Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

mnafurahia kupiga ngumi moja huku mnapigwa ngumi 20 , hiyo ni dalili ya ukilaza , raha ngumi uzipige muda wote sio kupigwa muda wote uku unashangilia ngumi uliyopiga jana
Israel Leo wamedai watu 1200 wakiwemo askari 120 wamefariki,najua wamepunguza idadi,dw Swahili wamesema watu 2100 wameuawa mpaka Sasa kwa ujumla,piga hesabu nani kaliwa..na bado taleban wanakuja,pale patanoga
 
Kawaida hiyo.

Myahudi kishachezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.

Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii. japo kidogo lakini wamekichukuwa tena.

Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
Kama wametokea Lebanon basi hao ni vidume hizbullah,kitu ambacho Israel hataki sikia
 
Hamas wanaua watu vibaya sana, wanapasua mimba za wajawazito, kuna mtu Jana wamempasua kifua na kuutoa moyo wake wakaanza kuula, wanafanya mambo beyond ya unyama wa kutisha.
Mpalestina aliyepigwa risasi ya kichwa huko nyuma Kisha waisrael wakala ubongo wake,hukuwahi kusikia!?
 
Halafu kingine, Israel hufuata watu hata kwa mataifa ya mbali, yaani kuna NAZI remnant walifuatwa hadi Argentina.
Myahudi hulipiza kisasi hata kama itachukua miaka 50, huwa mwendo wa kuiwanda tu.
Mfano wako ni huyo wa Argentina tu,hakuna mwingine?.. Argentina palikua na kundi kubwa la maofisa wa juu wa SS, Israel walipata mmoja tu?
 
Ninavyowakubaligi mitu ya Israel wote wanajitolea sans kwa ajili ya Taifa lao. Na hawanaga kuremba wala kukata tamaa. Na hapo ndio kwanza kazi inaanza. Ndio maana waziri mkuu katangaza ni vita vya muda mrefu. Hapo hizo za kutangazwa baadae zitaachwa,atakuwa anadokolewa mmoja mmoja kokote aliko. Na wote waliopanga mipango hii ovu na nyumba iliyopangiwa mipango na mtu alieanza anza hii mipango wote hesabuni hasara kwenu
Muda huu nimeiona Gaza ni magofu matupu ni kipigo kinaendelea kweli Hammas wamejikosea wamethubutu kumgusa Simba tako

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
kauli hz ilibid mziseme siku yq jmos , hamas alipovamia Israel na kuuq raia wema waliokuwa kwenye starehe zao , ila hapa mnajifanya wanafiki tu baada ya kuona upepo mbaya

Yani mimi nitoe kauli kisa miyahudi na miarabu inauana? I careless about dini zao ila siwezi kushangilia mauaji ya mtu yeyote yule. Nyie wamatumbi mnashobokoa kuona mabwana zenu wanauana huku mko kimya waafrica wenzenu wakipatwa na majanga, mtakuja kuolewa. Hiyo miyahudi/miarabu imewahi kuwapa hata pole nyie?
 
Israel Leo wamedai watu 1200 wakiwemo askari 120 wamefariki,najua wamepunguza idadi,dw Swahili wamesema watu 2100 wameuawa mpaka Sasa kwa ujumla,piga hesabu nani kaliwa..na bado taleban wanakuja,pale patanoga
Anapita wapi mipaka yote jamaa ameshaikamata huku manuari za USA zimesogea karibu ili taifa lolote likitia pua wanaliwa kichwa

Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
 
Mfano wako ni huyo wa Argentina tu,hakuna mwingine?.. Argentina palikua na kundi kubwa la maofisa wa juu wa SS, Israel walipata mmoja tu?

Duh utakua dogo sana huyajui, Israeli husaka na kuua hadi ndani ya Iran kwenyewe kabisa mle mle, yaani wale jamaa waogope, ukimwaga damu yao kaa ukijua utafuatwa popote duniani, utaishi maisha ya woga woga kama digidigi, jamaa hugharamikia na kutumia hela nyingi sana kusaka waliomwaga damu yao, hata ukistaafu hadi uzeeni huko kijijini ujifanye unachoma mkaa, watakuja kukamilisha walichokianzisha.
 
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
utashangaa hata waarabu hawawataki maana wafilisti kwa asili si waarabu. Pengine ndiyo sababu iran inawapa makombora tu na si chakula ili wakirusha israeli, israeli iwateketeze.
 
