Israel yafungia Matangazo ya Al Jazeera kwa madai ya kutishia usalama wa nchi

Israel yafungia Matangazo ya Al Jazeera kwa madai ya kutishia usalama wa nchi

Wewe mjinga wa kiwango cha mwisho huko ndani ya Israel wamepinga hili nikuulize wewe mlokole ulitaka watoe habari gani za Israel?
Tuliza msambwanda, hawa habari zao siku zote ni kipaza sauti chacWapalestina. Waende wakapige domo sehemu nyingine.
 
K

Wa israel sio swala la usalama isipokuwa hicho kituo ndicho pekee knachoonesha kinachoendelea ndani ya Israel Kwa kina CNN na BBC wanafichaficha ,matokeo yake ulimwengu umepata kuifahamu Israel vizuri na uovu wake nakusababisha chuki Kwa wayahudi
Tatizo wanaweka uongo zaidi ya ukweli ndio kosa lao tatizo la Uislam sio dhambi kumdanganya asie Muislm... Fuatilia news zao kwa miaka mingi mno wao agenda yao ni kuiponda tu Israel Ujinga huu waliufanya Misri Kuna muandishi alikula miaka mingi bila kushitakiwa.. so ilichofanya Israel ni sawa na imechelewa sana.

Mwisho nimalizie Aljazeera ni Mashetani
 
Aljazeera ni kweli wanaonyesha kile kinachoendelea huko gaza. 24 hrs habari kuu ndio hiyo.
Maandamano kwenye vyuo vikuu marekani, wanawaandishi kote. Yaani wameshikilia bango balaa
 
Tatizo wanaweka uongo zaidi ya ukweli ndio kosa lao tatizo la Uislam sio dhambi kumdanganya asie Muislm... Fuatilia news zao kwa miaka mingi mno wao agenda yao ni kuiponda tu Israel Ujinga huu waliufanya Misri Kuna muandishi alikula miaka mingi bila kushitakiwa.. so ilichofanya Israel ni sawa na imechelewa sana.

Mwisho nimalizie Aljazeera ni Mashetani
Wewe unakimbia ukweli sababu ya ulokole wako, wao wanonesha kinachoendelea lile shirika aliendishwi kiislamu Mimi ni mkristo kwenye ukweli usemwe tuache mahaba ya kilokole, linawatangazaji wadini zote rangi zote
 
Hicho kituo huendeshwa na mihemko na chuki za kidini, tupa kule brazaj poleni.
 
Aisee, mlokole mweusi ni nyani
kwa hiyo hako kaanchi ka watu hata hawifiki milioni 10, kakijifungia kutuoona al jazeera , itasaidia nini ?
Wakati hata atakaye tumia vpn hukohuko israel ataona,
Yaani mnashangilia kama mmetupiwa ndizi kinyaninyani
 
Walichelewa sana kuifungia na waliivumilia sana, kituo cha ajabu sana kile, kinarusha matangazo yake kwa kupendelea upande mmoja tu bila aibu
 
Hzi Sasa ni siasa...evidence zilizo wazi ni zipi??...umeambiwa leta ushahidi wa watoto kukatwa vichwa na wanawake kubakwa halafu unaleta siasa kwmba ushahidi upo wazi ila watu hawataki kuuona....uhalifu wa kivita wa Israel Kila siku unaoneshwa hadharani...watoto walowaua mpk juzi kwny ile hospitali yalipokutwa makaburi ya halaiki ya maiti zingine zimekutwa na Cannula kabisa na watu wanaonesha wanavyofukuliwa na mfadhili wao Marekani anasema ni picha zinazokera na kusikitisha kiuhalisia....ila wao mazayuni wakiambiwa leta ushahidi wanapiga chenga....Dunia inaenda mbele hairudi nyuma...utadanganya kwa muda ila ukweli itajulikana tu....na watu wqmeshaujua ukweli....wanachokifanya ni kutapatapa kwa mwsho tu
tulia magaidi hamas yatulizwe, uchokozi yaliuanza yenyewe, Mungu ibariki Israel
 
Wewe mjinga wa kiwango cha mwisho huko ndani ya Israel wamepinga hili nikuulize wewe mlokole ulitaka watoe habari gani za Israel?
unamuita mwenzako mlokole mbona we huitwi mswahilina? We sheikh vipi? Hebu tulia hao magaidi wasafishwe dunia ishangae
 
Wewe unakimbia ukweli sababu ya ulokole wako, wao wanonesha kinachoendelea lile shirika aliendishwi kiislamu Mimi ni mkristo kwenye ukweli usemwe tuache mahaba ya kilokole, linawatangazaji wadini zote rangi zote
acha ujinga kuunga mkono magaidi, al jazeera imekuwa ikurusha chuki dhidi ya israel masaa yote. Israel iifungie mazima hadi wajirekebishe
 
Aisee, mlokole mweusi ni nyani
kwa hiyo hako kaanchi ka watu hata hawifiki milioni 10, kakijifungia kutuoona al jazeera , itasaidia nini ?
Wakati hata atakaye tumia vpn hukohuko israel ataona,
Yaani mnashangilia kama mmetupiwa ndizi kinyaninyani
we mswahilina unaona uchungu magaidi maswahilina menzako kusafishwa? Tulia dunia ione ukuu wa israel
 
Na ndiyo maana GENTAMYCINE nampenda sana Premier Nentanyahu kwani hana Unafiki, Mbabe na Anajiamini sana.
Hiyo Aljazeera unayosema inatumika na maadui waratibu wa vipindi ni Americans kina Kimberley Halkett na kina Teresa Bo.
Sijui kama unaelewa unachozungumza!?
Huna exposure katika hili ungeliacha tu litakuaibisha.
 
Hiyo Aljazeera unayosema inatumika na maadui waratibu wa vipindi ni Americans kina Kimberley Halkett na kina Teresa Bo.
Sijui kama unaelewa unachozungumza!?
Huna exposure katika hili ungeliacha tu litakuaibisha.
Kama kawaida. Lawama zote kwa John.
 
Kama kawaida. Lawama zote kwa John.
Bro hiyo ni lawama au uhalisia!?
Embu nenda katizame vipindi vifuatavyo na unambie waratibu kina nani;
1)Aljazeera the stream.
2Talk to Aljazeera.
3)Counting the cost.
Kafuatilie hivyo tu.
Pia katizame washington correspondent ni nani kama sio KIMBERLEY HALKETT.
Kama kawaida yako hauna exposure.
Unadhani mfano wa vifo vilivyofichwa vya corona kipindi cha Trump nani alivifichua na vikatangazwa Aljazeera kama sio Kimberley Halkett!?
We unadhani taarifa zinapatikanaje za pembe za USA na kwingineko kama sio kina Halkett na wenziwe!?
Waarabu wamefungua ofisi waratibu wa shughuli za pale hao hao wazungu.
 
Back
Top Bottom