Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Kwa akili zako hayo masaa sita yanatosha kuhama!??
Pia kwa uelewa wako unadhani Israel haijui kambi za Hizbollah zilipo!??
Wanafahamu zipo mbali na raia wa Lebanon,ila jiulize kwanini wanashambulia raia wa kawaida??
Kwan unahamisha vitu ondoka ww kama ww. Acha wapate haki zao
 
Kwa akili zako Israel hajui kambi za Hizbollah zilipo!??
Kutoka katika hayo maeneo kambi za Hizbollah zipo umbali wa 50 kilometres+ kutoka hapo.
Nakuuliza wewe swali.
Adui yupo umbali wa zaidi ya kilometa 50 na raia,kwanini ulipue raia wa kawaida!??
 
Vipi umtoe civilian kwenye nyumba yake? Pia Israel anapiga majumba kawahi onyesha hata bunduki kama dalili kakuta kwenye hayo majumba.
Amesema ndipo milipuko ilipotokea. Kama kawaida magaidi yanajificha nyuma ya watoto na wanawake
 
Amesema ndipo milipuko ilipotokea. Kama kawaida magaidi yanajificha nyuma ya watoto na wanawake
Weeeeh weeeh weeeeh acha upumbavu.
Hizbollah ana kambi rasmi ya jeshi ambako ndipo anapofanyia mashambulizi na kila kitu zipo kilometa hamsini mbali na makazi ya raia.
 
Sio kwamba tusubiri kuona magofu maana ndio kinachofuatia patasambaratishwa
Umepaona Galilaya mkuu!??
Raia wote wa Israel takriban laki tatu wamepakimbia.
Kitendo cha Israel kushambulia raia tarajia na Hizbollah kushambulia raia vile vile.
Uzuri ama ubaya Hizbollah sio Hamas.Ana makombora ya masafa marefu na wao Israel wanalijua hilo.
 
Vipi umtoe civilian kwenye nyumba yake? Pia Israel anapiga majumba kawahi onyesha hata bunduki kama dalili kakuta kwenye hayo majumba.
Ubishi wenu na kiburi kilichokubuhu; Matokeo ndo hayo. Majumba mnayong'ang'ania hamtaki kuondoka mmeficha humo kitu/vitu gani? Si mbebe hivo vitu vyenu muondoke navyo? Au mnaogopa setilaiti itaviona na siri itafichuka?
 
Tunasubiri kilio chenu mkisema wanaonewa wanaua wanawake na watoto kule mlisemaje mwanzoni ila mwisho mkasema nini?
 
Hii vita wacha tuone watajibu vipi.
Ila nahisi majibu yatakua ya kiwango kikubwa zaidi ya jana.
Mimi kinacho ni kera mdogo wangu hapa Hezbullah ana silaha anaweza kuichakaza Israel vibaya sana. A mfu anapigana vita vya adabu na watu wasio na adabu .

Nacho taka nione Israel inawaka moto yote ndio roho yangu itakuwa baridi.
 
Si wafanye!
Jana mbona walifanya!??
😂😂😂Nyie jamaa vipi mbona naona kama tunajadili na walevi humu ndani ikiwemo wewe!??
Huu mgogoro wa kulipuana umeanza toka Oktoba 8 2023.
Israel akilipua kesho Hizbollah analipua.
Embu mkija humu muwe mna taarifa ya mada husika msituropokee.
 
Mimi kinacho ni kera mdogo wangu hapa Hezbullah ana silaha anaweza kuichakaza Israel vibaya sana. A mfu anapigana vita vya adabu na watu wasio na adabu .

Nacho taka nione Israel inawaka moto yote ndio roho yangu itakuwa baridi.
Daaah kaka hilo jambo linaweza kutokea ila sio kirahisi hivyo.
Si umeona rais mpya aliyekuja Iran anasuasua kwenye ku sponsor mapigano??
 
Namsikia Wazir mkuu wa Lebanon hapa akilia Lia kuomba UN waitishe kikao Cha dharura kuitaka Israel iache kutembeza moto Lebanon sasa unajiuliza Ina maana hii serikali ya Lebanon ilikuwa haijui ni kitu Gani kitaendelea kwa kuwaruhusu Hizbullah kushambulia Israel?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…