Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

Nisichoelewa hapa issue ni dini, makabila au nn hasa? Kwani Abraham wakati anapewa Kanaani hakukuta jamii za watu wengine?
Alizikuta ila aliambiwa awaue wote.

Ni binadamu wote tuna utashi. Tuna ubinadamu, Ukiona, mwanamke, msichana, mtoto, mzee mgonjwa unaumuacha. Kumpiga Mzee unatulia.
 
Kabla ya kwenda Misiri walitokea kwenye nchi hiyohiyo inayosemwa na Netanyau na walikwenda Misiri kwa kuchukuliwa na Yusufu ambaye aliuzwa Misiri na waishimail waliyemnunua kwa ndugu zake.
Kwa hiyo huko kuporwa Ardhi Kwa mkulima wa Kiyahudi na Waarabu ilitoka wapi wakati walishaenda Misri? Acheni fix
 
Alizikuta ila aliambiwa awaue wote.

Ni binadamu wote tuna utashi. Tuna ubinadamu, Ukiona, mwanamke, msichana, mtoto, mzee mgonjwa unaumuacha. Kumpiga Mzee unatulia.
Kwaiyo aliambiwa aue ili pawe pake?
 
Kwa hiyo huko kuporwa Ardhi Kwa mkulima wa Kiyahudi na Waarabu ilitoka wapi wakati walishaenda Misri? Acheni fix
Unaonekana ni mvivu wa kufuatilia historia, mambo ya utumwani Misri yalitokea huko zamani miaka zaidi ya 1000 BC (Kabla ya Kristo). Huko kuporwa kwa ardhi na watawala wa Kiarabu ni mika 600 AD karne ya 7 hivi. Wakati Uislamu unaenezwa ulienezwa kwa upanga hivyo kwakuwa Wayahudi ni watu wa msimamo na dini yao wengi walikimbia nchi kutokana na mateso na ukandamizaji wa tawala hizo za Kiarabu.
Waarabu walijenga msikiti wa al Aqsa kwenye msingi wa hekalu la Sulemani. na kwahivyo walijimilikisha urithi wa Wayahudi isivyo halali, waliuwa watu wengi waliokataa kujiunga na dini ya kiislamu, inakadiriwa ni zaidi ya watu milioni 200 waliuwawa kwa miaka yote hiyo kuanzia karne ya 7 mpaka ya 19 mashariki ya kati na ulaya, na hawa waliuwawa kwa kukatwa shingo kwa upnga.
 
Tumfufue Musa(Prophet Moses),yeye ndio anajua ukweli wa hilo eneo[emoji38][emoji38]
 
"Wayahudi wameishi katika ardhi ya Israel, ambayo sasa ni nchi ya Israel, kwa takriban miaka 3,500. Tumetawaliwa na Warumi, tumetawaliwa na Wa-Byzantini, wametufanyia mambo mabaya, lakini hawakutufukuza, tofauti na vile watu wanavyofikiria. Upotevu wa ardhi yetu ulitokea wakati wa uvamizi wa Kiarabu katika karne ya saba.

Wa-Arabu waliingia kutoka Arabia na kufanya kitu ambacho hakijawahi kutokea kabla, si Warumi, Wa-Byzantini, si Wagiriki kabla yao, wala Alexanda the great, hakuna aliyewahi kufanya hivyo. Walianza kuchukua ardhi ya mkulima Myahudi. Walileta makoloni ya kijeshi ambayo yalichukua ardhi. Kadri muda ulivyopita, Wayahudi wakawa wachache katika ardhi yetu. Kwa hivyo, ni chini ya uvamizi wa Kiarabu ambapo Wayahudi walipoteza ardhi yao.

Wa-Arabu walikuwa wakoloni, Wayahudi walikuwa wenyeji. Hii ndivyo ilivyokuwa kwenye historia. Wayahudi walipokonywa ardhi yao. Tuliachwa tukitawanyika katika pembe za dunia, tukiteseka kwa sababu hatukuwa na nchi yetu, lakini hatukutoweka na kamwe hatukukata tamaa ya kurudi katika ardhi yetu ya kiasili.

Wa-Arabu, ambao walitawala ardhi, hawakuwahi kuifanya kuwa yao. Ilikuwa ardhi isiyo na watu. Katika karne ya 19, wazo la kurudi Yerusalemu likawa ukweli, na kwa sehemu kubwa, ilikuwa kutokana na msaada wa Wakristo Wakizayuni.

