Halafu kingine, Israel hufuata watu hata kwa mataifa ya mbali, yaani kuna NAZI remnant walifuatwa hadi Argentina.Ninavyowakubaligi mitu ya Israel wote wanajitolea sans kwa ajili ya Taifa lao. Na hawanaga kuremba wala kukata tamaa. Na hapo ndio kwanza kazi inaanza. Ndio maana waziri mkuu katangaza ni vita vya muda mrefu. Hapo hizo za kutangazwa baadae zitaachwa,atakuwa anadokolewa mmoja mmoja kokote aliko. Na wote waliopanga mipango hii ovu na nyumba iliyopangiwa mipango na mtu alieanza anza hii mipango wote hesabuni hasara kwenu
Nisikilize vizuri mkuuHivi ni vita mzee, reality not a movie, kule kwenye muvi ndio huwa tunaona magaidi yakishambulia na kujificha ndani ya raia wa kawaida, halafu makomando wanaingia kiaina na kuwaua humo humo bila raia yeyote kuathirika, ila hapa sasa hao magaidi kuwachomoa ndani ya raia sio rahisi kihivyo, unalazimika kupiga carpet bombing.
Kwako wewe ni rahisi kuongea ongea na kuandika kwenye mitandao maana upo sehemu yenye amani, hakuna anayeshambulia familia yako, ila ikujie mtu ashambulie watoto wako kisha aende akajifiche kwenye raia.
HakikaUsiingie mtego wa MK254 kushabikia vita.
Mimi na ugalatia wangu sijapenda kabisa yanayoendelea pale Gaza, Ukraine, Sudan, DRC, Libya, Syria etc
Vita ni upumbavu na wehu
Pole sana kwa machungu na mateso makali wanayopitia ndugu zako wa Palestina na hasa kina mama,wazee na watotoKawaida hiyo.
Myahudi kishachezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.
Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii. japo kidogo lakini wamekichukuwa tena.
Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
Atakubali kuchukua na wajukuu wa pisi kali aishi nao kweli [emoji3]MK254 chukua hili Pisi Kali mtaendana nalo sawa kwa utumwa wenu wa chuki za kidini [emoji851]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Our fellow black men have been murdered decades and decades They never protestMuisrael au mpalestina wakiuana hakunipunguzii wala kuniongezea kula yangu huku Tabata.
Kuna watu wanajikuta na wao wayahudi au wapelistina jinsi wanavyoshangilia yanayotekea huko, kipindi hicho si mu Israel wala Mpalestina anaejua kama kuna Kenya au Tanzania.
Yupo kwa denial so ni lazima awe anarudia rudia tukio liliotokea siku 4 nyuma.Ukimwambia aongelee yanayoendelea sasa hivi utakuwa unamtesa sana.mnafurahia kupiga ngumi moja huku mnapigwa ngumi 20 , hiyo ni dalili ya ukilaza , raha ngumi uzipige muda wote sio kupigwa muda wote uku unashangilia ngumi uliyopiga jana
Kwani hii forum ni kwa ajili ya Watanzania peke yao?Wewe Mkenya hivi kwenu hakuna majukwaa ya porojo zenu za kujitekenya na kucheka wenyewe?
Wao wafia dini huwa hawajitambuimnafurahia kupiga ngumi moja huku mnapigwa ngumi 20 , hiyo ni dalili ya ukilaza , raha ngumi uzipige muda wote sio kupigwa muda wote uku unashangilia ngumi uliyopiga jana
Mpaka wasemebado hujasema [emoji23][emoji23]
Huenda hawa ni wanyama ila macho yetu tu ndiyo yanawaona ni binadamu kama kweli wanafanya haya.Hamas wanaua watu vibaya sana, wanapasua mimba za wajawazito, kuna mtu Jana wamempasua kifua na kuutoa moyo wake wakaanza kuula, wanafanya mambo beyond ya unyama wa kutisha.
Aisee!Huyu kazi yake ilikua kupanga mipango yote ya matumizi ya fedha, yaani zipi zitumike kwenye ugaidi upi na wapi. Poleni kwa msiba wenzetu wa huku uswahilini mnaowaita wale ndugu.
Israel bado haijaanza kulipiza kisasi.
=========
PHOTO: GETTY IMAGES
Rear Admiral Daniel Hagari, spokesman for the Israel Defence Forces (IDF), has announced that the Israeli army has killed Jawad Abu Shamala, Hamas' Minister of Economy.
"Tonight [on the night of 9-10 October – ed.], an IDF aircraft killed Jawad Abu Shamala, the Minister of Economy of the Hamas terrorist organisation.
He was in charge of the organisation's finances and allocated funds to finance and manage terrorism inside and outside the Gaza Strip."
Hagari also stated that "one of the senior members of the political bureau of the Hamas terrorist organisation, who served as the head of the organisation's national relations department," had been killed as well.
pravda.com.ua
Na wewe pole zaidi, mabwana zako waPole sana kwa machungu na mateso makali wanayopitia ndugu zako wa Palestina na hasa kina mama,wazee na watoto
Wapi nimesema "kwa ajili ya Watanzania peke yao"?Kwani hii forum ni kwa ajili ya Watanzania peke yao?
At the end Gaza will be a tent cityKaka, mpwa na mjukuu wa kiongozi wa kijeshi wa Hamas wameuwawa na shambulizi la Israel kwenye nyumba yao. Bado waokoaji wanaendelea kutafuta victims wengine.
Waarabu ni wanafikiSolution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
Yesu Kristo alipotamka IMEKWISHA, alimaanisha hata hiyo ruhusa ya kupigana imekwisha.Mungu mwenyewe aliruhusu mataifa mbalimbali yapigane.