Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

kuokoka kutoka kwenye dini ya fujo kuja kwa Yesu Kristo mwokozi wako.
Yesu kristo kashundwa kujiokjwa mwenyewe akaanza kulia. Kulia anaachwa, umesahau?

Huyo aliyemlilia Yessu ndiye mimi namuabudu.

Kumbuka hilo.
 
Yesu kristo kashundwa kujiokjwa mwenyewe akaanza kulia. Kulia anaachwa, umesahau?

Huyo aliyemlilia Yessu ndiye mimi namuabudu.

Kumbuka hilo.
wewe imebaki nikutafute nikuzalishe tu, sio kwa dhihaka hizo.
 
wewe imebaki nikutafute nikuzalishe tu, sio kwa dhihaka hizo.
Huwa sikisii.

Utani, huiamini bibilia wewe? Soma:

Mathayo 27:
46 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
 
kwahiyo unafikiri Yesu alikuwa mpalestina? aliuawa kwa sababu ilitabiriwa hivyo kwamba angeuawa kama kafara la dhambi zangu mimi na wewe.
Kwa hiyo mungu kaumba binadamu na akawapa uwezo wa kufanya dhambi, alafu akamtoa mtoto wake wa Pekee, akauwawa na binadamu ili binadamu wafutiwe dhambi, yani dhambi inafutwa Kwa dhambi,
Huyu mungu ni mjinga Sana hajui Ku manage resources zake vizur
 
Ushenzi ni ushenzi tu what we need is peace , stop killing innocent people, stop killing each other, Kuna mmoja ndio amepokonya haki ya mwingine nafsini mwao wanajua sisi huku tunashabikia Udini non -Sense
 
Kwa hiyo mungu kaumba binadamu na akawapa uwezo wa kufanya dhambi, alafu akamtoa mtoto wake wa Pekee, akauwawa na binadamu ili binadamu wafutiwe dhambi, yani dhambi inafutwa Kwa dhambi,
Huyu mungu ni mjinga Sana hajui Ku manage resources zake vizur
mungu wa kwako chinjachinja ndio muongo na mjinga. ila Mungu wa Israel aliyemtoa Yesu Kristo ndiye mtawala hata juu yako. fyata mkia foolish wewe.
 

Umeisoma vizuri historia yao kupitia torati ya musa??
 

Bibila ndio imeelezea vzr zaidi hii historia acha upotoshaji,kasome biblia hasa torati ya musa kitabu cha mwanzo utapata historia nzuri kuliko huo ujinga uliojazwa
 

Dogo acha kuchanganya mafaili pia toa upuuzi uliojazwa huko madrasa,uyahudi ndio unahistoria kamli juu ya habari za ibrahimu na kizazi chake chote.

Hatuwezi amini kurwani kwasababu ni kitabu kilichotungwa na watu wenye chuki dhidi ya uyahudi na ukristo.
 
Mwambie . Waislam wanataka Masjid Aqswa yao
Ni ujinga mtupu, mambo ya kiroho, sema Mungu aliye hai anayeishi wa Wayahudi hajawahi kushindwa kabisa, na ni ukweli usiopingika lazima wayahudi washinde vita hii maana imeandikwa na huo msikiti utavunjwa na kujengwa hekalu la mwisho
 
Alisema Benjamin Netanyahu alipohojiwa na chombo kimoja cha Habari.

Hapa ndio Chai ilizidi Tangawizi ikawa inawasha sana.
 
Umeisoma vizuri historia yao kupitia torati ya musa??
Historia yao walipelekwa utumwani misri na ndugu yao yusufu.akaja musa kuwaokoa.wakaanza kutanga tanga.mpaka leo wanatanga tanga.hao kwao misri
 
Historia yao walipelekwa utumwani misri na ndugu yao yusufu.akaja musa kuwaokoa.wakaanza kutanga tanga.mpaka leo wanatanga tanga.hao kwao misri

Kumbe ushaisoma,basi ndio wamerudi na wanataka ardhi yao na wataichukua yote na hakuna matakalo lifanya zaidi ya kelele za mitandaoni.
 
ardhi yao ipo misri waifuate

Wapalestina wamapigwa pini na wamisri wameachwa wauliwe wote hapo gaza,kwa taarifa yako gasa sasahivi usa anatengeneza kambi ya kijeshi,hakuna tena gaza ya wapalestina sasa ukamda wa gaza ni chini ya israel, we endelea kupiga kelele humu jf.
 
Wapalestina wamapigwa pini na wamisri wameachwa wauliwe wote hapo gaza,kwa taarifa yako gasa sasahivi usa anatengeneza kambi ya kijeshi,hakuna tena gaza ya wapalestina sasa ukamda wa gaza ni chini ya israel, we endelea kupiga kelele humu jf.
maji na mafuta havikai pamoja.
ushindi wa FARESTINE upo unakuja ni suala la muda tu
 
maji na mafuta havikai pamoja.
ushindi wa FARESTINE upo unakuja ni suala la muda tu

Tangu israel imeestablish upya taifa lake ndugu zako wanakula kichapo,utakufa utaacha wanakula kichapo mpaka wajue kuwa dini haienezwi kwa ugaidi,israel wakimalizana na gaza wanahamia westbank.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…