Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Mnatia aibu, Israel kawapa nini mmutukuze hivo? Mtu mweusi kwa Israel ni uchafu...watu wa ajabu Sana ninyi na Imani zenu za kinaskini.
Kwani wewe Iran kakupa nini hadi mkihisi Israel anatukuzwa mnachafukwa kiasi hicho? Mbona mimi sijaona popote kama huyo uliyemjibu anaitukuza Israel?
 
Iranian state television has been reporting more details on the situation around Isfahan.

It says that at “around 12:30am GMT”, three drones were seen in the sky over Isfahan, air defence systems were activated and they “destroyed these drones in the sky”.
Hayo ni maneno ya serikali ya Iran kujifariji na kuwatuliza raia wake, taarifa zisizoegamia upande wowote zinasema miji saba ya Iran imepokea kichapo cha makombora ya chap chap na miundo mbinu kuteketea.
 
Hakuna cha vita mbaya wala nini, Iran anakwenda kuchakazwa na dunia itaiomba Israel itulize mzuka.
Mkuu hebu nidadavulie kidogo nyuma ya maneno yako kuna maelezo gani ya kufanya dunia iamini hivyo......ukizingatia Iran na wenyewe wamepiga hatua kubwa kiuchumi na kiteknolojia
 
Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Israel peke yake hana ubavu huo, Amerika ni waongo, wapo nyuma ya mashambulizi haya wakishirikiana na NATO yote pamoja na vibaraka wao wa mashariki ya kati.
 
Hakuna WW3 ya aina hiyo. Ninyi hata M23 walipoanza uasi wai mlisema WW3 inanukia, alipokufa mwendazake mkasema hivyohivyo.

Trump alipoingia madarakani mkasema anaenda kusababisha vita duniani kote na hatimaye ww3.

WW3 siyo ya kusababishwa na vita hiyo. Sasa hivi endeleeni na maisha yenu tu.
Tukiangalia mgogoro unavyokuwa na waliopo kwenye mgogoro huo nyuma yao kuna kina nani.......lakini pia eneo la mashariki ya kati liko eneo zuri kimkakati katika uchumi wa dunia ukizingatia bidhaa adimu unatoka hapo........
 
Israel pke yake hana ubavu huo, amerika ni waongo, wapo nyuma nyuma ya mashambulizi haya wakishirikiana na NATO yote pamoja na vibaraka wao wa mashariki ya kati.
Najua USA sio mtu wa kumuamini linapokuja suala la Israel.....
 
Habari za muda huu.......

Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq..........

====

Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan​


Israeli missiles have hit a site in Iran, the United States' ABC News has reported, citing a US official, days after Iran launched a drone strike on Israel in response to an attack at the Iranian embassy in Syria.

Iran's Fars news agency said an explosion was heard at an airport in the Iranian city of Isfahan but the cause was not immediately known.

Several Iranian nuclear sites are located in Isfahan province, including Natanz, the centrepiece of Iran's uranium enrichment program.
Several flights were diverted over Iranian airspace, CNN reported.

Over the weekend, Iran launched hundreds of drones and missiles in a retaliatory strike after a suspected Israeli strike on its embassy compound in Syria earlier in April.
Most of the drones and missiles were downed before reaching Israeli territory.

Iran told the United Nations Security Council on Thursday that Israel "must be compelled to stop any further military adventurism against our interests" as the UN secretary-general warned that the Middle East was in a "moment of maximum peril".

Israel had said it was going to retaliate against Iran's 13 April missile and drone attack.

Analysts and observers have been raising concerns about the risks of the Israel-Gaza war spreading into the rest of the region.

Israel's assault on Gaza began after Palestinian Islamist group Hamas attacked Israel on 7 Ocober, killing 1,200, according to Israeli tallies.
Israel's military offensive has killed over 33,000 Palestinians in Gaza, according to the local health ministry.

Iran-backed groups have declared support for Palestinians, launching attacks from Lebanon, Yemen and Iraq.

This is a developing story and this article will be updated.
Follow the latest from SBS News at
, or on the SBS News app available on

or

Israel is bombing Iran, Syria and Iraq at the same time.
Hawa watu wasituaribie dunia wakatuingiza kwenye ww3.
Hizi nchi zetu za chini tutakula msoto ambao haujawahi tokea.
 
Tukiangalia mgogoro unavyokuwa na waliopo kwenye mgogoro huo nyuma yao kuna kina nani.......lakini pia eneo la mashariki ya kati liko eneo zuri kimkakati katika uchumi wa dunia ukizingatia bidhaa adimu unatoka hapo........
Mkuu, baada ya ngano kuadimika sisi huku siku hizi tulisha sahau kama ngano ni hadimu au laah, siku hizi matumizi ya unga wa ngano yameshakuwa replaced na unga wa mihogo. Kuanzia chapati, mikate, maandazi tunatumia unga wa mihogo tu.
Hivyo kama issue ni uadimu wa bidhaa zitokazo pale, basi jua tayari dunia ina altenative na huenda hata hiyo vita inachochewa ila hiyo altenative product iingizwe sokoni.
 
Hawa watu wasituaribie dunia wakatuingiza kwenye ww3.
Hizi nchi zetu za chini tutakula msoto ambao haujawahi tokea.
Hayo ni Mawazo ya kila mwenye akili timamu.....ndugu yangu.....hili jambo sio la kuombea
 
Back
Top Bottom