BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hivi Sweden majority wana abudu dini gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waswidi hiyo ndio asili yao huko ni maatheist na pagans mtupu toka enzi za VikingSweden ya sasa imebadilika sana, sio ile ya zamani taifa la wacha Mungu. Uhuru gani huo wa kuchoma vitabu vya dini za watu wengine? Hii sweden ya sasa ni ya kipagani haiamini dini
Kwa Tanzania iliyojaa viongozi wapumbavu unaweza kuuwawa na watu wakashangiliaHivi nini kitatokea iwapo nitachoma katiba ya nchi?
Pagan na Atheist ndio home kwao huko dini yenyewe walipokea kwa mbinde hao VikingsHivi Sweden majority wana abudu dini gani?
Serikali inaonyesha kwa vitendo kuwa haina dini. Sisi huku tumekumbatia vikundi vya manabii wa uongo na kuviita dini.Hivi Sweden majority wana abudu dini gani?
Ndo jibu kwa nilichoomba kujua?Serikali inaonyesha kwa vitendo kuwa haina dini. Sisi huku tumekumbatia vikundi vya manabii wa uongo na kuviita dini.
61% ni wakristu, 30% hawana dini maalum. Asilimia zilizobaki dini ndogondogo.Hivi Sweden majority wana abudu dini gani?
Kukosa ustaarabu siyo kosa kisheria. Lakini uwe makini na unapotaka kufanya tukio hilo maana sheria inaweza kutunzwa kwa namna tofauti mahali tofauti.Kuchoma kitabu chochote cha dini yeyote siyo uhuru ni ukosefu wa ustaarabu na kuheshimiana.
Wewe shoga, polisi waliruhusu tukio lifanyike na walikuwepo kutoa ulinzi.Wewe ni mjinga Nani alikwambia Sweden waliotoa kibali Cha kuchoma Quran ,ule ni uhalifu Kama uhalifu mwingine haihitaji kibali
USSR
Yesu hakuwa mkiristo alikua myahudiMsingi wa Ukristo ni Agano Jipya ( Injili ) na sio Torah
Kutokana na : Agano Jipya linaweza kumuingiza mtu mbinguni , bila ya kusoma Agano la kale ( Torah )
Msingi wa Judaism ni Torah , na sio Ukristo
Yesu anasema mimi ndiye njia , - Na sio Musa( Torah ) au Mahummud
Kwani kuabudu Ni lazima?Hivi Sweden majority wana abudu dini gani?
Sio kweli...Yesu hakuwa mkiristo alikua myahudi
Ndo jibu la nilichoomba kujua?Kwani kuabudu Ni lazima?
Yohana 5:37Sio kweli...
YESU ni MUNGU...
Kristo ndio Myahudi
Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwa na neno, naye neno alikuwa kwa Mungu naye neno alikuwa MunguYohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.View attachment 2689232