covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Mafriji yao hayagandii kabisa hawa waarabu..Kinachonwaathiri hao waarabu ni usaliti wa ndani. Intelijensia yao ipo weak na inavuja mno. Mipango wanapanga usiku. Baada ya dakika chache inakuwa mezani kwa yahood na marekani wakati watu wanapata a cup of coffee. Wakimaliza hapo ni kutuma mabomu tu kunaliza kazi.