Kaa ukijua ukiichokoza Israel umeichokoza Marekani hautakuwa salama hata kidogo kiuchumi na kiusalama.
Sometimes hili la Marekani kuisaidia Israeli I think mengine tunayakuza sana, kwa mtazamo wangu (naweza kua sahihi or not ) sidhani kama Israeli haijiwezi kiasi hicho hadi kila kitu isaidiwe; nitakumbushia mifano michache ambayo wengi wetu humu tunaikumbuka.
1. Kama sikosei ni mwaka juzi, Marekani alimuua komandoo 1 na mwalimu wa jeshi kutoka Iran pale Iraq, Iran waliahidi kulipa kisasi kwa USA na kweli walifanya hivo, Iran ilituma Salam kwenye kambi moja ya USA na walikufa wana jeshi kadhaa wa USA, Marekani waliufyata kwa Iran, hawakujibu tena. Lakini linapokuja suala la Israeli na Iran, Israeli amekua anafanya anacho kitaka Iran, anaua yeyote anaemtaka, kaua wataalamu wa nuclear tena pale pale Tehran, kaua rais wao juzi, kaua kiongozi wa Hamas juzi tu tena .makao makuu ya nchi; yaani Israeli inaonekana haiiogopi kabisa Iran kama USA inavyo iogopa Iran. Najiuliza, huyu kweli anategemea msaada wa USA tu kujilinda?
2. Mwaka 2008 kuna watalii wa Kiyahudi walikwenda hapo kwa majirani zetu Kenya; walifikia hotel ya Paradise jijini Mombasa, walikua na ndege yao; magaidi ya Al Quida walitaka kuwaua Wayahudi wale, sijui Wayahudi wale walihisi, wakaondoka kabla ya muda to the airport, magaidi wairushia makombora ndege yao ya abiria but hakukua na madhara yoyote kwa ndege yao; before that ndege za abiria hazikuaga na protection hizo duniani, from that time mataifa ya nje yaka copy technology hiyo; hawa kweli wanategemea msaada wa USA pekee yao?
3. September 11, 2001 Osama bin Laden alipiga world trade center pamoja na kushambulia makao makuu ya jeshi la USA, watu wengi sana walikufa; kwenye lile jengo la World trade center kulikua na Wayahudi wengi tu waliokua wanafanya kazi mjengoni but the records says, hakuna Myahudi hata mmoja aliyekua anafanya kazi kwenye lile jengo ambaye alikufa; why? Hakuna Myahudi alikwenda kazini siku hiyo. Hawa tunaweza kusema wanaitegemea USA na mataifa ya magharibi pekee?
4. Juzi hapa baada ya Israeli kuua makomandoo 7 wa Iran pale Syria, Iran ilirusha rocket 🚀 300 but jamaa wali intercept rocket 298; USA na mataifa marafiki waliiomba sana Israeli isijibu, jamaa hawakuelewa, walijibu kwa kuipiga Iran though hakukua na madhara makubwa kiviile kwa Iran, bado tunasema hawa jamaa wanaishi kwa kutegemea kusaidiwa na USA? Let's not kid ourselves brothers; jamaa wana uwezo, wana akili. IDF na Mossaid ni watu bora sana duniani kwenye ulimwengu wa intelligence