Kama Israel ni mwamba Kwa nini anaitegemea sana marekani?
Wengi hamjui dunia inaelekea wap, ndio maana mnafikiri Israel anamtegemea malekani, unaposema marekani hiyo ndio Israel, maana Israel wanamilik 80% ya economy ya marekani.
Tunapozungumzia Deep state ambao ni mhimiri wa dunia katika uchumi na siasa including Black Rock & Vangard group owners hao n Jewish people.
Tunapozungumzia Taasisi kubwa za security duniani kama CIA etc wamejaa Jewish people wanaocontrol all over the world 🌎.
Wao huamua nani wamuweke madarakani kwa terms zao nani awe tajiri duniani kwa terms zao.
Ntakupa mfano wa eneo la uchumi tu, jiulize nchi zote duniani zinakopa pesa, ukiwa na akilii ya jografia latano B utajibu haraka wanakopa World Bank na IMF, lakini ukijiuliza nyuma ya pazia nani kaweka pesa word bank ukiwa na elimu ya urai dara la 4 B utasema nchi wanachama, lakini jiulize wote wamekopa, mean kuna mtu anaakiba humo hao ni Jewish people.
Wao huamua uchumi wa kila taifa na huburuta kwa wanavyotaka, wakiamua pesa yako wipe thamani au kuishusha hufanya hivyo, hata hao matajiri unaowaona wakubwa duniani wengi wamwekwa kama show off lakini nyuma ya pazia kuna mengi huwez kuyajua.
Report ya economy ya mwaka 2023 hawa jamaa wametengeneza zaidi ya 80% ya profit za biashara zote zilizofanyika duniani mwaka huo.
Hiyo China unayoiona inakuwa kwa kasi kwa ukuaji wa viwanda na Biashara more than 45% ya uwekesaji n people front America 🇺🇸 ambao ndio Jewish.
Nakupa hiyo codes ndogo tu.
Hawa Jamaa wanaregulate nani awe top nan awe behind Ukiisoma Black rock na vanguard group Utaoona jamaa ndio wenye hisa kubwa kwenye Vyombo vikubwa vya habari dunian so wanapromote wanachokitaka, ndio wenye hisa kubwa kwenye makampuni ya dawa kama Johnson & Johson, astrazenica, Shellys so corona was a target waue biashara zingine wamek pesa etc
Juu utaona makampuni kama Microsoft, dell, Facebook, Apple, X, Coca cola, google etc but elewa hizi kampuni mbili ndio zinamilik hisa kwenye haya makampuni yote na wako kimya nyuma na hawapigi kelele wakiamua kesho bill gate awe kwenye headline au erone musk wanaamua tu.
Hata matajiri wako unaowaona katika nchi yako wote huchukua bust huko ili wawe nguli katika biashara kwa jina la mkopo but mean while wanawafanyia kazi hao jamaa na kuchukua vipasent kama wachuruzi.