Kwa hiyo,Mungu anamuomba Mungu[emoji34]Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwa na neno, naye neno alikuwa kwa Mungu naye neno alikuwa Mungu
Luka 6:12
Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo,Mungu anamuomba Mungu[emoji34]Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwa na neno, naye neno alikuwa kwa Mungu naye neno alikuwa Mungu
Usitafsiri Biblia kimwili utapata shida sana.Kwa hiyo,Mungu anamuomba Mungu[emoji34]
Luka 6:12
Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.
Hata hivyoo rais wap ni Kama malkia tu waingerez. Power kubwaa IPO Kwa MajaliwaHata mimi nilipitwa
Kristo ni neno la kigiriki likamaanisha masihi(mpakwa mafuta),ATI yesu ni Mungu kristo ndiyo myahudi...hamjui hata mnaabudu nini Ila makelele Sasa!!Sio kweli...
YESU ni MUNGU...
Kristo ndio Myahudi
Kwa hiyo kitabu kipo ili iweje!?..amri kumi nazo tutafsiri vipi!?Usitafsiri Biblia kimwili utapata shida sana.
Mambo ya kiroho hayawezi kuwa kama ya mwilini...
Tumia nguvu za Roho Mtakatifu...Kwa hiyo kitabu kipo ili iweje!?..amri kumi nazo tutafsiri vipi!?
Ulijua bado wanamfalme DaudiIsarael kuna rais kumbe, napitwa na mengi.
Roho mtakatifu ndiyo nani!?..mpagani hawezi soma biblia akaelewa na kuingia ukiristo!?..au wakiristo walizaliwa wakiristo!?..Tumia nguvu za Roho Mtakatifu...
Bila hivyo utakuwa unasoma hadithi
Na utabishana sana...
Walikua sio wapagani walikua na dini zao na waliamini Mungu wao ODINPagan na Atheist ndio home kwao huko dini yenyewe walipokea kwa mbinde hao Vikings
Scandinavian wote wakora!
Wewe ni dini gani tuanzie hapo..?Roho mtakatifu ndiyo nani!?..mpagani hawezi soma biblia akaelewa na kuingia ukiristo!?..au wakiristo walizaliwa wakiristo!?..
Ulokole ni kitu gani?Wewe ni dini gani tuanzie hapo..?
Mpagani ambaye atapata ufunuo wa Roho Mtakatifu ndio anaweza soma biblia na kuingia Ukristo...
Wakristo wengi wanajiita tu wakristo ila sio wakristo halisi ni kwasababu ya dini
Mkristo wa kweli ni yule aliyempokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake yaani mlokole, huyo anaishi kwa kuongozwa na
Roho Mtakatifu ambaye ndio anakuwa msaidizi na mwalimu anamemfundisha kusoma neno na kutafsiri, kushinda maadui ktk Ulimwengu wa Roho na mwilini na kuona mambo ya Rohoni...
Nawauliza wale wa Mungu anajipigania tuwanange waisrael au tuwaache?
Ulokole ni kitendo Cha kuamini kuwa YESU ndio Bwana na mwokozi wa maisha yako...Ulokole ni kitu gani?
Katiba ya Nchi pia IPO kwenye softcopy,,Sasa chukua hardcopy ichome hadharani...
By the way kuchukua Qur an au Biblia kuchoma maana yake ni kwamba ameidharau ndio maana watu wanaonyesha makasiriko yao kwa kuandamana.
Leo Lekamwa aliyekuwa muanzilishi wa TLP kabla hajaiuza kwa Lyatonga aliisigina(kanyaga) katiba ya Tanzania pale Jangwani kwenye mkutano wa hadhara nakumbuka JMT ilimfungulia kesi ya kusigina katiba akahangaika nayo sanaKwa Tanzania iliyojaa viongozi wapumbavu unaweza kuuwawa na watu wakashangilia
Mnaamini katika uharibifu tu ila kwenye uponyaji mishipa inawatoka kupinga!aliyechoma quraan tayari ameanza kuoza miguu yupo
hospital
Source?aliyechoma quraan tayari ameanza kuoza miguu yupo
hospital
Ni mwanzilishi wa Ukristo. Na ndiye Kristo mwenyewe.Yesu hakuwa mkiristo alikua myahudi
yupo ila hana madaraka makubwa kama waziri mkuuIsarael kuna rais kumbe, napitwa na mengi.