Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana .unatamani isiwe kweli?Hiyo picha nimegoogle inaonekana haiusiani na marehemu wetu mpendwa..
Nani hajui hilo? Maadam unaendelea kuishi jaribu kulinda uzao wako.Sawa mkuu....ila wote safari yetu ni moja
Hahaha***** wamefumua hadi pete ya kufugia majini
Mkuu; hapo unamzunguzia Mungu yupi specific?Wewe mwenyewe umeanzia kwenye tone la manii hadi umezaliwa kama nyau na baadaye kuwa bonge la jitu sasa Mungu huyohuyo atashindwa vipi kumrudisha katika umbo lake la kibinadamu kama alivyokuwa!
Japo njia tofauti na vyombo vya safar piaSawa mkuu....ila wote safari yetu ni moja
Na kundi lingine ni lile lina abudu jiwe MOJA jeusi uarabuni na kulipa uungu.Kama walifanikiwa kuundanganya ulimwengu kuwa Yesu alifufuka sio mchezo. Kuna makundi mawili, waliomkataa Yesu na waliomkubali Yesu. Ndio makundi yanayousumbua ulimwengu.
Kasome kuanzia 1917.mzozo wa isrsael na palestina ni al aqsa
Hawa! 🇮🇱 Hatarii sanaSalute kwa Wayahudi
Naona mpaka pete lake la majini 70 limesambaratishwa
Inasikitisha kwa kweliWenzie wanamchekaa
Yesu mwenyewe atakunywa pombe kwa babaake,usishangae kunywa pombe ufalme wa mileleLakini Mauti kwa Gaidi anasema anaenda kupewa Wanawake na Mito ya Pombe.
Uyahudi ni dini yeyote anaweza hamia, mfalme wa kituruki aliamua ufalme wake kufuata dini ya kiyahudi, ufalme wa roma ukaamua kufuata ukristu,ufalme wa syria ukafuata uislam,acha kupiga kelele, mileikowsky hakuzaliwa 1945Ukisikia ubishi ndio hu sasa; sheikh anaweza kua mtu wa taifa lolote duniani, hata Mchina same as askofu BUT kuna RABI au mwalimu wa Judaism ambaye sio Myahudi/Muisrael hapa duniani? Nitajie mmoja bro tofauti na mzee Netanyahu.
Anyway, let me put this way, ukiwauliza watu wengi kuhusu historia ya Wayahudi, wote wataanzia mwaka 1948, kwamba Wazungu kadhaa walipelekwa pale na Marekani; same people ukisoma comment zao kuhusu dini yao, watakwambia Wayahudi walimuua Myahudi mwenzao aitwaye Yesu hapo hapo Israeli. Hivi hizo statement mbili si zinaji contradict?
Huwa na mimi nafikiri hivyo sana. Si kweli kwamba Israel hana lolote bila marekani si kweli.. Israel yupo njemaSometimes hili la Marekani kuisaidia Israeli I think mengine tunayakuza sana, kwa mtazamo wangu (naweza kua sahihi or not ) sidhani kama Israeli haijiwezi kiasi hicho hadi kila kitu isaidiwe; nitakumbushia mifano michache ambayo wengi wetu humu tunaikumbuka.
1. Kama sikosei ni mwaka juzi, Marekani alimuua komandoo 1 na mwalimu wa jeshi kutoka Iran pale Iraq, Iran waliahidi kulipa kisasi kwa USA na kweli walifanya hivo, Iran ilituma Salam kwenye kambi moja ya USA na walikufa wana jeshi kadhaa wa USA, Marekani waliufyata kwa Iran, hawakujibu tena. Lakini linapokuja suala la Israeli na Iran, Israeli amekua anafanya anacho kitaka Iran, anaua yeyote anaemtaka, kaua wataalamu wa nuclear tena pale pale Tehran, kaua rais wao juzi, kaua kiongozi wa Hamas juzi tu tena .makao makuu ya nchi; yaani Israeli inaonekana haiiogopi kabisa Iran kama USA inavyo iogopa Iran. Najiuliza, huyu kweli anategemea msaada wa USA tu kujilinda?
2. Mwaka 2008 kuna watalii wa Kiyahudi walikwenda hapo kwa majirani zetu Kenya; walifikia hotel ya Paradise jijini Mombasa, walikua na ndege yao; magaidi ya Al Quida walitaka kuwaua Wayahudi wale, sijui Wayahudi wale walihisi, wakaondoka kabla ya muda to the airport, magaidi wairushia makombora ndege yao ya abiria but hakukua na madhara yoyote kwa ndege yao; before that ndege za abiria hazikuaga na protection hizo duniani, from that time mataifa ya nje yaka copy technology hiyo; hawa kweli wanategemea msaada wa USA pekee yao?
3. September 11, 2001 Osama bin Laden alipiga world trade center pamoja na kushambulia makao makuu ya jeshi la USA, watu wengi sana walikufa; kwenye lile jengo la World trade center kulikua na Wayahudi wengi tu waliokua wanafanya kazi mjengoni but the records says, hakuna Myahudi hata mmoja aliyekua anafanya kazi kwenye lile jengo ambaye alikufa; why? Hakuna Myahudi alikwenda kazini siku hiyo. Hawa tunaweza kusema wanaitegemea USA na mataifa ya magharibi pekee?
4. Juzi hapa baada ya Israeli kuua makomandoo 7 wa Iran pale Syria, Iran ilirusha rocket 🚀 300 but jamaa wali intercept rocket 298; USA na mataifa marafiki waliiomba sana Israeli isijibu, jamaa hawakuelewa, walijibu kwa kuipiga Iran though hakukua na madhara makubwa kiviile kwa Iran, bado tunasema hawa jamaa wanaishi kwa kutegemea kusaidiwa na USA? Let's not kid ourselves brothers; jamaa wana uwezo, wana akili. IDF na Mossaid ni watu bora sana duniani kwenye ulimwengu wa intelligence
Mbona unanilisha maneno mkuu? Nani kasema huyo mtu kazaliwa mwaka 1945? Umepaniki mapema hivo? Narudia tu, mzee Netanyahu alikua RABI wa Kiyahudi, kazi yake ilikua kufundisha dini hapo hapo kwao na alikua anasafiri mataifa mbalimbali kwenda kuwafundisha Wayahudi walioko huko kuhusu mambo ya dini yao, moja kati ya watoto wake yaani Benjamin na Jonathan amezaliwa USA na mwingine hapo hapo Israeli. Anyway, labda point yako hapa ni ipi? Kwamba kina Netanyahu sio Wayahudi, right? Wayahudi halisi wako wapi?Uyahudi ni dini yeyote anaweza hamia, mfalme wa kituruki aliamua ufalme wake kufuata dini ya kiyahudi, ufalme wa roma ukaamua kufuata ukristu,ufalme wa syria ukafuata uislam,acha kupiga kelele, mileikowsky hakuzaliwa 1945