Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

Waafrika bwana, kwa ufahari mkuu wanashusha historia ya Israel na Palestine ya mpaka miaka 3500 iliyopita na maeneo yao wanayomiliki hadi ya vitongojini ndani huko. Ajabu ni kwamba waafrika hawa ukiwauliza uzao wao hawajui hata wa miaka 100 iliyopita ulikuaje. Cha kushangaza zaidi unaweza kusema chochote kuhusu uzao wao (hawa waafrika) na kusiwe na tabu yoyote lakini jaribu kusema lolote kuhusu Israel au Palestine uone utakavyoshambuliwa kwa matusi makali na kama upo karibu utapokea kibao kabisa.
 
Wayahudi wapi unao ongelea. Hawa waliopo sasa wametoka nchi za Ulaya kuanzia miaka 75 iliyopita!. Wengi ni waabudu wa dini ya kiyahudi lakini sio kabisa wale waliokuwepo miaka hiyo!. Kuna watu wengi wanaitwa wayahudi kwasababu tu ya kuabudu dini na sio lazima wale jamii hii naona wengi wanajichanganya. Ukifuatilia DNA wayahudi wa miaka 2000 iliyopita wengi wapo North Africa, East Africa na wengine walibaki sehemu ile. Hawa wanao ongoza wengi wametoka German na Poland
Hii kitu watu hawaijui kabisa...sijui ni lini watu watakuja kujua .. wayahudi wa kipindi Cha yesu walikuwa weusi ...Hawa Ni wazungu wahuni tu na makatili..
 
Kabisa tena. Wapalestina walihamia tu hapo, wauliwe wote.
 
Netanyau anasema yeye ni myaudi Kuna myaudi mzungu .. wayahudi wa kipindi Cha yesu walikuwa weusi...Hawa Ni wazungu kutoka ujerumani...kwa hiyo wao ni wavamizi ... wayahudi real au biblical Jews wako Ethiopia na wanajulikana. ..ndio maana waarabu wanawakataa..coz wanajua eneo hilo hawawezi kupatikana wazungu...
 
Prophet Yaqub (pbuh) was born in Palestine, and was the son of Prophet Ishaq (pbuh). He is known for leading his life in the footsteps of his father and grandfather, spreading the message of the Oneness of God, and advising followers to pray and give in charity

Hili jibu linamtosha Mtume Yaqoub alizaliwa Palestine na anajulikana kwa jina.lingine ni Israel, kwa tarifa yako Israel waliba jina kutoka kwa Mtume Yaqoub wakanza kufake kwa kutengeneza bibilia kuwa Israel ni taifa 😂

Bada ya Mtume yaqoub ndio kukatokea makabila ya Bani Israel 12 wako wakawa Waislam, wengine wakawa wakristo wengine Jewish ndio hao wanajita wa Israel lakini hakuna taifa lilo ongelewa na Mwenyezi Mungu zaidi ya Bani Israel yani kizazi cha Yaqoub au cha Israel kwa jina lingine.

Israel ni jina lingine la Mtu ambaye anaitwa Mtume Yakobo.
 
Prophet Yaqub (pbuh) was born in Palestine, and was the son of Prophet Ishaq (pbuh). He is known for leading his life in the footsteps of his father and grandfather, spreading the message of the Oneness of God, and advising followers to pray and give in charity

Hili jibu linamtosha Mtume Yaqoub alizaliwa Palestine na anajulikana kwa jina.lingine ni Israel, kwa tarifa yako Israel waliba jina kutoka kwa Mtume Yaqoub wakanza kufake kwa kutengeneza bibilia kuwa Israel ni taifa [emoji23]

Bada ya Mtume yaqoub ndio kukatokea makabila ya Bani Israel 12 wako wakawa Waislam, wengine wakawa wakristo wengine Jewish ndio hao wanajita wa Israel lakini hakuna taifa lilo ongelewa na Mwenyezi Mungu zaidi ya Bani Israel yani kizazi cha Yaqoub au cha Israel kwa jina lingine.

