Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Kwani tangazo la raia kuondoka hukuliona? Alafu wakati hao watoto wanakufa baba zao huwa wanakaa wapi muda huo?
haitaji uwe mwaisilamu au mkristu ndio uone unyama na ukatili wanao ufanya Israeli kwa binaadamu wenzao.
Mimi ninacho kipinga hapa ni mauaji ya binaadamu wenzetu wasio na hatia bila kujali ni waislamu au wakristu ilimradi ni binaadamu wasio na hatia hawakustahili kifo.
Wameuwa watu 500 kwa mpigo watoto kwa wakubwa jana tu!!!!
 
Huoni wenzako wanavokomaa humu kusema Israel inauwa wanawake na wototo
Katika vita yeyote unapolenga makazi ya raia wanaoathirika kwa kiasi kikubwa ni wanawake na watoto.
Hilo mkuu halipingiki.
Wanaume ni wepesi kujizatiti na kujihami dhidi ya shambulio ila wanawake na watoto inakua ni mtihani.
Ndio maana hata UN ikitokea vita hata vya Ukraine na Urusi walisema directly "innocent women and children will suffer".
 
Katika vita yeyote unapolenga makazi ya raia wanaoathirika kwa kiasi kikubwa ni wanawake na watoto.
Hilo mkuu halipingiki.
Wanaume ni wepesi kujizatiti na kujihami dhidi ya shambulio ila wanawake na watoto inakua ni mtihani.
Ndio maana hata UN ikitokea vita hata vya Ukraine na Urusi walisema directly "innocent women and children will suffer".
Na ukumbuke hakuna vita yoyote iliyowahi kupiganwa bila raia wa kawaida kuuwawa, sasa kwa eneo dogo kama Gaza lenye wakaazi zaidi ya million 2 ni jambo la kawaida kuona raia wengi pia wakifa, tunachotakiwa ni kuomba vita viishe na sio kulalamika kuwa "wanawake na watoto wanakufa"
 
Masaa sita ni machache,ikiwa unamwambia mtu ahame na una lengo nae zuri utampa hata siku moja siyo masaa maana wengine ni ndugu wanaishi sehemu tofauti tofauti labda wanasubiriana wahame kukaa sehemu moja huko uhamishoni?

Sizijui vita but it ain't fair Mzayuni anachofanya hakifai na bahati mbaya sana hakuna wa kumsimamisha alianzia Gaza kule mbio mbio kauwa uwa wee kaona kimya hakuna wa kumzuia kaona sasa ahame zone akaendelee kuuwa.
1. Masaa sita ni mengi mno kwa mtu aliyedhamiria kuyaokoa maisha yake. Hata kwa miguu atabeba kinachowezekana na ataondoka na familia yake.
2. Kwa kukosa USIKIVU hata hiyo siku moja isinge tosha. Hebu ona: Tangazo lilitoa masaa sita halafu wao wanaanza habari ya kusubiriana ndugu! Hata kule Gaza walipewa 24hrs(Siku nzima) na kufundishwa mahali eneo salama la kukimbilia lakini bado wakashupalia ubishi hadi wakanswa katika mapigano. Hawakuzingatia maelekezo.
3. Iko wazi; Hakuna mtu mwenye akili timamu atakayejiingiza hapo eti kutaka kumsimamisha Myahudi kwani waarabu wameyataka wenyewe. Tujiulize; Hezbollah kilimhusu vipi hiyo Oktoba 7 naye akaanza kurusha makombora kwa Israeli? Ni kama kumsogelea simba aliyejeruhiwa. Kundi la kigaidi la Hezbollah wanadanganywa na Iran kwa kupewa na kupokea misaada ya kijeshi ya hali na mali na kujisahau kwamba wapo ndani ya nchi ya Lebanon yenye viongozi na jeshi rasmi halali vinavyotambulika kimataifa. Yeye Hezbollah haoni kitendo hiko ni uhuni na ubabe ndani ya nchi huru? Ndo mana hatujamsikia kiongozi yeyote wa Jamhuri ya Lebanon akisema lolote.
 
