Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Wanaonea raia tu Hamas iko makini wanaendelea kuua mazayni ya kiyahudi na huu ndio mwisho wa taifa la mchongo Israel
 
Haya wape watu na historia ya mji wapwani wa daaaru ssalaaam
Waislam walikua na wataendelea kua watu bora na wema sana hapa ulimwenguni kuliko mnavyowasambazia maovu
 
Kwa hiyo akifuata ya Allan lakini asipofuata ya Muhammad anakuwa sio muislamu?
Huwezi kumtenganisha Allah s.w na Mtume wake Muhammad S.a.w
Sababu maamrisho ya Allah yamefikishwa na Muhammad sasa unamfataje Allah bila kumfata Muhammad na kinyume chake
 
Huwezi kumtenganisha Allah s.w na Mtume wake Muhammad S.a.w
Sababu maamrisho ya Allah yamefikishwa na Muhammad sasa unamfataje Allah bila kumfata Muhammad na kinyume chake

Unaweza kuwatenganisha kwa sababu ni wahusika wawili tofauti.
Mmoja ni mwanadamu ndiye Muhammad, alafu wa pili ni mungu wa wakurdi aitwaye Allah.

Mueleweshe mwenzako asitie aibu hapa.
Yeye anayesema Adamu alikuwa muislamu kama mtu asiyejua uislamu ni nini
 
Sssa hata wewe unatakiwa upigwe mssss ili ujue haya majambo kiundani kabisaaaa

Hayo mambo ninayajua kuliko wengi wenu humu mnavyorukia rukia mambo kishabiki.

Kitendo cha mtu kusema Manabii wa kabla ya Muhammad walikuwa waislamu kinadhihirisha msemaji bado anaelimu ndogo kuhusu dini na miungu
 
Nilikujibu kwamba Allah kamleta Muhammad kuelekeza alo ya amrisha na kuyakataza
Yupo sahihi kabisa adam na manabii wengine walikua waislamu
 
Hayo mambo ninayajua kuliko wengi wenu humu mnavyorukia rukia mambo kishabiki.

Kitendo cha mtu kusema Manabii wa kabla ya Muhammad walikuwa waislamu kinadhihirisha msemaji bado anaelimu ndogo kuhusu dini na miungu
Wewe unaesema manabii wa kabla ya Muhammad hawakua waislam kwa kigezo gani?
 
Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Kwa akili hizi mtaendelea kupiga mazoezi ya kivita Maporini Mtwara na mtauwawa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…