Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Acha ufala Iran ina silaha zake alizounda 100% pasi na kusaidiwa.
Hata Khordak mfano ile ni 100% Iranian made.
Mzee mbona matusi tena wakati wewe ni nyani ugomvi wa Irani na Israel haukuhusu huo mpaka unatukana mijitu meusi akili Haina aisee yaani wewe mweusi kama Rami unamtukana mwenzio kiasi vita ya watu weupe ningekuona wa maana ungeenda kuwatetea weusi congo Kwa hayo matusi🀣🀣🀣🀣
 
Mzee mbona matusi tena wakati wewe ni nyani ugomvi haukuhusu huo mpaka unatukana mijitu meusi akili Haina aisee yaani wewe mweusi kama Rami unamtukana mwenzio kiasi vita ya watu weupe 🀣🀣🀣🀣
Fala ni tusi!?
Fala maanaye ni sawa na mtu asiye na maarifa.
Una mihemko sana pole sana,pia hatujuani we una uhakika gani kama mimi mweusi!?
Uliwahi niona!?
Punguza mihemko.
 
M
Fala ni tusi!?
Fala maanaye ni sawa na mtu asiye na maarifa.
Una mihemko sana pole sana,pia hatujuani we una uhakika gani kama mimi mweusi!?
Uliwahi niona!?
Punguza mihemko.
wewe ni nyani mweusi tu hamna ngozi nyeupe inayokaa inatukanana kwenye vita isiyomuhusu yaani unafanya vita kama taarabu za simba na yanga sio🀣🀣🀣🀣
 
M

wewe ni nyani mweusi tu hamna ngozi nyeupe inayokaa inatukanana kwenye vita isiyomuhusu yaani unafanya vita kama taarabu za simba na yanga sio🀣🀣🀣🀣
Unazidi kujidhihirisha ujinga wako.
Pia wewe ndio unatukana kwa kuleta ubaguzi wa rangi,hii jf mkuu watu huzungumza na kuyaacha hapa hapa,punguza mihemko.
Pia mimi hunijui hujai niona.
Naanza pata mashaka na akili yako.
 
Unazidi kujidhihirisha ujinga wako.
Pia wewe ndio unatukana kwa kuleta ubaguzi wa rangi,hii jf mkuu watu huzungumza na kuyaacha hapa hapa,punguza mihemko.
Pia mimi hunijui hujai niona.
Naanza pata mashaka na akili yako.
Wewe ndio mjinga unatukana weusi wenzio kwenye vita ya mtu mweupe Kwa mweupe ungekua na akili hayo matusi ungeyatumia kuwasaidia weusi wenzio congo wanaokufa Kila siku yaani tangia asubuhi unawaongelea Iran na Israel Kwa matusi Kwamweusi mwenzio kweli majitu meusi akili fupi sana
 
Ok lets prey
Almighty God in heaven; let ur people's minds understand that You the creator of heaven and the universe, it is not in ur will that these people are killing each other and make life miserable here down on earth.....God please forbid..........Wote semeni Aamen.
 
Wacha kuimba kwaya wewe Netanyahu mwenyewe ka Kakiri hataki vita na Iran hakuna cha ndege wala Missiles wala drone zimetokea Israel kupiga Iran.

Hizo drones ni za wapinzani wa Iran tena hazikufanya madhara yeyote yale zimetunguliwa kama njiwa πŸ˜„
 
America can't be trusted 100% !
Israel ni kitovu cha kijeshi cha Amerika na NATO kwa ujumla kwa ajili ya kudhibiti na kulinda maslahi yao huko Mashariki ya Kati.
Ndio maana Amerika anatoa mamilioni ya Dola kila mwaka kwenye bajeti ya jeshi la Israel; anafanya hivyo kwa sababu IDF ni sawa na Jeshi usu la USA kwa ajili ya kudhibiti mataifa ya Waarabu na Waajemi (Iran)
USA HAIWEZI KUITELEKEZA ISRAEL IONE IKIKUNG'UTWA NA TAIFA LOLOTE; WAWE WA-DEMOCRAT AMA WA-REPUBLICAN; HAPO WOTE SERA YAO NI MOJA.
 
Unazidi kujidhihirisha we ni mjinga.
Sikiliza mkuu nikufahamishe kitu,hii ni JF mtandao wa kijamii kama mitandao mengine,watu huongea kikawaida na kuyaacha mambo humu humu.
Usipende kuchukulia mambo serious ukang'aka na kuwa na mihemko kiasi unaleta ubaguzi wa rangi.
Watu humu hujadili mambo na kuyaacha tu,nina wasiwasi na umri wako aisee.
Usipende kukuza mambo yasiyo na tija.
Pia narudia kusema hunijui hatujai onana.
Kuwa mtu mzima kidogo.
 
Tunaweza kuona masalia ya makombora ya Israel angalau tuamini kuwa shambulio limefail?
 

Majitu meusi asilimia kubwa akili hua hamna yaani unakaa kabisa unabishana mpaka unamtukana mweusi mwenzio kisa mtu mweupe Kwa mweupe wapo kwenye vita kweli akili Yako fupi sana jitahimini hao ni weupe wewe hawakujui na hawatokuthamini Kwa lolote hapa duniani mpaka unaingiz kaburini wewe endelea kubweka humu ila ukweli nimekupa jielewe kidogo kichwa umepewa Ili iweke akili sio ujaze ujinga
 
Unazidi kujidhihirisha ujinga wako.
Pia wewe ndio unatukana kwa kuleta ubaguzi wa rangi,hii jf mkuu watu huzungumza na kuyaacha hapa hapa,punguza mihemko.
Pia mimi hunijui hujai niona.
Naanza pata mashaka na akili yako.
ushaambiwa we ni nyani si utulie ule bungo lako?
 
Hii text yangu ya mwisho kwako usiponielewa basi.
Nina mashaka na uelewa wako.
Hii ni JF mzee watu wengine wapo humu for fun tu kujifurahisha basi.
Sasa wewe unapochukulia mambo serious nakushangaa sana.
Humu haulipwi mkuu.
AiseeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ujinga mzigo sana.
Halafu narudia tena hujui hujai niona unapokomalia suala langu la rangi unadhihirika kuwa ni mjinga.
Umewahi kuniona?
Unanijua nilivyo?
Usipende kupanik kwa ujinga mzee hii JF watu wanaongea na kuacha mambo hapa hapa.
Jaribu kuwa mtu mzima narudia tena jaribu kuwa mtu mzima haulipwi acha kupanik kwa ujinga.
 
sasa kama hamjuani mnataka tusome mipasho yenu? Hebu jadilini mada iliyopo israel yafanya mashambulizi iran, iraq na syria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…