Kwa wazo la kurudi, Wayahudi waliendelea kurudi katika ardhi ya Israel katika karne ya 19. Matokeo ya kurudi huku ni kwamba tukaanza kujenga mashamba, viwanda, na maeneo ya ajira. Wa-Arabu, ambao walikuwa wamehamia katika karne zilizotangulia, sasa wanajiita Wapalestina. Waliibua upya historia na kusema wamekuwepo kwa karne nyingi.

Hawana haki ya kuwa hapa. Ardhi hii ni yetu. Imekuwa yetu kwa miaka 3,500. Ikiwa unachukua nyumba ya mtu, kuwafurusha na kuwapokonya, na hawakukataa madai yao, na wanasema ni madai yetu, na wewe unaiacha kama eneo lisilo na watu.

Na familia na uzao wa watu waliotimuliwa wanarudi, wanajenga nyumba, huna haki ya kuwakataza kuwa hapa. Tunawaambia, mnaweza kuishi hapa, sisi pia tunaweza kuishi hapa, lakini ardhi hii ni yetu, ni nchi yetu.

Na sababu hii ya mzozo inaendelea ni kwa sababu Wapalestina, wanaowakilisha wakoloni wa Kiarabu, uvamizi wa Kiarabu, katika Mashariki ya Kati na maeneo mengine, wanadai kuwa hatuna haki ya kuwa na nchi ya Kiyahudi. Lakini tunayo haki. Kama kuna watu wenye haki ya kuwa na nchi, kama kuna watu ambao hawajawahi kukataa ndoto yao ya kurudi katika nchi yao ya kiasili, basi Wayahudi wanamiliki ardhi hii. Ardhi hii ni ya Wayahudi.

Wapalestina wana uhuru wa kuishi hapa karibu nasi, miongoni mwetu, lakini hawana haki ya kudai kuvunjwa kwa nchi ya Kiyahudi. Hiyo si haki. Hiyo ni dhuluma." Alisema Benjamin Netanyahu alipohojiwa na chombo kimoja cha Habari.
This is it🤝🤝🤝 case closed!
 
umeweka quotation ya mandela hapo, huyo mandela ni mojawapo ya watu wabinafsi na wapuuzi sana. anaheshimika kidunia kiunafiki tu. kwa namna Nyerere alivyompigania, kwa namna Tanzania tulivyorisk uchumi na mahusiano yetu, alitakiwa awe na shukrani ya kutosha, lakini alimtosa nyerere mwishoni huyo baada ya kutoka, na amesifia watu wengine zaidi ya nyerere na watanzania. na itoshe kusema alikoma kukaa gerezani kwa miaka 27 bila kukutana na nyapu yeyote, madume tu, na alipotoka alikoma zaidi kuona mkewe kipendi anafumuliwa na bwamdogo. to hell is him.
Khaaaaa😅😅😅😅
 
Unajua Musa aliletwa Afrika ikiwa ya watu weusi mtoto. Walikaa Afrika nchi za weusi miaka 400 kama watumwa. Akaishi miaka 40 Afrika. Kila kitu utamaduni, siasa michezo sayansi vyote walifundiswa Afrika. Wasomi wote Wagiriki, wote duniani walifundishwa Afrika.

Yesu alikuwa mkimbizi Afrika kumkimbiia Herod.

Mohamed alikuwa mkimbizi Afrika kunusuru maisha yake Ethiopia.

Ila hakuwa na huruma baada ya kunusurika. Karibu nusu ya Ethiopia ikawa Islam, Sudan West Afrika kwa upanga, Jambia, shinikizo, kodi.
 
Wayahudi wamechukua kila kitu Afrika 2000 years ago. Wakati wa Islam Empire Alipozaliwa Muhamed. Uislamu 1333 iliyopita.
 
Kunukuu njoo youtube inbox. Njoo inbox utapata elimu nzuri tu kuhusu dunia.
 
Netanyahu aache January janja. Babu zao walipotoka masri utumwani.wakakoswa koswa na firauni pale kwenye bahari. Walipokosea njia.wakaenda njia ya baharini mungu akawasaidia kwa kuachanisha bahari wakamkwepa firauni.na firauni akafa na majeshi yake.baada ya hapo walimsumbua sana musa mpaka musa anakufa.anachukua uongozi yoshua.anazunguka zunguka nao kwa miaka 40.wanavamia nchi za watu.nchi waliyoahidiwa sio hapo israel.hawajawahi kufika kwenye hyo nchi sababu ya uj
 
Badala mfikirie solution mnajadili matatizo. Hakuna wa kumuamisha Israel hapo alipo, mtawapeleka wapi? Hakuna sayari inayokalika zaidi ya Dunia. Na Duniani hakuna ardhi isiyo na mwenyewe.
Mnachojadili hakina tija, kwa maana hakileti suluhu.
 
Back
Top Bottom