Israel yafungia Matangazo ya Al Jazeera kwa madai ya kutishia usalama wa nchi

Israel yafungia Matangazo ya Al Jazeera kwa madai ya kutishia usalama wa nchi

Tulishasema aljazeera ni chombo cha kidini full stop
Udini uko wapi?
Alessandro Rampietti naye ni muislam!?
Yani kikitokea chombo kinachoeleza ubaya wa Israel na USA mnakiita cha udini!?
For your ignorance Aljazeera English waratibu wa vipindi wakristo.
 
Siyo chuki na Israel tu wana chuki na yeyote asiye Muislam na asiye mwarabu, wao kila siku ni kukosoa nchi za wazungu, wayahudi, wakristo na wahindu, ila uovu wa tawala za nchi za waarabu na waislam, kimya hawakosoi. Israel ingeweza ingepiga bomu kabisa kituo cha aina hiyo ni adui zao kivita.
 
Hiyo Aljazeera unayosema inatumika na maadui waratibu wa vipindi ni Americans kina Kimberley Halkett na kina Teresa Bo.
Sijui kama unaelewa unachozungumza!?
Huna exposure katika hili ungeliacha tu litakuaibisha.
Huwa nafurahi sana Kukutana na Masikini wa Akili kama Wewe hapa JamiiForums.
 
Siyo chuki na Israel tu wana chuki na yeyote asiye Muislam na asiye mwarabu, wao kila siku ni kukosoa nchi za wazungu, wayahudi, wakristo na wahindu, ila uovu wa tawala za nchi za waarabu na waislam, kimya hawakosoi. Israel ingeweza ingepiga bomu kabisa kituo cha aina hiyo ni adui zao kivita.
Ndiyo maana GENTAMYCINE nimefurahi sana Israel walivyowafungia kwani Aljazeera ni Wanafiki na wanaichukia Israel.
 
Siyo chuki na Israel tu wana chuki na yeyote asiye Muislam na asiye mwarabu, wao kila siku ni kukosoa nchi za wazungu, wayahudi, wakristo na wahindu, ila uovu wa tawala za nchi za waarabu na waislam, kimya hawakosoi. Israel ingeweza ingepiga bomu kabisa kituo cha aina hiyo ni adui zao kivita.
Hiyo aljazeera unayosema wanaoripoti hizo habari ni wakristo wenzenu kina Kimberley halkett.
Pia usisahau ALjazeera imeshinda PEABODY AWARD hii ni tuzo ya kimataifa ya chombo cha habari kufanya historical news coverage na hii tuzo imeanzishwa na Mmarekani George Peabody.
 
Hiyo aljazeera unayosema wanaoripoti hizo habari ni wakristo wenzenu kina Kimberley halkett.
Pia usisahau ALjazeera imeshinda PEABODY AWARD hii ni tuzo ya kimataifa ya chombo cha habari kufanya historical news coverage na hii tuzo imeanzishwa na Mmarekani George Peabody.
Kuna vitu unatakiwa uelewe.. Kila media ina mlengo wake. Na mtangazaji anakwenda na mlengo wa media vinginevyo uache. Ndio maana hapo nyuma akina Kikeke na zuhura walionekana sio wazalendo kumbe ni kukosa uelewa tu kwetu sisi. Kingine sio kila mwenye jina la Kiingereza au Kizungu chochote ni Mkristu.
 
Hiyo Aljazeera unayosema inatumika na maadui waratibu wa vipindi ni Americans kina Kimberley Halkett na kina Teresa Bo.
Sijui kama unaelewa unachozungumza!?
Huna exposure katika hili ungeliacha tu litakuaibisha.
Kuwa mmarekani haimanishi woye wana akiki na mawazo sawa.Amerika kuna waislam swafi,pia kuna misikiti ya mashoga,kuna wakristo safi,pia kuna wakristo mashoga,kuna wanaoamini Mungu,kuna wqpaganai,kuna freemasons,kuna wapigania haki za binadamu,kuna makundi ya mamafia.n.k.
Kiufupi hoja yako ni mufilisi.
 
Kwa kuwa hicho kituo cha luninga kinahatarisha usalama wa Israel kipigwe ban ya kudumu hadi pale kitakapojirekebisha
 
Kuna vitu unatakiwa uelewe.. Kila media ina mlengo wake. Na mtangazaji anakwenda na mlengo wa media vinginevyo uache. Ndio maana hapo nyuma akina Kikeke na zuhura walionekana sio wazalendo kumbe ni kukosa uelewa tu kwetu sisi. Kingine sio kila mwenye jina la Kiingereza au Kizungu chochote ni Mkristu.
Akhsante sana kwa kunisadia Kunielimishia huyo Juha / Masikini wa Akili Mkuu. Mimi nilishamdharau Kitamba sana tu.
 
Kuwa mmarekani haimanishi woye wana akiki na mawazo sawa.Amerika kuna waislam swafi,pia kuna misikiti ya mashoga,kuna wakristo safi,pia kuna wakristo mashoga,kuna wanaoamini Mungu,kuna wqpaganai,kuna freemasons,kuna wapigania haki za binadamu,kuna makundi ya mamafia.n.k.
Kiufupi hoja yako ni mufilisi.
Akhsante sana kwa kunisadia Kunielimishia huyo Juha / Masikini wa Akili Mkuu. Mimi nilishamdharau Kitamba sana tu.
 
Kwa kuwa hicho kituo cha luninga kinahatarisha usalama wa Israel kipigwe ban ya kudumu hadi pale kitakapojirekebisha
Anayewachukia Wayahudi hana Akili na hata kwake Mwenyezi Mungu hatopata Baraka. Long Live Israel na Wayahudi.
 
Back
Top Bottom