WAISRAEL WAMENASA KWENYE VITA VIGUMU seem 1 Netanyahi anataka amalize ishu ya Gaza ambayo ni ajenda yao kuuu USA na ULAYA wanaunga mkono!! sasa waGaza wamekubali wafie palepale awaondoki kwenda Misri na Misri kafunga mpaka!!! Genoside hii karne y 21 wkt wao wanaagenda iyo uku Yemen uku hezbollah uku IRAN wapo macho kufelisha uho mpango ISRAEL imeambiwa na Yemen ukiacha vita Gaza sisi atutozuiya meri zako na hezbullah ivyoivyo tangu mwanzo ajafa yoyote kule lebanoni. wamemwambia Israel wacha vita Gaza sisi tutaacha kukushambulia lkn ISRAEL ana uchu wakuitumia vita hii amalize kadhia ya Gaza pia japo ndio itakuwa ushindi wao mkubwa ktk hii vita JE NETANYAHU na vibalaka wake watavumilia vipigo uko Ndani ya Israel uku wao wakikaza shingo kuendelea na mipango ya kuitwaa ardhi ya Gaza ukisikia imepatikana muafaka kumaliza vita, na tukijua Gaza bado ipo chini ya Wqpalestine basi jua ISRAEL katema Bungo vipigo vimemzidia kakubali yaishe chamtu mavi!!!😀 na ndio mwanzo w kuudwa Taifa la palestine mana ISRAEL atosubutu tena kuivamia Gaza anajua wazi kwasasa itqjiandaa upya kukubwa zaid na wao wataogopa kupasa ASALA zaid y i yasasa muda ndio mwalimu mkuui. Tuwe na asubui njema