Vatican ipo nchi gani!??
Vatican ni semi-autonomy ndani ya Italia.
Tusiendekeze USHABIKI bro tuongee uhalisia.
Hizbollah tu unapapatuana nao uje ukiamshe na Italy!??
Mkuu; mbona nimeomba tuachane na hilo? Tuzungumzie Hezbollah vs Israeli ambao ndo timu mbili zilizo uwanjani. Samahani kama kuna usumbufu uliojitokeza hapo.
 
Hizbullah walisema israel watachagua vita au amani,vita vinavyofuata sheria au visivyofuata sheria, israel wameamua kufuata vita visivyofuata sheria
Israel wanafanya Vita inayofuata Sheria. Jana kila mkazi wa southern Lebanon alipata sms iliyomtaka ahame. Wajiulize wajuba wa Israel walijuaje namba zao.
Lakini pia Kati ya Israel na Lebanon Nani alimuanza mwenzake. Kwa Sasa Nani analialia.
Mwana kukitafuta, mwana kuliget.
Na kwa walio Hama ndio umetoka hiyo. Haitabakia nyumba au Banda la kuku. Yaani wameanza maisha ya ukimbizi na utegemezi kwa Jambo ambalo wangekaa mezani na kulimaliza.
 
Israel wanafanya Vita inayofuata Sheria. Jana kila mkazi wa southern Lebanon alipata sms iliyomtaka ahame. Wajiulize wajuba wa Israel walijuaje namba zao.
Lakini pia Kati ya Israel na Lebanon Nani alimuanza mwenzake. Kwa Sasa Nani analialia.
Mwana kukitafuta, mwana kuliget.
Na kwa walio Hama ndio umetoka hiyo. Haitabakia nyumba au Banda la kuku. Yaani wameanza maisha ya ukimbizi na utegemezi kwa Jambo ambalo wangekaa mezani na kulimaliza.
Hao jamaa cjui wanatumiaje akili zao. Kwani ilikuwa ni lazima Hezbollah naye aanzishe mashambulizi Oktoba 7? Eti anamuunga mkono mhuni gaidi mwenzake. Angejiongeza akasubiria aone upepo unaendaje. Sasa kilichompata HAMAS naye anakipatapata live bila chenga.. Asilielie hapa kwani ni sahihi ulivosema: "Mwana kukitafuta, mwana kuliget".
 
haitaji uwe mwaisilamu au mkristu ndio uone unyama na ukatili wanao ufanya Israeli kwa binaadamu wenzao.
Mimi ninacho kipinga hapa ni mauaji ya binaadamu wenzetu wasio na hatia bila kujali ni waislamu au wakristu ilimradi ni binaadamu wasio na hatia hawakustahili kifo.
Wameuwa watu 500 kwa mpigo watoto kwa wakubwa jana tu!!!!
Yeah. Ndo maana siku zote watu huomba iwepo Amani na huchukua kila juhudi inayowezekana kuchukuliwa ili kuepusha vita kutokea.
Lakini pia usisahau haihitaji uwe muislamu au mkristo ndio uone unyama na ukatili wanaoufanya Hezbollah kwa binadamu wenzao. Au sio.
 
Israel wanafanya Vita inayofuata Sheria. Jana kila mkazi wa southern Lebanon alipata sms iliyomtaka ahame. Wajiulize wajuba wa Israel walijuaje namba zao.
Lakini pia Kati ya Israel na Lebanon Nani alimuanza mwenzake. Kwa Sasa Nani analialia.
Mwana kukitafuta, mwana kuliget.
Na kwa walio Hama ndio umetoka hiyo. Haitabakia nyumba au Banda la kuku. Yaani wameanza maisha ya ukimbizi na utegemezi kwa Jambo ambalo wangekaa mezani na kulimaliza.
Israel kutuma ujumbe kwa Lebanon za sms ni kitu rahisi kwasababu mwenye satellite kubwa ukanda huo ni Israel.
Hivyo ni rahisi kwake kudukua mawasiliano,usitake kukuza mambo.
Nani kakwambia Hizbollah analialia!?
Na nani kakwambia ndio imetoka hiyo waliohama hawatarudi!?
Kitu usichokifahamu Hizbollah kuanzia usiku wa manane wa kuamkia leo amekua akirusha rockets kuelekea Israel pasi na kupumzika hadi kumekucha.
Sasa jiulize huko nako Israel kutakua na hali gani!?
USA leo imetangaza kupeleka kikosi cha jeshi ukanda wa mashariki ya kati.
Jiulize kwanini wamepeleka kikosi!?
Hao ni hizbollah sio Hamas hao.
Na naibu kiongozi wao alitangaza jana ya kuwa Hizbollah sasa itapigana vita kamili pasi na kurudi nyuma.
Muulize Israel 2006 alifanywa nini na Hizbollah.
Hao sio Hamas na Lebanon sio Gaza.
 

