Score board inasoma ISR 2:IRN 0
kwanini;
1. Israel ndo alienzisha ugomvi kwa kuua maafisa 7 wa Iran WHILE Iran hajaua mtu yeyote iwe kwa bahati mbaya au kwa makusudi zaidi ya kumchubua mtoto wa miaka 9 tu.
2. Iran katika kumjibu Israel alituma drones 300+ bila kuwa na target yoyote ile ya msingi yaani alirusha randomly itayompata na impate(huu ni ujinga wa hali ya juu kwa jeshi kama Iran),walichofanya ni kuonesha wa silaha nyingi kwenye ghala na wanaeza hata kuzichezea au walimisi kurusha kwa masafa? au show off ?au hawana shabaha? Au hawakuwa na uchungu na makanda wao walokufa? Au ndo kutuma meseji(🤣🤣) WHILE Israel katuma drones katika majimbo 7 muhimu yanahusu nyuklia,na angalau 3 katika jimbo Isfahan ambazo zilitunguliwa vizuri,hapa Israel anatuonesha kuwa hana silaha za kuchezea na anajua point za kutarget💪💪
3. Iran alirusha drones zake kutokea nyumbani kwake WHILE Israel kaenda kuzidondoshea kwenye Anga hilo hilo la Iran,maana yake anga lake ni penetrable au makanda walisinzia kudili na rada🤔🤔
4. Iran alitumia wiki 2 kujibu mashambulizi ya vifo vya makamanda wake While Israel katumia less than a week tu(hiyo inaitwa,I WAS BORN READY)
5 Iran ilivyopiga drones zake ikajitangaza kuwa kafanya umwamba sana na akijibiwa ataongeza kubwa zaidi ya hilo WHILE Israel baada ya shambulio lake kasema shambulio lake ni dhaifu sana🤔🤔,hapa watu waanaamini Israel kaonesha udhaifu sana,la hasha,Israel Inatambua ukubwa wa Iran kwahiyo lazima atumie akili kubwa kumjaza mtu upepo ajichanganye,maana alisema bwana Nyau kuwa watalipa kisasi kwa faida yao.
Conclusion;
Vita ikitokea Iran atapoteza kwa sababu ana silaha za uhakika na watu wa kutosha ila hana Akili (strategies),kumbuka Ndani ya miaka 75 Israel amepigana na kushinda sababu ya akili(hana watu wala silaha nyingi) na support kutoka magharibi