Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu



View: https://medium.com/@matshonatdhliwayo/7-reasons-why-nelson-mandela-was-a-great-leader-by-matshona-dhliwayo-203fdab12b03

Click hspo uone mambo.

Habari ndiyo hiyo.
 
Na huo ndo ukweli wachane bwana "Nyau" Hata zanzibar isingekuwa waarabu leo hii ingekua mkoa tu wa tanganyika usio na dini moja.
 
Hii vita ya sasa hivi itawafungua wengi na kujua hawa jamaa hawana ugomvi wa kidini,ugomvi wao myahudi na mwarabu,yan mwarabu awe mkristo awe muislam hawezi kumkubali myahudi,na ndivyo kwa wayahudi awe jewish au muslim kamwe amkubali mwarabu,upande wa israel kuna waisrael waislam ambao wako sambaba na wayahudi kupigania ardhi yao na upande wa waarabu ni hivyo hivyo,sasa wale waislam na wakristo wa kwa mtogole akili inawarudi kidogo kidogo kama ilivyo kwa myahudi wa kwenye maslum MK254
 
Kwa hiyo wamekuwa wakigombea hiyo ardhi toka kitambo hiko mpaka leo jamani🤔
 

Halafu wewe mlalahoi wa hapo Tandale jifunze kuandika, tafuta mtu akufundishe namna ya kuzingatia alama za uakifishaji, tatizo utakuta umevimbiwa ubwabwa hapo baada ya kujazwa ujinga kijiweni unaona uje kuandka andika humu JF, sasa nini hiki umeandika hapa, hukushirikisha ubongo.
 
Leo sasa ndo amefunguka ya Moyoni, mengine zuga tu.

Hiki ndo wanachokitaka na ndo maana hawaishi kuwachokonoa wapalestina kila kukicha
 
Kila mdu akipadai kwao miaka 4000 iligopita patakalika kweli Duniani
 
Wayahudi wameishi katika ardhi ya Israel, ambayo sasa ni nchi ya Israel, kwa takriban miaka 3,500
If that's the case mbona Idd Amin alipodai historically kuwa Kagera ilikua Uganda mbona alipingwa? Same to Russia anaona kama Crimea ni historically Russia ila anapingwa? But kwa israel pekee ndio halali?

Huu unafiki ni kwa faida ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…