Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakuonya usijaribu utaishia jelaHivi nini kitatokea iwapo nitachoma katiba ya nchi?
walikuwa wakristo safi wa madhehebu ya kipentekoste mpaka wakawa na wamisionari wao wa free swedesh mission church waliokuja mpaka tanganyika miaka ya 50 kueneza ujumbe wa Mungu. Eti leo hii wameacha kutusaidia tunajisaidia wenyewe kujenga makanisa yetu. Ni wakati wa kuwapelekea injili na wao wajue ukuu wa MunguHivi Sweden majority wana abudu dini gani?
vikundi vya manabii vimeleta madhara gani? Bora ungesema serikali inasema haina dini ila inashirikiana vema na dini ungeeleweka. Juzi kati kuna kikundi kimoja cha kidini kilikwenda kutembelea ujenzi wa bwawa la kufua umeme kana kwamba ni chama cha siasa kinachotawala au cha upinzani. Kikundi cha dini kwenda kwenye miradi ya serikali ina maana serikali imefungamana na dini, kitu ambacho hakipo swedenSerikali inaonyesha kwa vitendo kuwa haina dini. Sisi huku tumekumbatia vikundi vya manabii wa uongo na kuviita dini.
Waisrael wamewatembezea kichapo Wakristo, uko wapi wewe? Jionee:Nawauliza wale wa Mungu anajipigania tuwanange waisrael au tuwaache?
hii itakuwa kazi ya llluminat kuleta taharuki duniani watimize agenda zao za siriWewe shoga, polisi waliruhusu tukio lifanyike na walikuwepo kutoa ulinzi.
Kabla hujaandika jambo tumia akili kwanza sio makalio.
Nawauliza wale wa Mungu anajipigania tuwanange waisrael au tuwaache?
WanajielewaNgoja tuone kama Wayahudi wataandamana hadi kufa wakilaani Torah yao kupigwa kiberiti
Ceremonial, hata Ujerumani wana Rais pia.Isarael kuna rais kumbe, napitwa na mengi.
Unaonyesha usivyo na akili kabisa.hawana rais
Uhovyo huo ni upi mkuu? Kuruhusu kuchoma Quran ama biblia?sweden ilikuwa taifa linaloheshimika kweli lakini leo limekuwa la hovyo kweli....!( hii Yote inaweza kusbabishwa na kiongozi wa hovyo iliyonaye)
Kinachokatazwa ni Kitendo cha kuchoma kitabu kinachotegemewa kama muongozo wa dini ndio kinatafriawa ni kitendo kibaya cha dharau.Siku hizi Biblia na vitabu vingine vya dini viko katika soft kopi na vimeenea kila mahali. Kuchoma hard copi ya vitabu vya dini hakuwezi kuathiri chocho!
Mungu waliemleta wao ukawafundishe tena kuhusu huyo mungu?walikuwa wakristo safi wa madhehebu ya kipentekoste mpaka wakawa na wamisionari wao wa free swedesh mission church waliokuja mpaka tanganyika miaka ya 50 kueneza ujumbe wa Mungu. Eti leo hii wameacha kutusaidia tunajisaidia wenyewe kujenga makanisa yetu. Ni wakati wa kuwapelekea injili na wao wajue ukuu wa Mungu
😱😱😱Msingi wa Ukristo ni Agano Jipya ( Injili ) na sio Torah
Kutokana na : Agano Jipya linaweza kumuingiza mtu mbinguni , bila ya kusoma Agano la kale ( Torah )
Msingi wa Judaism ni Torah , na sio Ukristo
Yesu anasema mimi ndiye njia , - Na sio Musa( Torah ) au Mahummud
Wayahudi huwa wanaandama kutetea haki na mashoga tu google ujionee wakiandamana na kufanya parade za machoko Kila sikuNgoja tuone kama Wayahudi wataandamana hadi kufa wakilaani Torah yao kupigwa kiberiti