Yeah. Lebanon sio Hezbollah. Kumbuka wananchi wa Lebanon sio wote wanaipenda Hezbollah kwani Hezbollah wapo kidini zaidi kuliko kisiasa japokuwa Hezbollah wenyewe wanadai kwamba wanapigania haki bila kujua na kukubali kwamba nchi ya Lebanon bado haijawa kihalali ni milki yao. Lebanon kwa muda mrefu haijawa na Rais wake ila inaongozwa tu na Waziri mkuu Najib Mikat. Hapo ujiulize ni kwa nini hakujawezekana kufanyika uchaguzi ndani ya nchi huru na ya kidemokrasia?? Hezbollah anayo majibu.
 
Masaa sita ni machache,ikiwa unamwambia mtu ahame na una lengo nae zuri utampa hata siku moja siyo masaa maana wengine ni ndugu wanaishi sehemu tofauti tofauti labda wanasubiriana wahame kukaa sehemu moja huko uhamishoni?

Sizijui vita but it ain't fair Mzayuni anachofanya hakifai na bahati mbaya sana hakuna wa kumsimamisha alianzia Gaza kule mbio mbio kauwa uwa wee kaona kimya hakuna wa kumzuia kaona sasa ahame zone akaendelee kuuwa.
Adui akihama. Hiyo n vita hata lisaa linakutosha
 
Masaa sita ni machache,ikiwa unamwambia mtu ahame na una lengo nae zuri utampa hata siku moja siyo masaa maana wengine ni ndugu wanaishi sehemu tofauti tofauti labda wanasubiriana wahame kukaa sehemu moja huko uhamishoni?

Sizijui vita but it ain't fair Mzayuni anachofanya hakifai na bahati mbaya sana hakuna wa kumsimamisha alianzia Gaza kule mbio mbio kauwa uwa wee kaona kimya hakuna wa kumzuia kaona sasa ahame zone akaendelee kuuwa.
Na kwann walimchokoza. Je kwake hawakuuliwa watu wasio na hatia..? Leo huruma ya nn na kabla ya why hamkuwahurumia israel
 
Na kwann walimchokoza. Je kwake hawakuuliwa watu wasio na hatia..? Leo huruma ya nn na kabla ya why hamkuwahurumia israel
Yes! Wakiulizwa swali hilo hawatoi jawabu straight bali watakurudisha kwenye mambo yaliyopita enzi hizo na madai au makubaliano ambayo hayakutekelezwa au yalikiukwa na blaablaa nyingi. Ni wababaishaji wa kiwango cha kimataifa na hukwepa maswali ya msingi, huvuruga agenda au hoja muhimu kwa kuzusha mambo yaliyo nje ya Hoja yan tuseme tu ukweli kwamba Hao jamaa ni vurugu tupu utadhani wote wanavuta bangi au kubwia unga.
 
Sawa jiandae mkuu, maana hapo Tel Aviv wanajinasibu kama Paradise ya Gays, wakiwa malizia Waarabu you are next, andaa wajukuu zako Kina Anti Babuu, Anti wesaki na Anti Kilauwo. Sasa hivi hatushei mipaka lakini unwagaji damu wanaousabababisha Africa ni mkubwa, imagine sasa wakishea na wewe mipaka.
Hilo unalijua wewe.
 
Back
Top Bottom