Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kuokoka kutoka kwenye dini ya fujo kuja kwa Yesu Kristo mwokozi wako.Nini yangu imeibiwa?
Kuokota nini? Kwanini niwe muokotaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuokoka kutoka kwenye dini ya fujo kuja kwa Yesu Kristo mwokozi wako.Nini yangu imeibiwa?
Kuokota nini? Kwanini niwe muokotaji?
Yesu kristo kashundwa kujiokjwa mwenyewe akaanza kulia. Kulia anaachwa, umesahau?kuokoka kutoka kwenye dini ya fujo kuja kwa Yesu Kristo mwokozi wako.
wewe imebaki nikutafute nikuzalishe tu, sio kwa dhihaka hizo.Yesu kristo kashundwa kujiokjwa mwenyewe akaanza kulia. Kulia anaachwa, umesahau?
Huyo aliyemlilia Yessu ndiye mimi namuabudu.
Kumbuka hilo.
Huwa sikisii.wewe imebaki nikutafute nikuzalishe tu, sio kwa dhihaka hizo.
Kwa hiyo mungu kaumba binadamu na akawapa uwezo wa kufanya dhambi, alafu akamtoa mtoto wake wa Pekee, akauwawa na binadamu ili binadamu wafutiwe dhambi, yani dhambi inafutwa Kwa dhambi,kwahiyo unafikiri Yesu alikuwa mpalestina? aliuawa kwa sababu ilitabiriwa hivyo kwamba angeuawa kama kafara la dhambi zangu mimi na wewe.
mungu wa kwako chinjachinja ndio muongo na mjinga. ila Mungu wa Israel aliyemtoa Yesu Kristo ndiye mtawala hata juu yako. fyata mkia foolish wewe.Kwa hiyo mungu kaumba binadamu na akawapa uwezo wa kufanya dhambi, alafu akamtoa mtoto wake wa Pekee, akauwawa na binadamu ili binadamu wafutiwe dhambi, yani dhambi inafutwa Kwa dhambi,
Huyu mungu ni mjinga Sana hajui Ku manage resources zake vizur
Netanyahu aache January janja. Babu zao walipotoka masri utumwani.wakakoswa koswa na firauni pale kwenye bahari. Walipokosea njia.wakaenda njia ya baharini mungu akawasaidia kwa kuachanisha bahari wakamkwepa firauni.na firauni akafa na majeshi yake.baada ya hapo walimsumbua sana musa mpaka musa anakufa.anachukua uongozi yoshua.anazunguka zunguka nao kwa miaka 40.wanavamia nchi za watu.nchi waliyoahidiwa sio hapo israel.hawajawahi kufika kwenye hyo nchi sababu ya uj
Prophet Yaqub (pbuh) was born in Palestine, and was the son of Prophet Ishaq (pbuh). He is known for leading his life in the footsteps of his father and grandfather, spreading the message of the Oneness of God, and advising followers to pray and give in charity
Hili jibu linamtosha Mtume Yaqoub alizaliwa Palestine na anajulikana kwa jina.lingine ni Israel, kwa tarifa yako Israel waliba jina kutoka kwa Mtume Yaqoub wakanza kufake kwa kutengeneza bibilia kuwa Israel ni taifa [emoji23]
Bada ya Mtume yaqoub ndio kukatokea makabila ya Bani Israel 12 wako wakawa Waislam, wengine wakawa wakristo wengine Jewish ndio hao wanajita wa Israel lakini hakuna taifa lilo ongelewa na Mwenyezi Mungu zaidi ya Bani Israel yani kizazi cha Yaqoub au cha Israel kwa jina lingine.
Israel ni jina lingine la Mtu ambaye anaitwa Mtume Yakobo.
Nionyeshe hio bibilia ya Karne ya 7 ipo wapi, hizo bibilia zenu si magazeti tu yalio andikwa na waisrael Paul, Luke, Matthew na John hawa wote ni waisrael walio tunga hizo bibilia na hakuna hata mmoja alimuona Yesu.
Hio Injil aliyo kuja nayo Yesu huwezi kukuta ujinga huo eti Israel taifa la Mungu, Sijui Israel ni nchi, Yesu alizaliwa Palestine si Israel kama mnavyo dai. Wakati wa Yesu hakuna nchi inaitwa Israel.
Ni ujinga mtupu, mambo ya kiroho, sema Mungu aliye hai anayeishi wa Wayahudi hajawahi kushindwa kabisa, na ni ukweli usiopingika lazima wayahudi washinde vita hii maana imeandikwa na huo msikiti utavunjwa na kujengwa hekalu la mwishoMwambie . Waislam wanataka Masjid Aqswa yao
Historia yao walipelekwa utumwani misri na ndugu yao yusufu.akaja musa kuwaokoa.wakaanza kutanga tanga.mpaka leo wanatanga tanga.hao kwao misriUmeisoma vizuri historia yao kupitia torati ya musa??
Historia yao walipelekwa utumwani misri na ndugu yao yusufu.akaja musa kuwaokoa.wakaanza kutanga tanga.mpaka leo wanatanga tanga.hao kwao misri
ardhi yao ipo misri waifuateKumbe ushaisoma,basi ndio wamerudi na wanataka ardhi yao na wataichukua yote na hakuna matakalo lifanya zaidi ya kelele za mitandaoni.
ardhi yao ipo misri waifuate
maji na mafuta havikai pamoja.Wapalestina wamapigwa pini na wamisri wameachwa wauliwe wote hapo gaza,kwa taarifa yako gasa sasahivi usa anatengeneza kambi ya kijeshi,hakuna tena gaza ya wapalestina sasa ukamda wa gaza ni chini ya israel, we endelea kupiga kelele humu jf.
maji na mafuta havikai pamoja.
ushindi wa FARESTINE upo unakuja ni suala la muda tu