Israeli ni taifa teule la Mungu àitwaye Jehova.
ukiona umepigana nao na umeshinda ujue Bwana Mungu Jehova. Ameruhusu.
Ninachoshukuru serikali ya tz ni kufungua ubalozi Israeli maana imeandikwa atakayewabariki Israeli atabarikiwa ayakayewalaani atalaaniwa.
Kiongoz hv katika pitapita yako ulishakutana na hiki ndani ya israel?
76.1% jewish
16.2% Muslim
2.1% christian
1.6% Druze ni kama muslim tu walijitenga karne ya 11
4% Wapagani
Sasa bhasi nimekuwekea hvyo ujue pili ni waafrica tu ndo tumebaki kuitetea israel kwa kuleta vifngu vya dini leo tembea dunia nzima huwezi kukuta watu wanaitetea israel kwa kuleta udini badala la facts wanasema human lie but facts& evidence don't watu wanatetea kitu au kupinga vitu kwa facts na evidence si udini na ndo maana udini unasehemu special hata kwenye mashule ya kidini wanafundisha kwa kutumia vitabu ambavyo wengine hata wasio na dini wanafundishiwa na dini limekuwa ni somo leo kwenye sayansi waaamini kuwa binadamu tumetokana na sokwe na swali likitoka kwenye mitiani tunajaza hvyo hvyo lakini tukienda misikitini na makanisani tunaamini kuwa ni binadamu chanzo chake ni Adam&Eve
Wenzetu linapokuja swala la kuitaji utaaramu au akili wanaruhusu akili na weledi kufanya kazi na kama Mtu ana haki yake wanampa hata kama ni Tanzania ndo imefanya vizuri wanaipa sifa zake bila kujari ukubwa au udongo
Na ndo maana hata kama israel wanafanya vibaya wanaambiwa live bila ya kupepesa Macho lakini wangekuwa wanaleta udini israel wangekuwa wanaambiwa kitu??? Mfano leo israel wakavamia kijeshi Tanzania utashindwa kupigana na kuacha wanajeshi wa Israel kuua ndugu na jamaa zako kisa Imeandikwa atakae ipinga israel amelaaniwa???
Leo hata ukiangalia list ya passport zenye nguvu dunian israel haipo
The world's powerful passports
1 Germany, 177 countries can be visited without a visa 1
2 Sweden, 176
Finland, France, Italy, Spain, United Kingdom, 175
3 Belgium, Denmark, Netherlands, United States, 174
4 Austria, Japan, Singapore, 173
5 Canada, Ireland (Republic of), Korea (Republic of, South), Luxembourg, Norway, Portugal, Switzerland, 172
6 Greece, New Zealand, 171
7 Australia, 169
8 Malta, 168
9 Hungary, Czech Republic, Iceland, 167
Ukiangalia passport hata ya US ipo namba ngapi??? wangekuwa wanafata vile ambavyo tunaamini wengi US na Israel si zingekuwa number 1 kuna vitu vingne hata US imepitwa na Nchi zingne si kila kitu lazima iwe number moja tu same to Israel
Tusipende kuleta Ukada hata kwenye vitu vinavyoitaji akili na maarifa tu kupata jibu