Israel ni jina lingine la Mtu ambaye anaitwa Mtume Yakobo.
Umekuwa brainwashed na dini zaidi, tafuta historia kwenye vitabu mbalimbali, ukisoma quran huwezi ipata historia, utaipata ya uwongo angalau usome biblia kwanini waliitwa wana wa Israel. Kuanzia karne ya 7 ndipo waarabu walipokwenda ku conquer nchi yao.
 
Moderator aliyefuta ujumbe wangu ajitafakari, sinaga utoto wa kushabikia maafa ya vita popote duniani wala vinasaba vya kidini humu JF.
siwajui moderators, kama wana ushabiki wa imani za kidini waache. Huenda baadhi yao wana ufahamu mdogo kuhusu historia za dunia na mambo mazito. Kufuta nyuzi ambazo ni fact haipendezi kwa kweli. Muandishia anaandika uzi unafutwa halafu wahusika wakihojiwa huja na yaleyale yaliyoandikwa. Si kila nyuzi ni za kufutwa zingine ni ukweli mtupu kulingana na mukhtadha wa mambo yenyewe
 
amesema ukweli wote, nimesoma sana vitabu vya historia ya hawa watu, ipo hivyo hivyo. karne ya saba ndio waarabu walivamia hapo.
Hao waarabu wanafaida gani kuendelea kuwepo huko?

Waondoke kama hawataki wapelekewe moto usiku na mchana.
 
December tu yenyewe watu watamiminika Bethlehem ambayo ipo westbank (eneo wanakoishi wapalestina) ambako Yesu aliyeishi kama Myahudi alizaliwa. halafu mtu anakuja leo anasema ile ardhi sio ya wayahudi, akili matope hayo?
safi sana mkuu. Umeona mbali.
 
Prophet Yaqub (pbuh) was born in Palestine, and was the son of Prophet Ishaq (pbuh). He is known for leading his life in the footsteps of his father and grandfather, spreading the message of the Oneness of God, and advising followers to pray and give in charity

Hili jibu linamtosha Mtume Yaqoub alizaliwa Palestine na anajulikana kwa jina.lingine ni Israel, kwa tarifa yako Israel waliba jina kutoka kwa Mtume Yaqoub wakanza kufake kwa kutengeneza bibilia kuwa Israel ni taifa 😂

Bada ya Mtume yaqoub ndio kukatokea makabila ya Bani Israel 12 wako wakawa Waislam, wengine wakawa wakristo wengine Jewish ndio hao wanajita wa Israel lakini hakuna taifa lilo ongelewa na Mwenyezi Mungu zaidi ya Bani Israel yani kizazi cha Yaqoub au cha Israel kwa jina lingine.

Israel ni jina lingine la Mtu ambaye anaitwa Mtume Yakobo.
Dini imekuvuruga balaa.
Mohamed kazaliwa karne ya tano.
Kwa maana hiyo Uislamu umetambulika Duniani karne ya tano.
Ukriso umetambulika Duniani karne ya kwanza.
.Uyahudi upo miaka mingi kabla ya ukristo.
usipende kuchanganya dini kwenye mambo yasiyo ya kidini.
 
December tu yenyewe watu watamiminika Bethlehem ambayo ipo westbank (eneo wanakoishi wapalestina) ambako Yesu aliyeishi kama Myahudi alizaliwa. halafu mtu anakuja leo anasema ile ardhi sio ya wayahudi, akili matope hayo?
Ukisoma maandiko Mungu anamwambia Ibrahim atoke Iraq aende nchi atayomuonyesha ambayo ndio hiyo Jerusalem

Swali
1) Je Ibrahim alivyofika Jerusalem alikuta Mji au alikuta poli

2) Kama alikuwa Mji hao watu walikuwa kina nani?
 
Back
Top Bottom