Ni kweli, Lebanon kuna 35% ya wakristo lakini wanaishi kwa kubaguliwa sana japo Lebanon ilikiwa nchi ya Kikristo lakini kulengwa na kuuawa kwa wakristo kulipelekea wengi kukimbia.Ila tukubali tukatae Lebanon kuna wakristo karibu nusu ya raia wote ,pia madhara ya kivita yanawapata wote .
Sasa ni kwanini Waisilamu wameachwa nyuma kwenye Teknolojia kwa mfano wagunduzi wengi eidha ni Wakristo Wayahudi Mabudha na hata Maetheist?!Tukianze kuchambua hapo "Uislamu unakataza Elimu Dunia " = Uongozi wa wazi na mzaha
"Hawajui wafanyaje zaidi ya kiswm Allaah die kasababisha" = Kejeli na dhihaka za wazi
Bongo tumeiweka kidini na chuki , makanisani wanahubiri amani na upendo ,huku wanafurahia wapalestina wanavyodhulumiwa na hawa mazayuni ndani ya nchi yao na kuuwawa .Huo ni muunganiko wa baadhi ya wakristo na waislam wanaopinga Zionist. Tambuwa kwamba sio kila myahudi ni Zionist. Wao hawapigani na kila myahudi.
Hapana, kuna watu wanaongea sana. Acha iendelee hivyohivyoIpo haja kubwa na ya dhati, ya kuwapatanisha Hezbollah na Israel, Hamas/Palestina na Israel, na kadri inavyowezekana, Iran na Israel. Sasa hivi!
Huyu kamanda nasikia aliua watu 63 kwenye shambulizi katika ubalozi wa USA huko Lebanon mwaka 1983.Ndege za F-35 Leo zimefanya unyama Sana Lebanon.
Hili ni pigo kubwa Sana Kwa Hezbollah maana huyu kamanda wao ndiyo alikuwa master plan wa kundi, Acha tuone mwisho hii moviie maana Hezbollah wameomba msaada wa kijeshi kutoka Iraq
Haupigwi Ukristo, bali yanapigwa magaidi ya kiislamu HezbollaHii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Siku ukiweka mapenzi yako ya dini pembeni utaelewa magaidi ni kina nan?Haupigwi Ukristo, bali yanapigwa magaidi ya kiislamu Hezbolla
Kwa mkristo alie nje ya Israel, cha muhimu kwake ni ile ardhi kuliko Myahudi.Bongo tumeiweka kidini na chuki , makanisani wanahubiri amani na upendo ,huku wanafurahia wapalestina wanavyodhulumiwa na hawa mazayuni ndani ya nchi yao na kuuwawa .
Unataka kusemaje hapa?Siku ukiweka mapenzi yako ya dini pembeni utaelewa magaidi ni kina nan?
Mnauhakika upi kafa, dalili zenu ziko wapi sababu Hezbullah bado hawajatangaza mpaa mda hu kama kafa inaonyesha ni kelele tu za IsraelBado hujasema Ustaazi
Yani Israel iwe nchi ya ahadi kuliko tanzania?😁😁😁Kwa mkristo alie nje ya Israel, cha muhimu kwake ni ile ardhi kuliko Myahudi.
Ila kwa kuwa myahudi ndie anaimiliki hiyo ardhi ndio maana unaona wanatetea vyote (ardhi na mmiliki) ila Muhimu zaidi kwa mkristo ni Ardhi ya Israeli ambayo ni nchi ya ahadi.
Usianze ligi za kipuuzi. Nimekujibu sababu ya wakristo kuitetea Israel.Yani Israel iwe nchi ya ahadi kuliko tanzania?😁😁😁
Pole sana😆Mnauhakika upi kafa, dalili zenu ziko wapi sababu Hezbullah bado hawajatangaza mpaa mda hu kama kafa inaonyesha ni kelele tu za Israel
Praise to jesusKamanda Mkuu wa operations za kijeshi wa kundi la Hezbollah ndugu Ibrahim Aqil ameuawa mchana leo kwa mashambulizi ya ndege za kivita za Israel Jijini Beirut nchini Lebanon.
=======
Hezbollah official Ibrahim Aqil in an undated photo. (US Department of State)
A source close to Lebanon’s Hezbollah says the Israeli strike in Beirut’s Dahiyeh neighborhood killed Ibrahim Aqil, a senior commander in the terror group’s elite Radwan unit.
“The Israeli air strike killed Radwan Force commander Ibrahim Aqil, its armed force’s second-in-command after Fuad Shukr,” who was killed by an Israeli strike in July, also in Hezbollah’s southern Beirut stronghold, says the source who requested anonymity to discuss sensitive matters.
Soma Pia:
Sijamchagulia mtu chochote nimeuliza tu , Kama jukwaa huru .Usianze ligi za kipuuzi. Nimekujibu sababu ya wakristo kuitetea Israel.
Kuwa nchi ya ahadi ni agizo liko kwenye biblia kwa anaeiamini.
Wewe kwakuwa umechagua fungu lako, usitake kumchagulia kila mtu.
Na mimi nimekujibu, kama jukwaa huru.Sijamchagulia mtu chochote nimeuliza tu , Kama jukwaa huru .
Ipo na inajeshi haitaki kujiingiza katika mgogoro wa kijingaHivi Lebanon kuna serikali?
Sasa mbona nchi yao imegeuka uwanja wa kurltestia silaha na wao wako kimya tu?Ipo na inajeshi haitaki kujiingiza katika mgogoro wa kijinga