Sasa hao 320 wamekufa na robo tatu ya Hamas hao wapalestina 12000 na basement za Hamas wamebaki kutia huruma wakati huo Israel Ina zaidi ya active soldier laki na ushenzi na wengine laki tano ambao wakiitwa mda wowote hawaapa Sasa hao 320 walioigeuza Gaza majivu hawafiki hatakarobo
Palestina maisha yao siku zote ni hayo ndiyo maana unaona wapo kitu kimoja nakuuliza imekuaje tena Israel wamekaa meza moja na magaidi tena wametoa masharti yao na Israel wamekubali hayo maneno yako mengine no porojo wangekuwa na uwezo si wangewakomboa mateka wao?kiukiweli, HAMAS kama adhabu tu wamepata, hata ukibisha ni kwamba unajikaza tu. makamanda wao wengi sana wameuliwa, majengo karibia yote yamefyekwa na israel hatayajenga. shida ni mateka, sio uwezo wa hamas. isingekuwa hivyo vita ingeshaisha kitambo. hata hivyo angalia kwanza warelease mateka afu uone kitakahotokea. utashangaa.
Wewe shabiki mandazi umezoe kumeza porojo unaniambia niweke ushahidi fungua hiyo linki nimeweka chini ya uzi wangu acha uvivu soma.Weka ushahidi Israel inawatumia Qatar kuwabembeleza Hamas mnafundishwaga uwongo na unafiki kwenye dini yenu?
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
unawakomboaje sasa wakati wapo kwenye mahandaki na ukipiga unaua na raia wako, swali gani hilo? ati wangekuwa na uwezo wangewakomboa raia wao, ni uwezo gani unahitajika kumkomboa mtu ambaye ametekwa na gaidi linalomuweka kama ngao? shule shule shule.Palestina maisha yao siku zote ni hayo ndiyo maana unaona wapo kitu kimoja nakuuliza imekuaje tena Israel wamekaa meza moja na magaidi tena wametoa masharti yao na Israel wamekubali hayo maneno yako mengine no porojo wangekuwa na uwezo si wangewakomboa mateka wao?
Israel si ina sifa ya kuwa na makomandoo makini wameishafanya hivyo mara nyingi?unawakomboaje sasa wakati wapo kwenye mahandaki na ukipiga unaua na raia wako, swali gani hilo? ati wangekuwa na uwezo wangewakomboa raia wao, ni uwezo gani unahitajika kumkomboa mtu ambaye ametekwa na gaidi linalomuweka kama ngao? shule shule shule.
magaid ya Hamas ni vipanyarodi vinavyoishi mashimoni kwa sasa na havitoki nje si usiku si mchanaNa hilo wamefanikiwa hamas wamebaki kua kama vibaka sasa au fuko wanaishi mashimoni
Sasa wewe unadhani Netanyahu anapenda kukaa meza moja na Hamas kukubaliana na masharti ya Hamas? Hali tete unaambiwa juzi na jana Tel aviv ilitaka kugeuzwa kifusi huku Hezbollah nao hawapoi , huko Yemen wanasema hakuna meli yeyote kupita kwenda Israel wewe hiyo block unaionaje? Lazima mtu aombe sub.Ningekua Mimi Benjamin huo upuuzi wa kukaa meza na magaidi eti kubadilishana mateka usingekuwepo! Magaidi yameua waisrael karibia 1500 wasiokua na hatia sembuse mateka 240?
Kwani hao 240 Wana thamani sana kuliko maelfu waliouawa tarehe 7? Pale Gaza ni Bomu Moja la kugeuza juu chini kiumbe yeyote aliepo pale habari yake inaishia hapo maisha yanaendelea
Hamas wanataka Israeli iachie wapalestina 100 wao watatoa 50 tu tena kwa mafungu ya kumi kumi.[emoji1787]Wewe endelea na ushabiki mandazi hujui chochote hao mateka wa Israel hujui wanawatoa wapelestina wangapi ambao wapo jela Israel.
Mbona unabadili gia angani kamanda wa IDFhasira zao zimeshaisha. bora wayajenge watulie sasa.
76% wa Israel wanataka Benjamin netanyau aondoke madarakani na uchaguzi ufanyike haraka.Netanyahu alisema hawezi kukaa meza moja na magaidi Hamas leo kikowapi Israel anawatumia Qatar kuwabembeleza Hamas, pia Hamas wametoa masharti yao na Israel wameyakubali.
Sasa mbona unalia?unawakomboaje sasa wakati wapo kwenye mahandaki na ukipiga unaua na raia wako, swali gani hilo? ati wangekuwa na uwezo wangewakomboa raia wao, ni uwezo gani unahitajika kumkomboa mtu ambaye ametekwa na gaidi linalomuweka kama ngao? shule shule shule.
Kundesha vita sio kama kikao cha ukoo mwenzio mwenye mawazo kama hayo maji yameshaamfika shingon .kumbuka hamas ni kakikundi tu na hawana cha kupoteza .tofaut na Israel ni serikali kubwa na mbele ya Uso wa kimataifa unajinasibu kunwa super powerNingekua Mimi Benjamin huo upuuzi wa kukaa meza na magaidi eti kubadilishana mateka usingekuwepo! Magaidi yameua waisrael karibia 1500 wasiokua na hatia sembuse mateka 240?
Kwani hao 240 Wana thamani sana kuliko maelfu waliouawa tarehe 7? Pale Gaza ni Bomu Moja la kugeuza juu chini kiumbe yeyote aliepo pale habari yake inaishia hapo maisha yanaendelea
Huvi unajua gharama ya kuendesha kifaru kimoja au kumaintain iro done ?Never kwa netanyahu nayemjua Mimi mpaka Gaza iwe gofu la kihistoria
Hahaaaaa, nimecheka sana kuniita muisrael mwrusi wa makete.Muisrael mweusi wa Makete hataki makubalianoš
Kama ungekuwa wewe ndio mmoja kati yahao mateka 240 ndio ungejua thamani ya uhai waoNingekua Mimi Benjamin huo upuuzi wa kukaa meza na magaidi eti kubadilishana mateka usingekuwepo! Magaidi yameua waisrael karibia 1500 wasiokua na hatia sembuse mateka 240...