Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Weye mwehu kweli. Dah.
Unajua zamani mtz alikua haongei kiswahili. Akiongea lugha gani? Jee sio mtazania? Akili hizi ndio maana akitokea mchungaji mjanja anakutapeli kirahisi mno
Na safari hii hao ndugu zenu wa gaza wamechakaa na wanaendelea kuchakazwa vibaya sana hivyo watachakaa kwelikweli .Mkiristo akifa ktk ukiristo wake ni sawa na mwanafunzi aliekamatwa na bomu chumba cha mtihani. Mtihani hata hahusahihishi
Hivi hata kama sisi ni mazuzu lakini usitudanganye kiasi hiki ww tangu lini adam akawa muislam na alikua anasali swala tano maana neno islam ni la kiarabu sasa adam alikua anaongea kiarabu na shaaada alitoa kiaje[emoji3060][emoji3060]Kuna upuuzi mwingine ukiusikia unachoka harafu unakuta jitu limekomaaa kutetea uongo wa wazi wazi.kuna maswali zaidi ya mia nikikuuliza hutanijibu utaleta uongo tu.
Umeandika kama umelewa au umekalia kitu.Na safari hii hao ndugu zenu wa gaza wamechakaa na wanaendelea kuchakazwa vibaya sana hivyo watachakaa kwelikweli .
Tanzania zamani palikua na nani? Nyinyi historia mnazomeshwa kanisani zinakupotezeni. Miaka 1901 wanaoishi ardhi ya Tanzania wakizungumza lugha gani?Zamani hapakuwa na Mtanzania. Alafu unasema una Phd😂😂
Nimekuambia kiherehere chako leo unaaibika.
Hiyo Phd labda ya kiherehere
Hawa watu wamedanganywa sana...Ukiwauliza tu kipindi Mohamad anazaliwa ni sehem ipi alikuta waislam ?hawana jibu!! baba yake na mama yake Mohamad walikua wapagani sasa hao waislam walikua pande ipi ya dunia wakati wa mtume.Ili mtu aitwe muislamu anatakiwa aweje na afanye nini?
Swali hili ndio litatoa uelekeo wa kile usemavyo ni kweli iau sio kweli
Hata wewe ungeshirikiana na magaidi ya kizayuni ungeliwa kichwa yaani tena mapema sanaaaaaaaaUliiona clip ya Joshua alivyouwawa kikatili na magaidi?
Umelewa wewe. Soma dini ujue. Usibebe biblia hujui kilichoandikwa ndani yakeHawa watu wamedanganywa sana...Ukiwauliza tu kipindi Mohamad anazaliwa ni sehem ipi alikuta waislam ?hawana jibu!! baba yake na mama yake Mohamad walikua wapagani sasa hao waislam walikua pande ipi ya dunia wakati wa mtume.
Mwambie tena moto wa chini kabisa karibu karibu na iblis na firauniMuislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Tanzania zamani palikua na nani? Nyinyi historia mnazomeshwa kanisani zinakupotezeni
Kwa hiyo ili niwe salama ni lazima niwe muislam?Hata wewe ungeshirikiana na magaidi ya kizayuni ungeliwa kichwa yaani tena mapema sanaaaaaaaa
Muulize kwanza maelekezo ya papa kayafuata au anataka aje abebwe juu juu akayatimize [emoji3]Uislam sio muarabu sio mzungu sio muafrika. Uislam ni dini ya kila mtu. Ukiristo ni dini ilietwa kuwapoteza watu
Kwa hivyo moshi wakiishi mbwa? Dah. Nyinyi bana.Unaniuliza mimi tena😂😂
Phd ya mchongo hiyo.
Kwa kukusaidia tuu Tanzania haijawahi kupata Uhuru. Na wala kabla ya 1961 haikuwepo.
Hawa watu wamedanganywa sana...Ukiwauliza tu kipindi Mohamad anazaliwa ni sehem ipi alikuta waislam ?hawana jibu!! baba yake na mama yake Mohamad walikua wapagani sasa hao waislam walikua pande ipi ya dunia wakati wa mtume.
Sio mbaya maana huko tutakua na baba yake Muddy na mama yake maana wamekufa wakiwa makafiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Innallillah wainnah raajiun. Kama ulikua muislam ukaingia ktk ukafiri ndio wakuonewa huruma zaidi. Maana weewe utakuwa chini ya chini ya moto
Jiangalie wewe usimuangalie mwenzioSio mbaya maana huko tutakua na baba yake Muddy na mama yake maana wamekufa wakiwa makafiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hivyo moshi wakiishi mbwa? Dah. Nyinyi bana.
“Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yaletuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-haaq na Yaaquub na wajukuu zake, na waliyopewa Muusa na Yesu, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.” Qur-aan 2:136Mimi nimemwambia na kumpa ruhusa atumie kitabu chochote atakacho hata cha hadithi yake mwenyewe kama anavyo. Kinachoonyesha Manabii ( iwe wa kweli au uongo) walikuwa waislamu kabla ya Muhammad.
Naona analeta aibu tuu. Alafu anadai ni Phd na hajui kuwa Phd haiwezi kuzungumza bila rejea. Aibu kabisa
“Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yaletuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-haaq na Yaaquub na wajukuu zake, na waliyopewa Muusa na Yesu, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.” Qur-aan 2:136