Kawaida hiyo.

Myahudi kishachezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.

Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii. japo kidogo lakini wamekichukuwa tena.

Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
Eti hii akili ndio isaidia watu wa Gaza, na ipambanie maendeleo kwa kutoa mawazo ya kujenga hapa Tanzania.

Ushindi wa kuua vijana waliokuwa kwenye music festival et, hauna huruma na watu Gaza wewe ni gaidi endelea kufurahia ushindi wenu.

Wengine nao ndo bado wanaelekea kuonja mapaja ya wanawake wa Gaza na mabinti ili nao waje wafurahie ushindi wao.

Kwa sisi ambao tunaumia kuona ndugu zetu Palestina wanavyoteswa na makundi ya kigaidi yenye maslahi na Iran tunalia sana.
 
Eti hii akili ndio isaidia watu wa Gaza, na ipambanie maendeleo kwa kutoa mawazo ya kujenga hapa Tanzania.

Ushindi wa kuua vijana waliokuwa kwenye music festival et, hauna huruma na watu Gaza wewe ni gaidi endelea kufurahia ushindi wenu.

Wengine nao ndo bado wanaelekea kuonja mapaja ya wanawake wa Gaza na mabinti ili nao waje wafurahie ushindi wao.

Kwa sisi ambao tunaumia kuona ndugu zetu Palestina wanavyoteswa na makundi ya kigaidi yenye maslahi na Iran tunalia sana.
Wapalestina wauliwe kila siku, wao wapige mziki na kushangilia?

Jino kwa jino.

Wayahudi wengine wanasema wamejitakia wenyewe.
 
Hiki kimbembe ndiyo kimeanza, hakiishi hiki mpaka wayahudi warudishe ardhi ya Palestina.

Watatia akili tu.

Iran, Uturuki, Urusi, Yemen, Afghanistan, Pakistan washasema wanatafuta mbinu za kufikisha mujahideen wanaojitoIea kupambana na wayahudi na vibaraka wao.
 
Hivi ni vita mzee, reality not a movie, kule kwenye muvi ndio huwa tunaona magaidi yakishambulia na kujificha ndani ya raia wa kawaida, halafu makomando wanaingia kiaina na kuwaua humo humo bila raia yeyote kuathirika, ila hapa sasa hao magaidi kuwachomoa ndani ya raia sio rahisi kihivyo, unalazimika kupiga carpet bombing.

Kwako wewe ni rahisi kuongea ongea na kuandika kwenye mitandao maana upo sehemu yenye amani, hakuna anayeshambulia familia yako, ila ikujie mtu ashambulie watoto wako kisha aende akajifiche kwenye raia.
Raia ambaye atakubali kukaa karibu na au kuambatana na magaidi na yeye ni sehemu ya ugaidi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wa-Tz tukumbuke haya yanayotokea Gaza ni marejeo ya madhambi ya utawala wa makaburu huko Afr. Kusini. Nchi za Magharibi ziliunga mkono ubaguzi na ukandamizaji wa Weusi kama wanavyounga mkono Israel sasa hivi katika ukatili wao kwa Wa-Palestina.
Ukweli ni kuwa mzungu anamchukia Mwafrika kuliko hata Muisrel anavyo mchukia ndugu yake (rejea Abraham/Ibrahim) Mpalestina.
Sichukii Waisrael, lakini Wa-Palestina Wana HAKI ya kuwa na TAIFA lao HURU.
Ebu jikumbushe George Flloyd alivyouwawa na Wazungu kule Marekani.
Unajua vile waarabu waliwahasi Waafrika wakati wa utumwa? unajua nchi za Afrika ambazo zimekataza raia wao kwenye kufanya kazi uarabuni kutokana na ubaguzi, mateso na hata mauaji?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kawaida hiyo.

Myahudi kishachezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.

Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii. japo kidogo lakini wamekichukuwa tena.

Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
Nyie Waislamu huwa wajinga sana, yaani kwa akili zako ndogo unadhani Palestina itashinda?
Jiandae kulia kilio kisicho na mwisho
 
Kawaida hiyo.

Myahudi kishachezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.

Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii. japo kidogo lakini wamekichukuwa tena.

Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
Unashangilia vifo vya wenzenu ngoja itokee na huku kwenu chimba unye kama utashangilia!
 
Back
Top Bottom