Yaani wewe na wayahudi waliopigana huko , unaumia wewe mla makande wa Manzese uliyeletewa kitabu kilichochakachuliwa na wazungu


View: https://www.youtube.com/watch?v=n0KKHIS9D7I
 
Back
Top Bottom