Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,140
Hata shambulizi la Iran lilikuwa na ujumbe kwa Israel kwamba hawako salama na wanafikika kwa makombora kutoka Iran.Nadhani bado hujaelewa propaganda za kivita na jeshi kwa ujumla wake....hilo shambulio liwe limefanikiwa au la lakini lina ujumbe mkubwa kwa Iran...... naamini mpaka muda huu watakuaa wanaendesha kikao kizito.....
Syria kashambuliwa kasema wazi ,Iran angesema maana hata plan ya kulipixa hana ...Pigeni live tuone .!
Umehamisha magoliWe mbona una kichwa kigumu sana kuelewa ? Mimi nataka picha za shambulio la leo siyo hizo unazosema wewe.
Nifah baby count on me. As long as am alive nothing will happen to you even a scratch. I will protect you with my soul believe me. Rest assured you are safe and there is someone who is ready to even give up his life for you.Sisi bara la giza haya mambo sio ya kushabikia kabisa kwa maana athari za hizo vita zinatuathiri sisi zaidi tunaotegemea kila kitu kutoka nje.
Hahahaha moderators kama kawaida yao, siku hizi wana attack watu wanaoandika thread za kuishambulia Israel. Baada ya kuona thread niliyoandika inaiacha uchi Israel na wengi wanaonekana kuunga mkono na ku Like nilichoandika. Sasa wamekuja na uamuzi wa kuunganisha uzi wangu kwenye uzi mungine.Syria wametoa repot wameshambuliwa.
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1781209802485719331?s=19
Msiba unanukia Tehran mnamaCCM tena......we jamaa wewee.....msiba unanukia ndani Tel Aviv wewe unaitaja CCM .......😃😃😃😃
Anakatqko kazuri Hilo mvaa dela
Povu linavyokutoka utadhani umeliona hilo shambulio lililofanyika. Tena unaonyesha chuki kabisa utadhani wewe ni Zionist!Yoyote atakaemgusa Israel kilio chake ni kikubwa zaidi ya anavyofikiri, kwa hio Iran ali-test Israel hakopeshi, wavaa kobazi mtoa roho wanamuita Israel jiulize kwanini?
Akili kisodaAnakatqko kazuri Hilo mvaa dela
Makombora mangapi ya Israel yametua ardhini na kuleta uharibifu? Maana mlihoji makombora ya Iran kule Israel. Vipi nyie makombora ya bwana wenu Israel yameharibu nini ndani ya Iran?Yep, tunasubiri Iran ajibu tena kama yeye kweli ni kidume. Technology ya Islael kwa makombola ya kutungua na kujilinda ni kubwa.
Hapa kajaribiwa tu immune system yake.
Mgalatia uchwara wewe. Siwaoni kina Kambaku na 100 others . Yani nyie ni judas na brutus.Mbona sioni chochote jamani hata kavideo hakuna🤣
Punguza kuandika ujingaHahahaha moderators kama kawaida yao, siku hizi wana attack watu wanaoandika thread za kuishambulia Israel. Baada ya kuona thread niliyoandika inaiacha uchi Israel na wengi wanaonekana kuunga mkono na ku Like nilichoandika. Sasa wamekuja na uamuzi wa kuunganisha uzi wangu kwenye uzi mungine.
Jana niliandika mungine wakakimbia kuutupa katika jukwaa la Rwanda forum 😂😂😂
Hii hali ya uonevu na kuchagua thread za kuandika kuna siku itaisha tu. Maana hili shambulio la leo kuna thread kibao tu zimeandikwa na hazikuunganishwa maana zimeandikwa na wanao support Israel, ila ya kwangu ya kuponda kashambulio ka Israel ndo imetafutiwa sehem ya kupachikwa ili kuifichia huko na alieandika asijulinae 😂😂😂.
Hii ndio JF tulionayo sasa hivi.
Ndege za kivita huwa zinarekodi mashambulizi ardhini. Tuwekee video ya hilo shambulizi tuone.Israel hana muda wa kupoteza na vidroni, kapeleka ndege kapiga kutokea Iraq.
Thomaso asee acha kutukera mtu wanguMkuu nisaidie kavideo kidogo ka shambulizi na mimi nijionee.
Unakasauti nyororo mvaa dela bila chupi🥰Akili kisoda
Akili kisoda kichwa panziUnakasauti nyororo mvaa dela bila chupi🥰
Fuatilia conversation zangu acha kuruka ruka kama maharage yanayochemka.Umehamisha magoli
🤣🤣 angalia usije ukaanza kuiomba hiyo picha ikuletee miujiza mkuu hiyo ni Artificial intelligence generated.Mgalatia uchwara wewe. Siwaoni kina Kambaku na 100 others . Yani nyie ni judas na brutus.
God JESUS BLESS and PROTECT ISRAEL
JESUS AND ISRAEL FIRST AND FOREVER
IN JESUS WE MUST TRUST AND WORSHIP
ISRAEL THE LAND JEWS THE PEOPLE
JESUS IS GOD
View attachment 2968062