Yesu ni mtetezi na sio mshitaki.
1 John 2 : 1 " My little children, these things write I unto you, that ye sin not. And if any man sin, we have an advocate with the Father, Jesus Christ the righteous "
Shetani ndiye Mshitaki
Ufunuo 12 : 9 - 10 " Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku. "
Musa Aliitwa mshitaki kutokana na kubeba Sheria na Amri za MUNGU
Cha kushangaza zaidi hakuweza kuitimiza hiyo sheria . MUNGU Alimwambia auambie mwamba utoe maji , yeye akaupiga mara 3 . Mbaya zaidi aliwaambia wana Israel yeye ndiye atakayewapa maji na sio MUNGU. Na hii ndiyo sababu MUNGU alimuua